comte
JF-Expert Member
- Dec 11, 2011
- 9,019
- 6,825
Wewe inakufurahisha?Diamond kachanganganyikiwa🤣🤣🤣
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Wewe inakufurahisha?Diamond kachanganganyikiwa🤣🤣🤣
Anachanganya TRA na Wapinzani wa CUF??🤣🤣Wewe inakufurahisha?
ulichokoment utoto ni wewe maana hujui chadema wameegemea mlengo gan haya tueleze huyo domo mkwepa kodi anamalengo yapi kuhusu katiba mpya ili kuleta justice and tranquility nchini maana umetolea mfano wa mainstream parties za uingereza visa viz other political or associations ambao kwa pamoja walitaka brexit ila katika modalities tofauti na kwamba labour,conservatives hawakutaka waungane nao swali ni Je huyo mkwepa kodi amewahi kupigania agenda ya katiba mpya ambayo kimsingi ndio itaondoa ujinga wote unaofanywa na mamlaka za serikali eg latra,police,tmda,tcra,nec,TRA na taasisi zingine zenye kufanya ujinga.Jifunzeni kupambana vita yako kwenye maisha kwa mikakati yako.
Uwe individual au taasisi kufikia malengo yako ni jukumu lako.
Usilazimishe wengine wapambane kwa kufuata strategy yako.
In life mnaweza mkawa na objective moja lakini mkapishana kufikia lengo its OK.
Nakumbuka wakati wa Brexit wanasiasa wa mainstream parties both pro and anti Brexit (Labour, Conservatives na Lib-Dem) waliunga kwenye campaign yao.
Lakini hizo team mbili za mainstream parties hawakutaka kabisa wanasiasa wa vyama vingine au taasisi zingine zenye objectives hizo hizo ambazo wanatumia racist propaganda au nationalism idologies kuungana nao wapambane kivyao.
CHADEMA na viongozi wake lazima waelewe ni utoto kulazimisha watu wasio wanasiasa ku support movement zao adharani jukumu lao ni kushawishi wachague wanachopigania wakipata nafasi ya kuwapigia kura, lakini uwezi kulaumu raia wakipata shida mbona ukuunga mkono jitihada za chama kwenye agenda husika acha yakukute huo ni utoto.
Jifunzeni kupambana vita kwenye maisha kwa mikakati yenu.
Uwe individual au taasisi kufikia malengo yako ni jukumu lako.
Usilazimishe wengine wapambane kwa kufuata strategy yako.
In life mnaweza mkawa na objective moja lakini mkapishana kufikia lengo, its OK.
Nakumbuka wakati wa Brexit wanasiasa wa mainstream parties both pro and anti Brexit (Labour, Conservatives na Lib-Dem) waliunga kwenye campaign zao.
Lakini hizo team mbili za mainstream parties hawakutaka kabisa wanasiasa wa vyama vingine au taasisi zingine zenye objectives hizo hizo; ambazo wanatumia racist propaganda au nationalism idologies kuungana nao waliwaacha wapambane kivyao.
CHADEMA na viongozi wake lazima waelewe ni utoto kulazimisha watu wasio wanasiasa ku support movement zao hadharani. Jukumu lao ni kushawishi wachague wanachopigania wakipata nafasi ya kuwapigia kura, lakini uwezi kulaumu raia wakipata shida mbona ukuunga mkono jitihada za chama kwenye agenda husika acha yakukute huo ni utoto.
Lipa kodi stahiki hakuna atakusumbua....acha kulia uongo na utotoTRA kama ilivyo kwa Polisi, LATRA, Takukuru, EWURA, TCRA na wengine wa namna hiyo malamiko dhidi yao yanajulikana.
Hakuwahi kusikia malalamiko ya watu wengine dhidi ya mamlaka hizi ikiwamo TRA?
Haihitaji kumiliki basi kujua ndivyo sivyo za LATRA, au kuwa na gari au kituo cha mafuta kujua fyongo za EWURA.
"Nani wamekuwa na uthubutu wa kuwaongelea wahanga wa mamlaka hizi bila kujali kulipiziwa visasi? Hii ikiwa hata bila ya wao kuwa wameguswa moja kwa moja? Wengine ninyi si imekuwa kusema hadi mkaliwe kooni wenyewe tu?"
View attachment 2465114
"Ubinafsi wenu si ndiyo unaowapa nguvu miungu watu hawa waliopaswa kukusikiliza wewe na badala yake wapo kukunywesha maji kwenye karai?"
Kwani yeye alidhani kelele za wapinzani siku zote zilikuwa kuhusiana na nini kumbe? Kwani hakujua kwanini tulishangaa na wimbo wake "baba letu?"
Tofauti yao na yeye kwenye hili analoliongea sasa si ni kuwa leo yeye ameguswa tu? Wenzake kwao sera zote za kigandamizi ni mwiba usiovumikika hata kama wao haziwagusi moja kwa moja.
Na huu sasa si ndiyo uzalendo?
Kataa wahuni kwa Tanzania ya haki.
Wahuni siyo watu wazuri!
----------
Mamlaka zinapotumika kukandamiza watu
Ndugu kwanza TRA sio kitengo cha CCM ndio maana kwenye kudai kodi akijali mwenye biashara yupo chama gani. Kwa ivyo mfanyabiashara yoyete anapokutana na kadhia akazungumza ni kwa maslahi yake.Huna hoja unachanganya mambo. Yeye anajitambulisha kama mwana ccm sasa chadema wakimsema mpinzani wao kosa liko wapi? Ona anavyoisigina TRA eti kuna wapinzani?
Mambo ya hovyo ni ya kupingwa na kila mtanzania bila kujali vyama.
Kuna mamilioni ya watanzania wanaccn waliokuwa hamkubali magufuli kutokana na matendo yake na wakati huo huo ni wanaccm
Sasa sijui unaleta hoja gani hapa.
Hapa ndiyo uwezo wa kufikiri ulipoishia.TRA wamejaa wachagga na wachagga wote ni CHADEMA na husema wazi kabisa si mliichagua serikali wenyewe ngoja tuwaonyeshe
Ficha upumbavu wako Kodi italipwa hata na masaiNdiyo maana kawambia pale TRA kuna wapinzani; na kwamba sababu za yeye kufutwa ni kwa sababu aliinga mkono CCM. Hivyo wapinzani wanamchukia, na mawakala wao kwenye serikali wanatumia nafasi zao kumkomoa. Tunajua TRA wamejaa wachagga ambao wengi ni CHADEMA NA WANAFANYA HIVYO KWA KIBURI KABISA KWA KAULI MBIU- MLIICHAGUA CCM NGOJA MUONE
Lipa kodi stahiki hakuna atakusumbua....acha kulia uongo na utoto
hapana ngoja niendelee huwa wanasema badala ya kuchagua CHADEMA nyinyi mnachagua CCMHapa ndiyo uwezo wa kufikiri ulipoishia.
Sasa anapolaum wapinzani huko TRA anataka wamsaidie nini? Apambane kivyake asitake huruma ya wapinzani.Ndugu kwanza TRA sio kitengo cha CCM ndio maana kwenye kudai kodi akijali mwenye biashara yupo chama gani. Kwa ivyo mfanyabiashara yoyete anapokutana na kadhia akazungumza ni kwa maslahi yake.
Pili lengo kubwa la taasisi ya chama cha siasa kukusanya mawazo ya jamii yake na kutengeneza opinion, so kama wanaona TRA inafanya kazi ovyo au kuna sheria inawapa watu nguvu wao wataelezea mapungufu yake na kutaka mabadiliko.
Opinion ya chama lengo ni kushawishi wananchi wa support kupitia sanduku la kura kwa utashi wao, lakini uwezi laumu raia au wafanyabiashara regardless ya support ya vyama vyao kwa kuto support ideas za chama fulani hadharani because of their influence kwenye jamii kwa sababu zingine.
Huo ni utoto, pambana vita yako usilazimishe watu waunge mkono movement zako kwa njia ambazo awazani ni sahihi kwao.
Huyu anajiona kama nchi hii ni mtu special sanaaaHuna hoja unachanganya mambo. Yeye anajitambulisha kama mwana ccm sasa chadema wakimsema mpinzani wao kosa liko wapi? Ona anavyoisigina TRA eti kuna wapinzani?
Mambo ya hovyo ni ya kupingwa na kila mtanzania bila kujali vyama.
Kuna mamilioni ya watanzania wanaccn waliokuwa hamkubali magufuli kutokana na matendo yake na wakati huo huo ni wanaccm
Sasa sijui unaleta hoja gani hapa.
Ninawezaje kuficha upumbavu wangu wakati upumbavu ni kipawa anachotoa Mungu.Ficha upumbavu wako Kodi italipwa hata na masai
BasiiiiTuiache Mamlaka ya Ukusanyaji wa Kodi ifanye kazi yake.
Dahulichokoment utoto ni wewe maana hujui chadema wameegemea mlengo gan haya tueleze huyo domo mkwepa kodi anamalengo yapi kuhusu katiba mpya ili kuleta justice and tranquility nchini maana umetolea mfano wa mainstream parties za uingereza visa viz other political or associations ambao kwa pamoja walitaka brexit ila katika modalities tofauti na kwamba labour,conservatives hawakutaka waungane nao swali ni Je huyo mkwepa kodi amewahi kupigania agenda ya katiba mpya ambayo kimsingi ndio itaondoa ujinga wote unaofanywa na mamlaka za serikali eg latra,police,tmda,tcra,nec,TRA na taasisi zingine zenye kufanya ujinga.
Leo hii huyo mkwepa kodi analalamika kufungiwa account zake na TRA huku akijua TRA wamefanya hivyo kwa mujibu wa sheria ambazo ni za hovyo au mbovu pamoja na katiba ya hovyo, unafikir kama kungewa na katiba bora huo ujinga wa TRA wa kufunga account za watu bila wao kujua ungefanyika? Maana angeweza kuwashtaki mahakaman na angewashinda lakin leo ajaribu kama atafanikiws huko mahakaman hii yote ni kwasababu ya katiba ya hovyo so chadema hawapiganii maslahi binafs bali maslahi ya kila mtanzania, huyo mkwepa kodi wamemtekenya kidogo tu ameanza kujambajamba angepigwa risasi hata moja je si angekufa kabisa.
Haya amefungiwa account zake na TRA kwa akili zake za kijinga anaandika kuwa ANAFANYIWA HIVYO KAMA PALE TRA KUNAWAPINZANI hizo ni akili au matope anafikir kuwepo kwake ccm anaimmunity au privilege kwenye kulipa kodi.
Na wewe kwa ujinga wako unafikir huyo mkwepa kodi anaprivilege ya kutokulipa kodi, nasema hivi TRA wahakikishe analipa kodi na waendelee kufunga viaccount vyake uchwara mpaka ajue kuwa KATIBA MPYA NI SASA NA YEYOTE ATAKAE PINGA NI BORA EITHER ATOWEKE AMA AUNGANE maana asipofanya hivyo lolote litakalomkuta kutokana na katiba mbovu asilalamikie mitandaoni ili kutafta huruma bali apambane mwenyewe.
Lipa kodi stahiki hakuna atakusumbua....acha kulia uongo na utoto
Nafikili ilikuwa ni kauri ya kujikosha kwa mwenyekiti kwamba yeye ni ccm Kwanini mwenyekiti anaruhusu serikali ya ccm kumnyanyasa ccm mwenzaoDiamond ana maana gani kusema anajiuliza kama pale TRA kuna mtu wa chama pinzani?
Kwamba kwake wapinzani ndio wenye roho mbaya?
Kwa hiyo kauli yake, huyu mtu hata kama yanamkuta lakini ni kama bado ana mentality ya kujipendekeza kwa CCM, ameleta suala lake public ili kutafuta huruma tu kwa watanzania.