D
[emoji3][emoji3][emoji16][emoji23][emoji23][emoji3][emoji3][emoji3][emoji16]Kama namuona steve anavyomuwinda Dai maana anajua ni hela inayotembea pale maana atachangisha mpaka kwa Rick Ross daaaah hebu mungu tenda miujiza
watarith picha zake za ngono you tube wakijisifia kwa saut kuu .... this was my dad .... was ffucking muchok poa.
Halafu wanao warithi nini?
Nusu iliyobakia.ok poa.
Halafu wanao warithi nini?
wata rithi jina la baba...ok poa.
Halafu wanao warithi nini?
mali bila daftari... kuna hata asiyo yajua... hapo ndipo wapambe watakapo kuja miliki vingine ambavyo havijulikani kwa mama... watasema ana madeni kumbe hana ili yalipwe... wata tengenezwa watu mjini hapa, hacha tu kufa kufaanaBora amejisemea mapema!viherehere vipungue lol.Nani kama mama?
Dunia njia... madai au ulithi haudaiwi kwa sheikh...Sawa ila kiislam mtoto wa nje ya ndoa hana urithi...huo ndo ukweli na haubadiliki..kama wampa unafanya sadaka tu kama unavyosaidia wengine!
na akifa bi sandra watoto wake watakuja kudai ulithi wa mama yao... hawa wakina asma sijui na wenzake... kama yupo yeye tu ajiandae kupambana na ndugu wa kigoma...Mali za diamond zote kaandika jina La bi Sandra
in NERIASo hamisa, wema, wolper, uwoya, zari, hawapati kitu "in fineasi voice"
Vina maelekezo tayari kwenye dini!Dunia njia... madai au ulithi haudaiwi kwa sheikh...
serkali na dini??? mahakama ya kazi au???Vina maelekezo tayari kwenye dini!
Sheikh ni mtu mdogo sana kwenye dini
So akimuoa mmoja wa mzaz mwenzie uyo mtt ndo ataesabika halali au??Hakuna aliyebisha na hilo kaka...dunia inajua kua wake...!!
Dini haitambui kua watoto wale ni wa kwake..daimond kidini hata asipowahudumia hapati dhambi hata moja
Ila akiwahudumia anapata thawabu maana anatoa sadaka ni kama analea mtoto asiye na baba vile au mayatima..
Hao wanaoenda kumsumbua kimalezi kwanza ktkt dini wanapata dhambi maana wanamsingizia....wakati si wake
Pili hata asipotoa hana muamana wanajua ila ndo hvyo tena wanafanya ila dini ndo inasema hvyo na haitokaa ibadilike chochote kile
Ndivyo itakavyokua hvyo!na akifa bi sandra watoto wake watakuja kudai ulithi wa mama yao... hawa wakina asma sijui na wenzake... kama yupo yeye tu ajiandae kupambana na ndugu wa kigoma...
Hapana bado atahesabika wa nje pia wale atakaozaa naye baada ya ndoa ndio wanahesabika ni wake!So akimuoa mmoja wa mzaz mwenzie uyo mtt ndo ataesabika halali au??
hahaha ...kama ambavyo mapopoma mengine yalivyo rithi huko IG ""..Maybe watarithi jina Platinumz...
ha hahahaHehehe Steve Nyerere kakasirika hapo alipo.