Diamond dhidi ya TRA tuko naye, ila kauli zake!

Sasa hao maadui na TRA, wapi na wapi! Na hao wapinzani/maadui zake ni akina nani, kiasi cha kuitumia taasisi ya serikali kama TRA kumhujumu?
Huyu pimbi wa Tandale chupi mkononi huwa ni pointless kinyama yani!! Aah! Inasikitisha eti na yeye ni idol wa Tanzania 🇹🇿
 
Ni KICHAA tu kama wewe ndio unaweza kuhisi kuwa TRA inatumiwa na WAPINZANI
 
Ni KICHAA tu kama wewe ndio unaweza kuhisi kuwa TRA inatumiwa na WAPINZANI
Mchane kwa sauti ya juu zaidi🔊

Wewe jon mbatizaji unaskia sasa kamweleze huyo junk mwenzako penye moshi huwa kuna fuka moto, Na huyo pimbi ataisoma namba mwaka huu...
 
Hichi kishoga kiache kutafuta sifa. Ana pesa gani ya kuonewa wivu na wawekezaji wa kweli? Kuwekeza kwenye kuharibu na kubomoa maadili yetu?
 
Waataalam wake wengine ni kina shg aggrey

Ova
 
Badala ya kulipa Analia lia
Aache kutafuta huruma ya wa TZ.. Lipa kodi
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…