Diamond kainuliwa na Mungu mwenyewe. Binadamu hawezi kumshusha

Diamond kainuliwa na Mungu mwenyewe. Binadamu hawezi kumshusha

Sawa, najua na wewe ni wa kule kule [emoji869]
giphy.gif
 
Achana na mapungufu yake, haya tumeumbiwa wote chini ya jua.. Kwakuwa sisi wa mwili wa damu na nyama si wakamilifu..

Mungu huwainua wachache kati ya kwa kila taifa, ukoo hata familia.. Huwainua kwa vipawa na vipaji mbalimbali... Na wengine baada ya kujitenga na dunia hutunukiwa karama mbalimbali za kiroho

Diamond Mungu kamtunuku kipaji cha uimbaji wa nyimbo za kidunia na kipawa cha kuweza kufanya mambo makubwa ambayo kuna mamilioni ya wasomi wameshindwa kufanya

Usimwangalie Diamond wa sasa bali mwangalie pale alipoanza kuonekana kwenye mwanzo wa msingi wa mafanikio kupitia wimbo wake wa Mbagala..Na baada ya hapo kuzindua brand yake ya WASAFI iliyoanza kama utani

Mtoto wa fukara aliyelelewa na mzazi mmoja, aliyeshindwa kusoma shule bora na pengine kushindwa kumaliza masomo yake kutokana na changamoto za karo sare nk... Mungu hujidhihiri kupitia watu kama hawa
Kumbuka ni mzazi gani ambaye hapendi mwanawe awe kama Diamond? Na ndio maana kila mzazi mwenye uwezo anajitahidi kumpatia mwanawe elimu bora ili aje kuwa fulani katika maisha...

Njia aliyopita Diamond ni ngumu, nyembamba na iliyojaa taabu na misukosuko mingi, lakini kuna sauti na nguvu ya kiroho iliyokuwa inampa hamasa kwa kila hatua aliyopitia.. Ni wengi wamepita na wanapita aliyoptia Diamond.. Wanapambana kufa na kupona, lakini kwa Mungu kila mmoja ana kipimo chake

Diamond sio wa level ya wasanii wengi kwa sasa kitaifa kikanda na hata kidunia.. Usiangalie followers wake tuu mitandaoni, na mali anazomiliki. Bali mwangalie jinsi alivyoweza kutengeneza legacy yake kwa kuwatengeneza wasanii wengine kupitia yeye mpaka wakajulikana mpaka nje ya mipaka ya Tanzania.. Ana hiki kipawa cha kumbrand mtu
Tuna wasanii wengi na wazuri sana lakini bado hakuna mpaka sasa aliyeweza kufanya aliyofanya Mond..hata kama baadhi wameweza kujisimamia lakini kusimamia wengine wakawa kama wao wameshindwa kabisa.. Kwasasa WASAFI ni BRAND tishio kwenye hilo...!

Nitarejea[emoji1541]
[emoji1541]
Naendelea
Dunia ina wasanii wakubwa wengi, maarufu na matajiri sana waliofikia mafanikio yao kwa njia mbalimbali haramu na halali lakini Mungu akamuinua mmoja tu kati yao naye si mwingine bali ni mfalme wa pop duniani Mwendazake Michael Jackson mwafrika kwa jina la mmarekani mweusi... Ukimwengu utapita vizazi vingi kabla ya kumpata MJ mwingine

Diamond is almost there.. Japo hajafika lakini aliyoyafanya mpaka sasa anastahili kupewa heshima yake kitaifa.. Huyu ni mmojawapo ya tunu za taifa kupitia sanaa ya mziki wa kisasa.. Ni mbunifu, ni mtunzi ni muibua vipaji na mwendeleza vipaji, ni mjasiriamali na yuko very smart kwenye kazi zake..!

Action speak louder than words.. Si muongeaji sana lakini matokeo ya kazi zake yanaonekana.. Ufahari wa kununua vitu vya gharama kubwa ni kiu ya binadamu yoyote yule, lakini vilevile ni kuudhihirishia umma kwamba yeye ni above next level ...!

Ndege yake inakuja iko njiani.. Gharama za kumiliki hiki chombo si mchezo hata kama hataitumia sana Lakini tayari ameshatengeneza historia nyingine ya msanii wa kwanza Tanzania na wachache ulimwenguni kumiliki chombo Kama hicho..

Waswaheli wanasema usimwingilie aliyepewa kapewa! Mond kapewa kama wewe hujapewa mwombe sana Mungu katika ukoo wenu kama si familia basi amuinue mmoja kati yenu atengeneze legacy ya familia na ukoo... ! Chuki dhidi yake ni roho ya washindwa na kijicho..

LA Mwisho wainuliwa wengi huwa hawana maisha mengi.. Lakini kwa Mond tunaweza kumfanyia ibada mwenyezi Mungu amjaalie maisha mengi mengi[emoji1545][emoji818]
Wanalijua hilo hata wasipo mpa sifa yake,mengi anayafanya wengine hawafanyi. Naona kijana anataka kuwabwaga watoto wa label yake kisha wachoka, msifanye masihala kuwekeza kwa mtu naona jamaa anaogopa lawama au sijui bajeti ya promo imetikisika.

Kuhusu Rayvanny uzushi dogo yupo vizuri sana na WCB.
Screenshot_20220801-110411_Chrome.jpg
 
Wanalijua hilo hata wasipo mpa sifa yake,mengi anayafanya wengine hawafanyi. Naona kijana anataka kuwabwaga watoto wa label yake kisha wachoka, msifanye masihala kuwekeza kwa mtu naona jamaa anaogopa lawama au sijui bajeti ya promo imetikisika.

Kuhusu Rayvanny uzushi dogo yupo vizuri sana na WCB.
View attachment 2310810
Alitaka kushindana na Mond.. Sio rahisi kiasi hicho
 
Achana na mapungufu yake, haya tumeumbiwa wote chini ya jua.. Kwakuwa sisi wa mwili wa damu na nyama si wakamilifu..

Mungu huwainua wachache kati ya kwa kila taifa, ukoo hata familia.. Huwainua kwa vipawa na vipaji mbalimbali... Na wengine baada ya kujitenga na dunia hutunukiwa karama mbalimbali za kiroho

Diamond Mungu kamtunuku kipaji cha uimbaji wa nyimbo za kidunia na kipawa cha kuweza kufanya mambo makubwa ambayo kuna mamilioni ya wasomi wameshindwa kufanya

Usimwangalie Diamond wa sasa bali mwangalie pale alipoanza kuonekana kwenye mwanzo wa msingi wa mafanikio kupitia wimbo wake wa Mbagala..Na baada ya hapo kuzindua brand yake ya WASAFI iliyoanza kama utani

Mtoto wa fukara aliyelelewa na mzazi mmoja, aliyeshindwa kusoma shule bora na pengine kushindwa kumaliza masomo yake kutokana na changamoto za karo sare nk... Mungu hujidhihiri kupitia watu kama hawa
Kumbuka ni mzazi gani ambaye hapendi mwanawe awe kama Diamond? Na ndio maana kila mzazi mwenye uwezo anajitahidi kumpatia mwanawe elimu bora ili aje kuwa fulani katika maisha...

Njia aliyopita Diamond ni ngumu, nyembamba na iliyojaa taabu na misukosuko mingi, lakini kuna sauti na nguvu ya kiroho iliyokuwa inampa hamasa kwa kila hatua aliyopitia.. Ni wengi wamepita na wanapita aliyoptia Diamond.. Wanapambana kufa na kupona, lakini kwa Mungu kila mmoja ana kipimo chake

Diamond sio wa level ya wasanii wengi kwa sasa kitaifa kikanda na hata kidunia.. Usiangalie followers wake tuu mitandaoni, na mali anazomiliki. Bali mwangalie jinsi alivyoweza kutengeneza legacy yake kwa kuwatengeneza wasanii wengine kupitia yeye mpaka wakajulikana mpaka nje ya mipaka ya Tanzania.. Ana hiki kipawa cha kumbrand mtu.

Tuna wasanii wengi na wazuri sana lakini bado hakuna mpaka sasa aliyeweza kufanya aliyofanya Mond..hata kama baadhi wameweza kujisimamia lakini kusimamia wengine wakawa kama wao wameshindwa kabisa.. Kwasasa WASAFI ni BRAND tishio kwenye hilo...!

Nitarejea[emoji1541]
[emoji1541]
Naendelea
Dunia ina wasanii wakubwa wengi, maarufu na matajiri sana waliofikia mafanikio yao kwa njia mbalimbali haramu na halali lakini Mungu akamuinua mmoja tu kati yao naye si mwingine bali ni mfalme wa pop duniani Mwendazake Michael Jackson mwafrika kwa jina la mmarekani mweusi... Ukimwengu utapita vizazi vingi kabla ya kumpata MJ mwingine

Diamond is almost there.. Japo hajafika lakini aliyoyafanya mpaka sasa anastahili kupewa heshima yake kitaifa.. Huyu ni mmojawapo ya tunu za taifa kupitia sanaa ya mziki wa kisasa.. Ni mbunifu, ni mtunzi ni muibua vipaji na mwendeleza vipaji, ni mjasiriamali na yuko very smart kwenye kazi zake..!

Action speak louder than words.. Si muongeaji sana lakini matokeo ya kazi zake yanaonekana.. Ufahari wa kununua vitu vya gharama kubwa ni kiu ya binadamu yoyote yule, lakini vilevile ni kuudhihirishia umma kwamba yeye ni above next level ...!

Ndege yake inakuja iko njiani.. Gharama za kumiliki hiki chombo si mchezo hata kama hataitumia sana Lakini tayari ameshatengeneza historia nyingine ya msanii wa kwanza Tanzania na wachache ulimwenguni kumiliki chombo Kama hicho..

Waswaheli wanasema usimwingilie aliyepewa kapewa! Mond kapewa kama wewe hujapewa mwombe sana Mungu katika ukoo wenu kama si familia basi amuinue mmoja kati yenu atengeneze legacy ya familia na ukoo... ! Chuki dhidi yake ni roho ya washindwa na kijicho..

LA Mwisho wainuliwa wengi huwa hawana maisha mengi.. Lakini kwa Mond tunaweza kumfanyia ibada mwenyezi Mungu amjaalie maisha mengi mengi[emoji1545][emoji818]
Sasa mkuu huku mtaani kwenye vijiwe vya kahawa wanasema jamaa ni FREE MASON...
Nanukuu...
Kapewa nyota ya Umaarufu, mvuto, ushawishi na Mafanikio...ndio maana ana ma tattoo ya kishetani, pete za mvuto, cheni za ajabu zenye nembo mbalimbali za wajenzi huru...

Halafu kwenye suala la imani yake (kiislamu) hatumuoni sana ibadani (japo ni jambo binafsi)...

Wengine wanasema oooh Diamond hawezi kuoa kwa sababu ya maagano aliyoingia na Freemasons hayapatani...yaani agano la kafara zao na agano la ndoa takatifu ya kidini haviingiliani?

Wanaenda mbali zaidi wanasema Alichoruhusiwa tu ni kuzalisha tu wanawake na kuwa na pisi kali tu Yoyote aitakayo lakini suala la NDOA ni BIG NO! Akioa mafanikio yake yote yatapotea na mvuto wote utapotea na huenda akapigwa tukio kubwa na wajenzi huru tukamsahau kabisa


Mwisho wa kunukuu...

SASA MTAALAMU HAYA MANENO NI YA KWELI AU HUKU KIJIWENI WANATUPANGA TU?

NB: Hayo maneno ni ya kwenye vijiwe vya kahawa sio yangu!

Mimi kwangu namkubali ni msanii anaeitangaza Tanzania kimataifa, hayo mengine ni personal tu siwezi kuingilia na kumjengea chuki/wivu kwa mtu anaepambana
 
Ndio maana nyimbo zake ni za matusi matusi tu
Zaburi 10 3-7

3. Mwovu hujisifia tamaa zake mbaya, mtu wa tamaa hulaani na kumkataa Mwenyezi-Mungu.
4. Katika majivuno yake husema: “Mungu hatagundua.” Mawazo yake yote ni: “Hakuna Mungu.”
5. Njia za mwovu hufanikiwa daima; kwake hukumu zako ziko mbali na mawazo yake, na huwadharau maadui zake wote.
6. Huwaza moyoni: “Sitakuwa na wasiwasi; sitapatwa na dhiki maishani.”
7. Kinywa chake kimejaa laana, udanganyifu na dhuluma; mwepesi kusema maneno ya kuchukiza na maovu. (rejea maudhui ya nyimbo zake)


Mengine tumuachie mwenyewe Maulana
 
Sasa mkuu huku mtaani kwenye vijiwe vya kahawa wanasema jamaa ni FREE MASON...
Nanukuu...
Kapewa nyota ya Umaarufu, mvuto, ushawishi na Mafanikio...ndio maana ana ma tattoo ya kishetani, pete za mvuto, cheni za ajabu zenye nembo mbalimbali za wajenzi huru...

Halafu kwenye suala la imani yake (kiislamu) hatumuoni sana ibadani (japo ni jambo binafsi)...

Wengine wanasema oooh Diamond hawezi kuoa kwa sababu ya maagano aliyoingia na Freemasons hayapatani...yaani agano la kafara zao na agano la ndoa takatifu ya kidini haviingiliani?

Wanaenda mbali zaidi wanasema Alichoruhusiwa tu ni kuzalisha tu wanawake na kuwa na pisi kali tu Yoyote aitakayo lakini suala la NDOA ni BIG NO! Akioa mafanikio yake yote yatapotea na mvuto wote utapotea na huenda akapigwa tukio kubwa na wajenzi huru tukamsahau kabisa


Mwisho wa kunukuu...

SASA MTAALAMU HAYA MANENO NI YA KWELI AU HUKU KIJIWENI WANATUPANGA TU?

NB: Hayo maneno ni ya kwenye vijiwe vya kahawa sio yangu!

Mimi kwangu namkubali ni msanii anaeitangaza Tanzania kimataifa, hayo mengine ni personal tu siwezi kuingilia na kumjengea chuki/wivu kwa mtu anaepambana
Kuna upotoshaji mkubwa sana kwenye hili swala la Freemasons na akili ndogo pekee ndio hueneza hizo propaganda potofu.. Wavivu wa kufikiri hukimbilia hoja ya Freemasons kama njia ya mkato ya ku justfy hoja zao potofu bila kuzingatia mtu katoka wapi na kapambana vipi mpaka kafika hapo alipofikia
 
Kuna upotoshaji mkubwa sana kwenye hili swala la Freemasons na akili ndogo pekee ndio hueneza hizo propaganda potofu.. Wavivu wa kufikiri hukimbilia hoja ya Freemasons kama njia ya mkato ya ku justfy hoja zao potofu bila kuzingatia mtu katoka wapi na kapambana vipi mpaka kafika hapo alipofikia
Wanasema taarifa za uongo zisipokanushwa watu huamini ni ukweli
 
Wanasema taarifa za uongo zisipokanushwa watu huamini ni ukweli
Sio kila kitu ni cha kujibu ama kukanusha... Waangalie wote wanaoshadadia hizo ishu za Masons kiwango chao cha uelewa elimu na status zao za kimaisha.. Asilimia 90 ni washindwa na watu wanaoishi kwenye ulimwengu wa kufikirika.. Wasiotaka kushughulisha bongo zao
 
Back
Top Bottom