B R A C E L E T
JF-Expert Member
- Nov 11, 2018
- 2,357
- 4,390
HahahahaWe kama huwezi kutoa muhtasari kausha tu.
Mambo ya kuniambia "ukipata utafatilia" ushanipangia bajeti hapo bila mimi kupenda.
Unanipangia bajeti bila kunipa hela, halafu unaniambia nisijali.
Unanikanyaga, nikikuambia umenikanyaga, unaniambia nisijali!
Kiranga toto la kizaramo.