Kalpana
JF-Expert Member
- Jun 16, 2017
- 32,603
- 62,269
Life Ban?? but why?Meneja wake wa kimataifa ni Salaam SK ambaye amepigwa life Ban ya kuingia Marekani.
Meneja wake mwingine ndiyo huyo Babu Tale ambaye anaongea kwa ufasaha lugha ya Kiluguru na Kiswahili.