mzurimie
JF-Expert Member
- Oct 16, 2011
- 6,143
- 3,625
Naona shuzi sasa limepata mjambaji, mama shughuri mwenyewe ndani ya nyumba.
Sorry sijaakuelewa, nijuze.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Naona shuzi sasa limepata mjambaji, mama shughuri mwenyewe ndani ya nyumba.
Sorry sijaakuelewa, nijuze.
Anzia post namba 90 muone Zari na dada ake anayeishi Dar akiwa amevaa nguo hiyo hiyo iliyovuja kupiga na katunzi na sehemu ni hiyo hiyo picha zilichukuliwa insta siku ziliporushwa msisahau kuangalia namba ya mawiki.
https://www.jamiiforums.com/showthread.php?t=848110
Halafu wambeya wakafuta wengine na bakigraundi wabaki wao tu.

hasaa jini kimavi.. u turn haisongi bila zari mie nataka tuu atupe na story za jumanne kimambi muzee ya mapafume mauturii wee ile siku ilee ya kiboga day!Yaani hii habari ni ile yaa yule mchagga alietakaga kuwa mke wa muganda kwa njia ya skype ex-mume wa Zari akaanza kuona wivu akamsakaaa weeee Z na matusi yote duniani na kumsingizia mambo akashindwa kisa pesa anazotamania. ex-mume alimwambia Zari ni mama watoto na bado ana share yakr katika mali zao walizoanza kuchuma wote kwa zaidi Zari akiwa mwendesha usikani wa kuendelea na kupanda juu. Akaajibiwagwa utamu akaweuka
Hapa juu nimeweka hayo tena humu jf ili hao wanaoharibu kuja humu na kutumia mablog kutaka kufungua issue wachoke wao na mastory ya wivu na tamaa kudandia mali na pesa. Si msubiri wawatongoze wao kama kweli mmewavutia au?
Ila Zari upo juu mtoto wa kiganda, wanatafuta pesa kwa kublogua kupitia jina lako.
View attachment 255433
hasaa jini kimavi.. u turn haisongi bila zari mie nataka tuu atupe na story za jumanne kimambi muzee ya mapafume mauturii wee ile siku ilee ya kiboga day!
Wewe "nideep" tu nitakupigia.
Sawa mpwa as u say..
Hahahahaaa dah!
Mlianza oooh hana mimba haya mmeona ooh sio ya dai na akijifungua mtasema sio mtoto ni mdoli...muwaache baba na mama kijacho wapumue
utazani katunzi aliwaalika kushuhudia lolUtacheka leo tutaona wanarusha na humu ya eti mimba inampa mamillioni blah blah blah
Kwa akili hizi za "Uswazi" soon ukoloni utarudi ......"Wanaume kama mabinti" Note:Vijana wa Tanzania wenye mafanikio na wanaongoza kuwa na maadui wengi 1.ZZK 2.Albert Msando 3.Ruge 4.MMkandamizaji 5.DPlatnumz (Utapiamlo mbaya Wabongo wengi akili ndogo-akili za Ki-Wema sepetu).
Nimeshangaa kwenye moja ya news inayotembea hivi hii ipo vip au ndio limelipukaa?
mpwa napata supu kalabash umeniona spiritually nn jion ntakuwa hapo tukihitimisha mwezimpwa anawiwa calabash saa hizi, jana nilikuwa changa...... Pale contena.