Diamond hawa ndio wabongo, chukua ushauri wangu

Diamond hawa ndio wabongo, chukua ushauri wangu

Mbona Jide hajashushwa? Ana hela kuliko Nassib, ana tuzo nyingi kuliko Nassib.
Ana gari la thamani kuliko Nassib. Ukweli ni kwamba hakuna msanii atakuwa juu miaka yote.
Mwambieni ukweli Nassib kuwa wakati huu anapaswa kujaribu kubadilika kimuziki ili kubaki juu, kwani mashabiki wake mmebaki wachache na ndio maana kelele zenu hazikutosha kwenye Fiesta.
Mficha maradhi mauti humfichua. Mwambieni ukweli.
Ova
Salamu iwe kwa miguu
 
Back
Top Bottom