[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]Na huenda hawa Mameneja wake ndiyo waliomshawishi pia Msanii wao kuvaa nguo za kike za Kimasai badala ya zile za kiume za Morani.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]Na huenda hawa Mameneja wake ndiyo waliomshawishi pia Msanii wao kuvaa nguo za kike za Kimasai badala ya zile za kiume za Morani.
DIAMOND KAANGUSHWA NA VIONGOZI WAKE, NA SIO KIGOGO WALA WANAHARAKATI.
Nawasalimu katika jina la Chama Cha Mapinduzi chama kiendelee. Kabla baadhi yenu hamjaanza kunisumbua kutaka nitoe maoni yangu kuhusu kushindwa kwa komredi Simba kwenye tuzo za BET, nimeona niyatoe mapema. Kama kawaida maoni
Kwa tuzo za Kitaifa na za Afrika Mashariki..ni kweli Dai is way too far compared to Burna Boy! lakini kwa zile za KIMATAIFA...Dai anasubiri sana kwa Burna Boy!Hivi Diamond Platnumz ana tuzo ngapi kulinganisha na huyo Burna Boy? Nadhani Diamond is way too far from Burna Boy when it comes to number of awards winning...pia alikuwa na mameneja hao hao unaowaponda
Mameneja hao hao ndio waliokuwa naye kipindi media zimemtupa na kumtenga na hakutokea hata mwanaharaka mmoja kumtetea,mameneja hao ndio walio mfanya ashinde tuzo nne za channel 0,mbili MTV Europe, Moja MTV MAMA na mameneja hao hao ndio walio mfanya leo hii awe ashapiga show zaidi ya 90% ya nchi zilizo kusini mwa jangwa la Sahara.Duuuuuh hiyo ni CV ya mama wa mwanamuziki mkubwa toka Africa mashariki na kati halafu ndo aweze kutoboa kimataifa kweli acheni ushamba, meneja wake ni mganga mzuia mvua mwingine muuza drugs na maisha ya ujanja ujanja unategemea nini hapo tena bora wameshindwa maana angerudi na tuzo huyo kwa tunayemjua na ushamba wake angeamuru WASAFI TV na WASAFI FM wamtangaze yeye tu kwa siku 7 mfululizo. Pia inawezekana kweli dogo alizuiwa kuingia ndani na mavazi yake hayo ya kike maana nnavyowajua wapambe wake wangeshatuonyesha mapicha picha mengi alivyokuwa ndani kiufupi dogo kariabisha taifa kmmk.
[emoji3][emoji3][emoji3][emoji3]Babu tale ni empty box aisee. Sasa na mond kwanini awe na meneja mhalifu aliyezuiliwa kuingia marekani hyo tu siinakuwa Ina mchafulia CV.Meneja wake wa kimataifa ni Salaam SK ambaye amepigwa life Ban ya kuingia Marekani.
Meneja wake mwingine ndiyo huyo Babu Tale ambaye anaongea kwa ufasaha lugha ya Kiluguru na Kiswahili.
[emoji3][emoji3][emoji3][emoji3]Na huenda hawa Mameneja wake ndiyo waliomshawishi pia Msanii wao kuvaa nguo za kike za Kimasai badala ya zile za kiume za Morani.
Na kingine kilicho mpoteza focus diamond ni ma drama ya kipumbavu na wanawake zake na kuzaa hovyo, tangu aanze hapo it was like Ali drop. Diamond anahitaji meneja mwenye exposure na hivi ni fighter atafikaNakubaliana na wewe! pia isitoshe Wakati alipokuwa na Zali Diamond ndo alipata nafasi ya kufanya kazi nyingi na nzuri na wasanii mbali mbali wa nje-ata Zali angeweza kuwa manager mzuri kwake lakini amezungukwa na vilaza ambao awatopenda aje mwenye akili kuliko wao kwa Diamondi lazima watamfanyia figisu figusu atoke!! kule BET sijui kama ata Ukumbini aliingia[emoji1787][emoji1787][emoji1787] picha zote yupo nje na ni za mchana....mle ndani kulikuwa na wasanii wengi aliofanya nao kazi how comes akuna ata kapicha kamoja akiwasalimia??? Dogo aliishia nje ...so sad kwakeli
Umeandika vyema.Nilitaka kupita kimya pasipo kuchangia ila mtifuano uliopo umenishawishi nami kutoa maoni yangu, japo napenda ieleweke kuwa maoni yangu sio sheria, ila natoa maoni kama mdau wa muziki ambaye nina maarifa pia ya muziki( napiga chombo na ninajua kanuni za muziki). Naanza kuchangia kwa kusema kuwa, tukijadili uharari wa ushindi wa tuzo kwa kuegemea kwenye ushabiki hatutaweka kuona na kupata ufumbuzi wowote. Nawapongeza wote waliochaguliwa kuwania tuzo hiyo kwani kuna kitu kilionekana ndani ya kazi zo, ikumbukwe kwenye mashindano yupo atakaye washinda wengine. Mtu akishindwa hatakiwi kuleta visingizio ila kuangalia namna ya kujipanga zaidi wakati mwingine.
Kwann alipigwa ban mkuuMeneja wake wa kimataifa ni Salaam SK ambaye amepigwa life Ban ya kuingia Marekani.
Meneja wake mwingine ndiyo huyo Babu Tale ambaye anaongea kwa ufasaha lugha ya Kiluguru na Kiswahili.
Sasa na ww mbna hate inazidid sasa?Nakubaliana na wewe! pia isitoshe Wakati alipokuwa na Zali Diamond ndo alipata nafasi ya kufanya kazi nyingi na nzuri na wasanii mbali mbali wa nje-ata Zali angeweza kuwa manager mzuri kwake lakini amezungukwa na vilaza ambao awatopenda aje mwenye akili kuliko wao kwa Diamondi lazima watamfanyia figisu figusu atoke!! kule BET sijui kama ata Ukumbini aliingia🤣🤣🤣 picha zote yupo nje na ni za mchana....mle ndani kulikuwa na wasanii wengi aliofanya nao kazi how comes akuna ata kapicha kamoja akiwasalimia??? Dogo aliishia nje ...so sad kwakeli
Sasa mkuu mbna kama unakua kama mcheza kiduku kwenye ghala la mkaaDuuuuuh hiyo ni CV ya mama wa mwanamuziki mkubwa toka Africa mashariki na kati halafu ndo aweze kutoboa kimataifa kweli acheni ushamba, meneja wake ni mganga mzuia mvua mwingine muuza drugs na maisha ya ujanja ujanja unategemea nini hapo tena bora wameshindwa maana angerudi na tuzo huyo kwa tunayemjua na ushamba wake angeamuru WASAFI TV na WASAFI FM wamtangaze yeye tu kwa siku 7 mfululizo. Pia inawezekana kweli dogo alizuiwa kuingia ndani na mavazi yake hayo ya kike maana nnavyowajua wapambe wake wangeshatuonyesha mapicha picha mengi alivyokuwa ndani kiufupi dogo kariabisha taifa kmmk.
Umeandika vyema.
Album ya Burna Boy ya African Giant ni moja ya album huwa sichoki kuisikiliza. Humo ameimba siasa (Collateral Damage), Mapenzi (Low) na kutafuta maisha (Wimbo Kama Dangote) na zingine nyingi Sana nzuri
Pia kwenye album ya TWICE AS TALL vile vile pia.
Cha mwisho ambacho Umeongea na ni point kubwa Sana , wasanii wa TANZANIA kuiga miondoko ya wanaijeria kunawaharibia sana kimatawa
Umeandika vyema.
Album ya Burna Boy ya African Giant ni moja ya album huwa sichoki kuisikiliza. Humo ameimba siasa (Collateral Damage), Mapenzi (Low) na kutafuta maisha (Wimbo Kama Dangote) na zingine nyingi Sana nzuri
Pia kwenye album ya TWICE AS TALL vile vile pia.
Cha mwisho ambacho Umeongea na ni point kubwa Sana , wasanii wa TANZANIA kuiga miondoko ya wanaijeria kunawaharibia sana kimataifa.
inasemekana mambo ya madawa ya kulevya.Kwann alipigwa ban mkuu
Huyo sk?
Kwali hili ndio nimeamini kweli upinzani ni utopolo...DIAMOND KAANGUSHWA NA VIONGOZI WAKE, NA SIO KIGOGO WALA WANAHARAKATI.
Nawasalimu katika jina la Chama Cha Mapinduzi chama kiendelee. Kabla baadhi yenu hamjaanza kunisumbua kutaka nitoe maoni yangu kuhusu kushindwa kwa komredi Simba kwenye tuzo za BET, nimeona niyatoe mapema. Kama kawaida maoni yangu ndo yatakuwa msimamo wa JF. Soma kwa makini.
Kwanini kashinda Burna Boy na sio kada wa CCM Komredi Diamond Platinumz? Ieleweke Meneja wa Burna Boy ni mama yake mzazi. Unaweza ukakurupuka na kudhani labda Mama Dangote naye awe meneja wa mtoto wake ili kurahisisha kazi. Tuzingatie kuwa Mama Burna sio mgeni kwenye kazi yake ya umeneja. Huyu mama ni binti wa Benson Idonije ambaye alikuwa meneja wa mwanamuziki mkubwa kuwahi kutokea Afrika, komredi Fela Kuti. Mama Burna ana Masters degree toka Chuo Kikuu cha Port Harcourt. Huyu mama huzungumza kwa ufasaha lugha ya kiingereza, kifaransa, kijerumani, kiitaliano na kiyoruba. Amefundisha kifaransa kwa miaka 10 kwenye Chuo Kikuu cha Port Harcourt na kustaafu 2018. Kimsingi Mama Burna ana CV ya kutisha pia kakulia kwenye familia ya meneja. Hiyo kazi ipo damuni.
Pamoja na Burna Boy kupata Meneja mwenye viwango vya kimataifa bado tunaambiwa nguli P Didy (Sean Puffy Combs) ni meneja wake kwa upande wa Amerika. CV ya Diddy kwenye muziki ndani ya USA inaeleweka yaani hakuna haja ya maelezo. Tukiachilia mbali mameneja wa Burna, tukumbuke hata Burna ni msomi wa Chuo Kikuu.
Komredi Simba huenda ana kipaji kikubwa kuliko washindani wake lakini tunaona menejimenti yake ni dhaifu kuweza sawa na ushindani wa mameneja wengine. Mimi naona inabidi tukubaliane kwamba kijana aajiri meneja atakayeweza kwenda sawa kimataifa. Mameneja waliopo ndo uwezo wao ulipofikia hatuna cha kuwalaumu zaidi ya kuwapongeza. Ila nao waukubali huu ukweli mchungu. Meneja mwenye elimu ya darasa la saba ni ngumu sana kumvusha msanii wetu. Meneja anatakiwa awe mbali kimaono kuliko msanii. Lakini WCB inaonekana msanii ana akili kuliko mameneja.
Nimalizie kwa kusema kwamba hawa kina Kigogo wa Twitter na wanaharakati uchwara kama Maria Sarungi & company hawakuwa na uwezo wowote wa kuzuia Simba kupata tuzo. BET haipo kisiasa. Na kama kungekuwa na jambo baya kwa vyovyote wangeuliza ubalozi wa USA nchini kama kweli madai ya kina Kigogo ni kweli. BET haina kipengele cha siasa kwenye shuguli zake. Kina Kigogo walichofanya ni kumuongezea umaarufu Diamond.
DIAMOND KAANGUSHWA NA VIONGOZI WAKE, NA SIO KIGOGO WALA WANAHARAKATI.
Nawasalimu katika jina la Chama Cha Mapinduzi chama kiendelee. Kabla baadhi yenu hamjaanza kunisumbua kutaka nitoe maoni yangu kuhusu kushindwa kwa komredi Simba kwenye tuzo za BET, nimeona niyatoe mapema. Kama kawaida maoni yangu ndo yatakuwa msimamo wa JF. Soma kwa makini.
Kwanini kashinda Burna Boy na sio kada wa CCM Komredi Diamond Platinumz? Ieleweke Meneja wa Burna Boy ni mama yake mzazi. Unaweza ukakurupuka na kudhani labda Mama Dangote naye awe meneja wa mtoto wake ili kurahisisha kazi. Tuzingatie kuwa Mama Burna sio mgeni kwenye kazi yake ya umeneja. Huyu mama ni binti wa Benson Idonije ambaye alikuwa meneja wa mwanamuziki mkubwa kuwahi kutokea Afrika, komredi Fela Kuti. Mama Burna ana Masters degree toka Chuo Kikuu cha Port Harcourt. Huyu mama huzungumza kwa ufasaha lugha ya kiingereza, kifaransa, kijerumani, kiitaliano na kiyoruba. Amefundisha kifaransa kwa miaka 10 kwenye Chuo Kikuu cha Port Harcourt na kustaafu 2018. Kimsingi Mama Burna ana CV ya kutisha pia kakulia kwenye familia ya meneja. Hiyo kazi ipo damuni.
Pamoja na Burna Boy kupata Meneja mwenye viwango vya kimataifa bado tunaambiwa nguli P Didy (Sean Puffy Combs) ni meneja wake kwa upande wa Amerika. CV ya Diddy kwenye muziki ndani ya USA inaeleweka yaani hakuna haja ya maelezo. Tukiachilia mbali mameneja wa Burna, tukumbuke hata Burna ni msomi wa Chuo Kikuu.
Komredi Simba huenda ana kipaji kikubwa kuliko washindani wake lakini tunaona menejimenti yake ni dhaifu kuweza sawa na ushindani wa mameneja wengine. Mimi naona inabidi tukubaliane kwamba kijana aajiri meneja atakayeweza kwenda sawa kimataifa. Mameneja waliopo ndo uwezo wao ulipofikia hatuna cha kuwalaumu zaidi ya kuwapongeza. Ila nao waukubali huu ukweli mchungu. Meneja mwenye elimu ya darasa la saba ni ngumu sana kumvusha msanii wetu. Meneja anatakiwa awe mbali kimaono kuliko msanii. Lakini WCB inaonekana msanii ana akili kuliko mameneja.
Nimalizie kwa kusema kwamba hawa kina Kigogo wa Twitter na wanaharakati uchwara kama Maria Sarungi & company hawakuwa na uwezo wowote wa kuzuia Simba kupata tuzo. BET haipo kisiasa. Na kama kungekuwa na jambo baya kwa vyovyote wangeuliza ubalozi wa USA nchini kama kweli madai ya kina Kigogo ni kweli. BET haina kipengele cha siasa kwenye shuguli zake. Kina Kigogo walichofanya ni kumuongezea umaarufu Diamond.
Nyimbo zenyewe zimejaa matusi siku hiziDomo hajaangushwa na yoyote bali uwezo wake mdogo hana ubunifu zaidi ya kutegemea kurudia nyimbo za wenzie kwa kubembea kwenye msemo hakuna kipya duniani
Za kiliHivi Diamond Platnumz ana tuzo ngapi kulinganisha na huyo Burna Boy? Nadhani Diamond is way too far from Burna Boy when it comes to number of awards winning...pia alikuwa na mameneja hao hao unaowaponda
Alienda kupiga photo akasepa zakeNakubaliana na wewe! pia isitoshe Wakati alipokuwa na Zali Diamond ndo alipata nafasi ya kufanya kazi nyingi na nzuri na wasanii mbali mbali wa nje-ata Zali angeweza kuwa manager mzuri kwake lakini amezungukwa na vilaza ambao awatopenda aje mwenye akili kuliko wao kwa Diamondi lazima watamfanyia figisu figusu atoke!! kule BET sijui kama ata Ukumbini aliingia[emoji1787][emoji1787][emoji1787] picha zote yupo nje na ni za mchana....mle ndani kulikuwa na wasanii wengi aliofanya nao kazi how comes akuna ata kapicha kamoja akiwasalimia??? Dogo aliishia nje ...so sad kwakeli