Diamond kaangushwa na mameneja wake sio Wanaharakati

Diamond kaangushwa na mameneja wake sio Wanaharakati

Nakubaliana na wewe! pia isitoshe Wakati alipokuwa na Zali Diamond ndo alipata nafasi ya kufanya kazi nyingi na nzuri na wasanii mbali mbali wa nje-ata Zali angeweza kuwa manager mzuri kwake lakini amezungukwa na vilaza ambao awatopenda aje mwenye akili kuliko wao kwa Diamondi lazima watamfanyia figisu figusu atoke!! kule BET sijui kama ata Ukumbini aliingia🤣🤣🤣 picha zote yupo nje na ni za mchana....mle ndani kulikuwa na wasanii wengi aliofanya nao kazi how comes akuna ata kapicha kamoja akiwasalimia??? Dogo aliishia nje ...so sad kwakeli
 
Burna Boy huwezi mfananisha na Diamond, hes way too far kwa international music.

Diamond yuko vizuri hatukatai.

Ila sio kwa lever, za Burna, Wizzkid wala Davido achilia mbali wengine.
Kwa madufu ya eyoo Laizaa ataendelea kutikisa tandale na Kenya na Uganda tu! Music yenye taste kama ya Burnaboy iko level zingine 😂😂😂
 
Nakubaliana na wewe! pia isitoshe Wakati alipokuwa na Zali Diamond ndo alipata nafasi ya kufanya kazi nyingi na nzuri na wasanii mbali mbali wa nje-ata Zali angeweza kuwa manager mzuri kwake lakini amezungukwa na vilaza ambao awatopenda aje mwenye akili kuliko wao kwa Diamondi lazima watamfanyia figisu figusu atoke!! kule BET sijui kama ata Ukumbini aliingia🤣🤣🤣 picha zote yupo nje na ni za mchana....mle ndani kulikuwa na wasanii wengi aliofanya nao kazi how comes akuna ata kapicha kamoja akiwasalimia??? Dogo aliishia nje ...so sad kwakeli
Hahahahah BET hatuitaji walinda mageti😂 tunataka watu wenye akili timamu sasa unavaa kimasai umeambiwa kuna tuzo za utamaduni mle?😂

Angevaa smart sasa ameonekana kituko hamna hata mtu mwenye habari naye yani aibu kichizi! Imagine unaenda sehemu kama ile hamna hata mtu anayekushobokea hata msanii tu mwenzio 😂😂😂 yupo na babutale tu wanapuyanga na kushangaa shangaa!

Zari brought class to that fool ila ushamba wake na uswahili wa ile familia ndio uliwafanya wakatengana 😂😂😂! Ila kimsingi Zari alikuwa bonge la demu kwa Mondi regardless ya madhaifu yake!
 
Diamond na wasanii wengine kina Harmonize & Kiba kwasasa hawawezi kumshinda Burna Boy hata wakiwa na mameneja malaika, bado wanatakiwa kukuza sana sanaa zao ziwe za kimataifa zaidi, hawa wasanii wetu mwisho wao kwasasa ni East Afrika tu japo wana makeke kibao lakini ukweli ndio huo.
Na watoe nyimbo nzuri sio utopolo wanaoimba kwa sasa, sio kamata wala ndombolo sijui blah blah gani yenye ubora wa kuchukua tuzo yoyote hata kama ni ya mchangani. Wasanii wetu kama wameishiwa mashairi wakubali kutungiwa nyimbo sio mtu unaimba kamata kamata wimbo mzima.

Tuzo = Muziki mzuri + Investment kubwa.
 
Meneja wake wa kimataifa ni Salaam SK ambaye amepigwa life Ban ya kuingia Marekani.
Meneja wake mwingine ndiyo huyo Babu Tale ambaye anaongea kwa ufasaha lugha ya Kiluguru na Kiswahili.
Salaam kwanini amepigwa hiyo ban?
 
Hahahahah BET hatuitaji walinda mageti😂 tunataka watu wenye akili timamu sasa unavaa kimasai umeambiwa kuna tuzo za utamaduni mle?😂

Angevaa smart sasa ameonekana kituko hamna hata mtu mwenye habari naye yani aibu kichizi! Imagine unaenda sehemu kama ile hamna hata mtu anayekushobokea hata msanii tu mwenzio 😂😂😂 yupo na babutale tu wanapuyanga na kushangaa shangaa!

Zari brought class to that fool ila ushamba wake na uswahili wa ile familia ndio uliwafanya wakatengana 😂😂😂! Ila kimsingi Zari alikuwa bonge la demu kwa Mondi regardless ya madhaifu yake!
We mwehu ukiamua kumponda mtu unasiliba kichizi dadeki🙌😀😀😀
 
Siku zote ni ngumu sana msanii anayeimba nyimbo zake kwa kiswahili kumshinda msanii anayeimba nyimbo kwa lugha ya Malkia Elizabeth wa Buckingham palace. Mshawishini Mond awe anatunga na kuimba nyimbo zake kwa lugha ya malkia ndiyo ataweza shinda tuzo za maana,vinginevyo mtasubiri sana.
Geuza haya Manene kwa kiingereza,..

Bunyero bunyero nataka msambwanda wa buku jero,.. Inama nipachike rungu..

Weny Lugha yao watamkataa asubui tu
 
Back
Top Bottom