Mi nilishangaa japo na Ukapuku wangu nani alimshauri Mond avae lile Vazi it was one of the worst decison ever sawa na ile yakutengana na Zari, amekosa confidence maskini akawa anashangaa shangaa na Meneja wake badala ya kumwongezea Confidence akamwacha tu ana hang.........nadhani kuna wizara inahusika hapa juu ya Ushauri wa lile vazi