Diamond, hivi kweli limelipuka?

Diamond, hivi kweli limelipuka?

Si ndo sintah alimuunganishia bibie zari kwa bilionare Katunzi ama kweli kizuri kula na nduguyo. Huyo huyo sintah ana mtoto na katunzi.

Hahahahaaa eti kizuri kula na nduguyo, khaa weww mtoto sikuwezi.
Kwahiyo Sintah akampasia shoga ake Katunzi?
 
Mh jmni mambo gni hayo loh yni sintah kampasia shoga alafu huyo huyo sintah shoga yake mke wa katunzi
 
Anzia post namba 90 muone Zari na dada ake anayeishi Dar akiwa amevaa nguo hiyo hiyo iliyovuja kupiga na katunzi na sehemu ni hiyo hiyo picha zilichukuliwa insta siku ziliporushwa msisahau kuangalia namba ya mawiki.


https://www.jamiiforums.com/showthread.php?t=848110

Halafu wambeya wakafuta wengine na bakigraundi wabaki wao tu.
 
Ukumbuke kuangalia tarehe na masiku

Baadhi ya wamfuatiliao Zari, mie pia fan kwa miaka sasa so nami niliona siku karusha hizo za ndege yaani ilikuwa furaha kuombea watoke wote na ikawa oyeeeee mtoto wa Tandale
 

Attachments

  • 1432839681995.jpg
    1432839681995.jpg
    67.6 KB · Views: 502
  • 1432839709831.jpg
    1432839709831.jpg
    43 KB · Views: 486
  • 1432839726739.jpg
    1432839726739.jpg
    73.5 KB · Views: 477
  • 1432839764720.jpg
    1432839764720.jpg
    18.4 KB · Views: 462
Warumi nilikuwa naimba humu kuhusu katunzi nikaonekana kichaa, khaa kiko wapi

Na kuuliza swali hili kila siku ikiwa anaye jua Baba wa mtoto ni Mama wewe umejuaje mtoto ni wa Katunzi na si wa Diamond ikiwa mtoto hata kuzaliwa bado?
 
Ndimu haziwatoshi kabisa.
Usisahau picha chini kuziangalia

Mimba mimba utazani siku inaingia walikuwepo.

Halafu wengi hata kuhesabu tarehe hawajui yaani wanasahau kuanza tarehe ile ya kwanza ya siku ya he.dhi hapo sasa nani anaijua siku hiyo wamuulize Zarina mke ya Diamond na Diamond.

Kwa kukadiria na dates zao za kukutana November na kuduana mwezi huo kukadiria labda hedhi ilianza tarehe 1 kama wengi...ila inaweza ikawa siku hata za nyuma wengine kabla mwezi haujaisha au kwrnda kati ya mwezi pia ....inategemea. so pichani makadirio tu usianze kupayuka soma kula ndimu ukikataa


. mambo yapo shwari kabisa kabisa kwa mategemeo yao ya July/ August alisemaga D hivi juzi kasema Aug watu wanaugua kabisa kosa liko wapi wangapi duniani wanakosea mengi hata wao wenyewe au ndugu zao. Mnajua mambo yakienda salama bila hata mama kuugua tarehe zitakuja zilivyopangika . Bila kusahau +2 na -2. Mungu awalinde, Amina.

Ya katunzi sasa hivi kwa zile picha mimba ingekuwa imeshafika wiki 50 kama sio zaidi...lol

Zari ana dadake na shemeji na mwanao wanaishi Dar anakujaga kuwaona hao hawatajwi kabisa kabisaaaaaaa...uzi humu upo ulitoa picha.

Eeh na leo Diamond ataleta habari la duka la watoto alikoenda Msasani City mall na ndimu msisahau kuziweka pembeni yenu mtazidi kuziitaji.

Hadi nacheka jamani kuna nyuzi nyingi humu facts zimeshuka, ila zinapitwa bila kupingwa. Wamwache mtoto wa Tandale ajilie bata na kusubiria mwanae. Lazima wachawi wanawanga kujaribu kubadili sura ya mtoto tumboni.

Jana acha warukie eti fees fees, pesa zao wamebania hawataki kukomboa watoto hao eti waliotelekezwa si msaada. D kutoa contacts zake instagram naamini hadi sasa hawajampigia.

Tumwache D awe D bila D hakuna raha kwa waTZ kwa sasa, bila D hawauzi magazeti, hawapati hits kwa websites zao hawa kila kitu.

Ila kuzidisha mnazidisha na kutia aibu waTanzania kutupa picha mbaya sana ya hayo yote mabaya

Ila kiki anaipata Diamond platnumz na Zari yaani umaarufu wao twasubiria reality tv ije kwa kweli

Eeh kesho msisahau mwimbo mpya Diamond Platnumz ft Flavour NaNa

mmoja ya wa Nigeria waimbaji niwapendao kuwasikiliza kama umemsahau sikiliza moja ya hit zake bomba

https://youtu.be/yMSTYtMSbL0
(Nwa baby) Ashawo remix-

Enjoy

1432840553716.jpg

1432840570128.jpg

1432840584372.jpg

1432840599459.jpg

1432840612219.jpg
 
Kimsingi mtoto mara zote ni wa mwanamke! Mwanamme yeyote hawezi kujitapa kuwa mtoto aliyezaliwa na mke wake ni wa kwake!
Huwa tunawalea tu. Sanasana unaweza ukabahatisha kamoja!
Mwacheni Chibu alee mimba na baadaye mtoto. Awe wa kwake ama si wa kwake mnawashwa na nini?
Ebu pimeni DNA na wake zenu tuone kama mtaleta majibu hapa.!
Umbeya Umbeya!
 
Wabongo bwana....

I mean, WTF does it have to do with you anyway mpaka ufikie hatua ya kusema 'Afadhali - utulie sasa'??
 
Back
Top Bottom