Diamond kainuliwa na Mungu mwenyewe. Binadamu hawezi kumshusha

Diamond kainuliwa na Mungu mwenyewe. Binadamu hawezi kumshusha

Sio kila kitu ni cha kujibu ama kukanusha... Waangalie wote wanaoshadadia hizo ishu za Masons kiwango chao cha uelewa elimu na status zao za kimaisha.. Asilimia 90 ni washindwa na watu wanaoishi kwenye ulimwengu wa kufikirika.. Wasiotaka kushughulisha bongo zao
Lakini muda mwingie wanakuwa na hoja ee?
 
Hapo umeyumba kumhusisha Mungu, Mungu hayupo hapo labda useme ibirisi ndio kamuinua Mungu hainui waovu, nyimbo zake zimejaa kufuru, matusi na laana Mungu gani gani unayemzungumzia hapa? Kama kafanikiwa ni Kwa jitihada zake na shetani wake!
 
Hapo umeyumba kumhusisha Mungu, Mungu hayupo hapo labda useme ibirisi ndio kamuinua Mungu hainui waovu, nyimbo zake zimejaa kufuru, matusi na laana Mungu gani gani unayemzungumzia hapa? Kama kafanikiwa ni Kwa jitihada zake na shetani wake!
Achana na mapungufu yake, haya tumeumbiwa wote chini ya jua.. Kwakuwa sisi wa mwili wa damu na nyama si wakamilifu
 
Ila Mungu hawezi mtuma mtu au kumuinua ili atangaze umende
Au pombe

Hizo ni juhudi zake, Mungu kampa Uhai
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
 
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] natamani kuandika vingi mnooo. Ila basis tyuuh. Nwei kila mtu na life lake
 
Achana na mapungufu yake, haya tumeumbiwa wote chini ya jua.. Kwakuwa sisi wa mwili wa damu na nyama si wakamilifu
Sio mapungufu, na hayo Wala sio mapungufu ni maudhui ya nyimbo zake je zinamsifu Mungu, zinaasa au kuonya jamii?? Au zinapotosha, na ni Mungu gani atahusika na hayo maasi Mpaka amuinue anayeyatenda??
 
Nimeandika hivi[emoji1541]
Achana na mapungufu yake, haya tumeumbiwa wote chini ya jua.. Kwakuwa sisi wa mwili wa damu na nyama si wakamilifu
Ila Mungu hahusiki, yeye anamjalia Afya tu
 
Sio mapungufu, na hayo Wala sio mapungufu ni maudhui ya nyimbo zake je zinamsifu Mungu, zinaasa au kuonya jamii?? Au zinapotosha, na ni Mungu gani atahusika na hayo maasi Mpaka amuinue anayeyatenda??
Wakati tunajadili haya anaendelea kumake na kuzidi kujikita kileleni.. Huyu kapewa tumpe heshima yake.. Tena afadhali yeye kuliko hao manabii na mitume wanaojifanya watakatifu sana kumbe ni wabaya na wachafu kumzidi Mond kwa mbali sana
 
Ila Mungu hahusiki, yeye anamjalia Afya tu
Siwezi kumtoa kwenye hili nitakuwa sijaitendea haki mada yangu na Mond pia .. Ana kipaji na ana kipawa hizi ni tunu za kimungu hatuwezi kulikwepa hili hata tufanyeje
 
Hapana ni sehemu ya uumbaji.. Hivi wewe ni mkamilifu? Hutendi dhambi?
Kwani dhambi ni nini? Kwahiyo Kwa mujibu was maandiko Mungu anawainua wenye dhambi?

Na Mungu aliwaangamiza sodoma na gomora Kwa sababu ya uovu licha ya kuwa aliwaumba ndo maana nakuambia kwenye hili la mafanikio ya Diamond mtoe Mungu mafanikio yake hayatokani na Mungu
 
Shetani ni mkuu wa anga lipi?
Dunia Ina wakuu wawili wa anga shetani Na Mungu ,shetani pia anaweza kukuinua so Kwa swala la bwana mdgo sidhani kama ni Mungu huyu tunayemwabudu
 
Kwani dhambi ni nini? Kwahiyo Kwa mujibu was maandiko Mungu anawainua wenye dhambi?

Na Mungu aliwaangamiza sodoma na gomora Kwa sababu ya uovu licha ya kuwa aliwaumba ndo maana nakuambia kwenye hili la mafanikio ya Diamond mtoe Mungu mafanikio yake hayatokani na Mungu
Mond sio muimba kwaya wala mhubiri Mungu hugawa vipawa kwa watu wote HABAGUI .. Hutupa wote hewa jua na kila hitaji kwa vipimo vyake.. Usiangalie matokeo angalia asili
 
Back
Top Bottom