Diamond: Ikitokea nimekufa kesho, nusu ya mali zangu apewe mama yangu mzazi

Diamond: Ikitokea nimekufa kesho, nusu ya mali zangu apewe mama yangu mzazi

Bora amejisemea mapema!viherehere vipungue lol.Nani kama mama?
 
Bora amejisemea mapema!viherehere vipungue lol.Nani kama mama?
mali bila daftari... kuna hata asiyo yajua... hapo ndipo wapambe watakapo kuja miliki vingine ambavyo havijulikani kwa mama... watasema ana madeni kumbe hana ili yalipwe... wata tengenezwa watu mjini hapa, hacha tu kufa kufaana
 
Kuna uwezekano mkubwa ' Freemason ' wameshamtaarifu kuwa muda wao wa kuja kuchukua Roho yake umewadia rasmi.
 
Mali za diamond zote kaandika jina La bi Sandra
na akifa bi sandra watoto wake watakuja kudai ulithi wa mama yao... hawa wakina asma sijui na wenzake... kama yupo yeye tu ajiandae kupambana na ndugu wa kigoma...
 
Hakuna aliyebisha na hilo kaka...dunia inajua kua wake...!!

Dini haitambui kua watoto wale ni wa kwake..daimond kidini hata asipowahudumia hapati dhambi hata moja

Ila akiwahudumia anapata thawabu maana anatoa sadaka ni kama analea mtoto asiye na baba vile au mayatima..
Hao wanaoenda kumsumbua kimalezi kwanza ktkt dini wanapata dhambi maana wanamsingizia....wakati si wake

Pili hata asipotoa hana muamana wanajua ila ndo hvyo tena wanafanya ila dini ndo inasema hvyo na haitokaa ibadilike chochote kile
So akimuoa mmoja wa mzaz mwenzie uyo mtt ndo ataesabika halali au??
 
na akifa bi sandra watoto wake watakuja kudai ulithi wa mama yao... hawa wakina asma sijui na wenzake... kama yupo yeye tu ajiandae kupambana na ndugu wa kigoma...
Ndivyo itakavyokua hvyo!
 
Back
Top Bottom