Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Ndicho anacho mahanishaKwamba ukiwa ccm hutakiwi kuguswa na TRA hata kama hulipi kodi,he is a true definition of an idiot
Sasa apambane na ccm yake asitulilieNdicho anacho mahanisha
Ova
Eti utafikiri,TRA ni wapinzani
Hapo kama anajigonga tena kwa
Ccm
Ova
Sasa apambane na ccm yake asitulilie
TRA wamejaa wachagga na wachagga wote ni CHADEMA na husema wazi kabisa si mliichagua serikali wenyewe ngoja tuwaonyeshe
Wewe ni mpumbavu sana, acha ukabila,Ndiyo maana kawambia pale TRA kuna wapinzani; na kwamba sababu za yeye kufutwa ni kwa sababu aliinga mkono CCM. Hivyo wapinzani wanamchukia, na mawakala wao kwenye serikali wanatumia nafasi zao kumkomoa. Tunajua TRA wamejaa wachagga ambao wengi ni CHADEMA NA WANAFANYA HIVYO KWA KIBURI KABISA KWA KAULI MBIU- MLIICHAGUA CCM NGOJA MUONE
Wewe utakuwa mjinga sana- ukabila hauwachwi kwa mapovu kama unayotoa wakati kwa matendo unaonekana.Wewe ni mpumbavu sana, acha ukabila,
Kodi anadaiwa au hadaiwi?
Wachaga wanaingiaje hapo?
Hakuna wachaga CCM?
Kama hakuna hayo majimbo na kata zote uchagani kura mlipigiwa na nani?
Au ndio kura za mabegi meusi za wizi?
Sent from my Infinix X658E using JamiiForums mobile app
Hoja ya kusema TRA imejaa wachaga ni upuuzi na kujitoa ufahamu. Huna hata takwimu ya jambo unaloongea. Ebu orodhesha majina ya makamishna na maofisa wa TRA wa ngazi za juu, na katika hiyo orodha taja wachaga ni wangapi.Ndiyo maana kawambia pale TRA kuna wapinzani; na kwamba sababu za yeye kufutwa ni kwa sababu aliinga mkono CCM. Hivyo wapinzani wanamchukia, na mawakala wao kwenye serikali wanatumia nafasi zao kumkomoa. Tunajua TRA wamejaa wachagga ambao wengi ni CHADEMA NA WANAFANYA HIVYO KWA KIBURI KABISA KWA KAULI MBIU- MLIICHAGUA CCM NGOJA MUONE
Mtoto ni Diamond ambaye suala la TRA anaanza kuwataja wapinzani. Alitakiwa aeleze kama anadaiwa kodi au hadaiwi. Sasa mambo ya wapinzani wakati unadaiwa kodi na TRA, taasisi iliyo chini ya Serikali ya CCM, huko si kukosa akili!!Hii kukuelewa ni kwa waliosoma Cuba tu mkuu:
CHADEMA na viongozi wake lazima waelewe ni utoto kulazimisha watu wasio wanasiasa ku support movement zao hadharani. Jukumu lao ni kushawishi wachague wanachopigania wakipata nafasi ya kuwapigia kura, lakini uwezi kulaumu raia wakipata shida mbona ukuunga mkono jitihada za chama kwenye agenda husika acha yakukute huo ni utoto
NInakazia:
Magumu yetu Viongozi wa Upinzani mkwepe lawama vipi?
Uliambiwa na nani? Una biashara gani wewe, na ipo wapi? Usilete utoto mbele ya watu wazima wenye akili timamu.hapana ngoja niendelee huwa wanasema badala ya kuchagua CHADEMA nyinyi mnachagua CCM
Usifanye kufuru. Mungu humpa mwanadamu werevu. Ujinga na upumbavu ni chaguo la mwanadamu.Ninawezaje kuficha upumbavu wangu wakati upumbavu ni kipawa anachotoa Mungu.
Ni mtu asiye na akili kabisa huyu!Kauli za mondi eti Upinzani[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]
Unaposema TRA wafuate taratibu, ungeeleza ni taratibu gani walizokiuka. Najua kufungia account ya bank ya mdaiwa sugu wa kodi bila taarifa, ipo kisheria, kwa kadiri ya sheria iliyopitishwa na hilo linaloitwa Bunge.Dah
Hivi wapi nimesema Diamond asilipe kodi au hoja yangu ilikuwa TRA iheshimu taratibu za sheria kwenye kufanya kazi yao.
Pili unaongelea hadithi za misimamo ya CDM if the intention ni kunielimisha thanks.
But then aina maana mimi au anyone else ambao we are not subscribed kufanya siasa za ushawishi publicly tuna ulazima wa ku support hayo mambo hadharani na tusipofanya ivyo yakitukuta yale mnayo simamia mtu zodoe; huo ndio utoto.
Learn to separate maisha ya mwanasiasa na mwanachama wa chama cha siasa. Umeshawahi kuona msanii yeyote baada ya kampeni akipiga foleni kwenda kupiga kura siku ya uchaguzi (tells you they don’t care who wins the election deep down).