Diamond kaangushwa na mameneja wake sio Wanaharakati

Ndio ushamba wake wenyewe tunaozungumzia humu...huyu fala ni mshamba Sana...na hata hao wanaomshauri pia...alafu guo lenyewe alilovaa ni la kike Kwa wamasai.....yaani walivyo mafala walishindwa hata kujua vazi la kiume la kimasai likoje...jamaa likavaa likaonekana chizi linalotaka kuzamia red carpet...alafu wakaliweka mbali kabisa na wasanii wenzake waliokuwa nominated...Aibu yake...
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…