Diamond dhidi ya TRA tuko naye, ila kauli zake!

Diamond dhidi ya TRA tuko naye, ila kauli zake!

Diamond ana maana gani kusema anajiuliza kama pale TRA kuna mtu wa chama pinzani?

Kwamba kwake wapinzani ndio wenye roho mbaya?

Kwa hiyo kauli yake, huyu mtu hata kama yanamkuta lakini ni kama bado ana mentality ya kujipendekeza kwa CCM, ameleta suala lake public ili kutafuta huruma tu kwa watanzania.

Kama speculation zake ni hizo aisee he is not smart at all. Instead of kutafuta mzizi wa tatizo anatafuta mtu?
 
Unaposema TRA wafuate taratibu, ungeeleza ni taratibu gani walizokiuka. Najua kufungia account ya bank ya mdaiwa sugu wa kodi bila taarifa, ipo kisheria, kwa kadiri ya sheria iliyopitishwa na hilo linaloitwa Bunge.
Embu tuambie ni sheria gani inayosema ivyo, na section ipi; hili na sisi wengine tukasome.

Halafu TRA awajasema wana mgogoro wa kikodi na diamond. Issue ni kutofuata taratibu za kisheria. Hayo ndio maelezo waliyotoa public. Either way hilo sio kosa la kufunga account za mtu.


Huko kwenye kutafuta sheria achana nako nimekuwekea maana not sure ata sheria husika kama ulikuwa unaijua kwa kusoma maelezo yako tu, nor how tax disputes arises or tax investigation is conducted; and other processes in between leading to seizure of assets.

Nyie ndio mnaowafanya hao watu wavunje sheria na ndio issue ya msingi kwangu iheshimiwe katika kazi za TRA (there are due processes hadi kufungia account za watu za biashara, contrary to your explanation).

Kama kodi huyo Diamond alipe ye nani asilipe, lakini ye mwenye kasema hana ufahamu wala taarifa za kuwa na madai ya kodi kila kitu analipa on time, na TRA wamesema issue yao nae ni kuto kufuata sheria.
 
TRA kama ilivyo kwa Polisi, LATRA, Takukuru, EWURA, TCRA na wengine wa namna hiyo malamiko dhidi yao yanajulikana.

Hakuwahi kusikia malalamiko ya watu wengine dhidi ya mamlaka hizi ikiwamo TRA?

Haihitaji kumiliki basi kujua ndivyo sivyo za LATRA, au kuwa na gari au kituo cha mafuta kujua fyongo za EWURA.

"Nani wamekuwa na uthubutu wa kuwaongelea wahanga wa mamlaka hizi bila kujali kulipiziwa visasi? Hii ikiwa hata bila ya wao kuwa wameguswa moja kwa moja? Wengine ninyi si imekuwa kusema hadi mkaliwe kooni wenyewe tu?"

View attachment 2465114

"Ubinafsi wenu si ndiyo unaowapa nguvu miungu watu hawa waliopaswa kukusikiliza wewe na badala yake wapo kukunywesha maji kwenye karai?"

View attachment 2465589

Kwani yeye alidhani kelele za wapinzani siku zote zilikuwa kuhusiana na nini kumbe? Kwani hakujua kwanini tulishangaa na wimbo wake "baba letu?"

Tofauti yao na yeye kwenye hili analoliongea sasa si ni kuwa leo yeye ameguswa tu? Wenzake kwao sera zote za kigandamizi ni mwiba usiovumikika hata kama wao haziwagusi moja kwa moja.

Na huu sasa si ndiyo uzalendo?

Kataa wahuni kwa Tanzania ya haki.

Wahuni siyo watu wazuri!
----------

Mamlaka zinapotumika kukandamiza watu
Hizi zama si za Jakaya kwa kishindo tunaitika ZILIPENDWA by Diamond aka mhutu.
 
Ndugu kwanza TRA sio kitengo cha CCM ndio maana kwenye kudai kodi akijali mwenye biashara yupo chama gani. Kwa ivyo mfanyabiashara yoyete anapokutana na kadhia akazungumza ni kwa maslahi yake.

Pili lengo kubwa la taasisi ya chama cha siasa kukusanya mawazo ya jamii yake na kutengeneza opinion, so kama wanaona TRA inafanya kazi ovyo au kuna sheria inawapa watu nguvu wao wataelezea mapungufu yake na kutaka mabadiliko.

Opinion ya chama lengo ni kushawishi wananchi wa support kupitia sanduku la kura kwa utashi wao, lakini uwezi laumu raia au wafanyabiashara regardless ya support ya vyama vyao kwa kuto support ideas za chama fulani hadharani because of their influence kwenye jamii kwa sababu zingine.

Huo ni utoto, pambana vita yako usilazimishe watu waunge mkono movement zako kwa njia ambazo awazani ni sahihi kwao.
Sanduku la kura gani hili linalosimamiwa na Wakururugenzi,police na watendaji wa vijiji na kata?
 
Sanduku la kura gani hili linalosimamiwa na Wakururugenzi,police na watendaji wa vijiji na kata?
Hii concern nadhani inataka mada yake pekee, vinginevyo tutakuwa tuna diversify mada ya watu tukianza kuingiza changamoto za uchaguzi.
 
KATIBA MPYA NI SASA NA YEYOTE ATAKAE PINGA NI BORA EITHER ATOWEKE AMA AUNGANE maana asipofanya hivyo lolote litakalomkuta kutokana na katiba mbovu asilalamikie mitandaoni ili kutafta huruma bali apambane mwenyewe.
Waache walalamike na kulialia mambo yakiwaendea vizuri kwa katiba Mbovu wanajiona wajanja. Yakikaa vibaya wanataka tuwasaidie kulia.
 
Ndugu kwanza TRA sio kitengo cha CCM ndio maana kwenye kudai kodi akijali mwenye biashara yupo chama gani. Kwa ivyo mfanyabiashara yoyete anapokutana na kadhia akazungumza ni kwa maslahi yake.

Pili lengo kubwa la taasisi ya chama cha siasa kukusanya mawazo ya jamii yake na kutengeneza opinion, so kama wanaona TRA inafanya kazi ovyo au kuna sheria inawapa watu nguvu wao wataelezea mapungufu yake na kutaka mabadiliko.

Opinion ya chama lengo ni kushawishi wananchi wa support kupitia sanduku la kura kwa utashi wao, lakini uwezi laumu raia au wafanyabiashara regardless ya support ya vyama vyao kwa kuto support ideas za chama fulani hadharani because of their influence kwenye jamii kwa sababu zingine.

Huo ni utoto, pambana vita yako usilazimishe watu waunge mkono movement zako kwa njia ambazo awazani ni sahihi kwao.
Sanduku la kura gani hili linalosimamiwa na Wakururugenzi,police na watendaji wa vijiji na kata?
Hii concern nadhani inataka mada yake pekee, vinginevyo tutakuwa tuna diversify mada ya watu tukianza kuingiza changamoto za uchaguzi.
Siyo changamoto za Uchaguzi ni mipango ya ccm kuendelea kutawala vyama vingingine kwa kisingizio cha Sanduku la kura.
 
Weusi tuna shida mahali
Lawama zake kukimbilia siasa ni upumbavu mwingine huu

Ni kama Blacks waliopo [emoji631] na Europe pia yaani anasimamishwa kwa kosa alilofanya yeye halafu anamuambia police
Umenisimamisha kwa sababu mimi ni mweusi

Yaani kujitetea kwa mtu mweusi asiekuwa na elimu ni mtihani sana
Nimeshuhudia ujinga huu sana
 
Ndiyo maana kawambia pale TRA kuna wapinzani; na kwamba sababu za yeye kufutwa ni kwa sababu aliinga mkono CCM. Hivyo wapinzani wanamchukia, na mawakala wao kwenye serikali wanatumia nafasi zao kumkomoa. Tunajua TRA wamejaa wachagga ambao wengi ni CHADEMA NA WANAFANYA HIVYO KWA KIBURI KABISA KWA KAULI MBIU- MLIICHAGUA CCM NGOJA MUONE
Kama ni kweli usemayo kwa nini Serikali haijawashughulikia hao wanaonynyasa Wananchi kisa waliichagua CCM? Tukiwa kwenye mambo serious tuwe serious pia. Tusipende kutumia hearsay kwenye mambo serious, tutakuwa hatuitendei haki Serikali yetu.
 
Kama ni kweli usemayo kwa nini Serikali haijawashughulikia hao wanaonynyasa Wananchi kisa waliichagua CCM? Tukiwa kwenye mambo serious tuwe serious pia. Tusipende kutumia hearsay kwenye mambo serious, tutakuwa hatuitendei haki Serikali yetu.
Diamond huyo kasema, wengine wanawaroga kesi inaisha
 
Ni kweli TRA wana changamoto zao lukuki za uendeshaji ingawa kuwaita Chama cha Upinzani si sahihi.
Amekosa la kunena, hivi hana accountant wake wa kujitetea ulipaji huu
Yeye aimbe tu, mambo ya kodi wapo anaowalipa walizungumzie yeye atabwabwaja tu na kutafuta sympathy [emoji28] ambapo pia kaikosa kwa kuingiza siasa
 
Back
Top Bottom