Diamond kainuliwa na Mungu mwenyewe. Binadamu hawezi kumshusha

Diamond kainuliwa na Mungu mwenyewe. Binadamu hawezi kumshusha

Mond mwenyewe anakuambia “chama la wana”
 
Mond sio muimba kwaya wala mhubiri Mungu hugawa vipawa kwa watu wote HABAGUI .. Hutupa wote hewa jua na kila hitaji kwa vipimo vyake.. Usiangalie matokeo angalia asili
Na Mimi sijazungumzia kuimba kwake nazungumza issue ya kuinuliwa na Mungu, Sauli ambaye ni Paulo alikuwa muuaji lakini Ili Mungu amuinue Ilikuwa ninlazina ambadilishe kwanza, Mungu hamuinui mwenye dhambi, Wala mafanikoo ya mwenye dhambi hayahusiani na Mungu, sijazungumzia habari ya muimba kwaya au mhubiri na kumbuka Mungu hamuinui Mtu hivi hivi lazima Kuna kusudi(mapenzi) na kusudi la Mungu ni kuwavuta watu wote wamtumikie yeye.

NARUDIA TENA KWENYE MAFANIKIO YA DIAMOND MTOE MUNGU HAUSIKI
 
Mond sio muimba kwaya wala mhubiri Mungu hugawa vipawa kwa watu wote HABAGUI .. Hutupa wote hewa jua na kila hitaji kwa vipimo vyake.. Usiangalie matokeo angalia asili
Sasa lazima utofautishe kipawa na kuinuliwa ni vitu viwili tofauti
 
Na Mimi sijazungumzia kuimba kwake nazungumza issue ya kuinuliwa na Mungu, Sauli ambaye ni Paulo alikuwa muuaji lakini Ili Mungu amuinue Ilikuwa ninlazina ambadilishe kwanza, Mungu hamuinui mwenye dhambi, Wala mafanikoo ya mwenye dhambi hayahusiani na Mungu, sijazungumzia habari ya muimba kwaya au mhubiri na kumbuka Mungu hamuinui Mtu hivi hivi lazima Kuna kusudi(mapenzi) na kusudi la Mungu ni kuwavuta watu wote wamtumikie yeye.

NARUDIA TENA KWENYE MAFANIKIO YA DIAMOND MTOE MUNGU HAUSIKI
Haitaondoa ukweli kwamba Mond kainuliwa na Mungu katika kipaji na vipawa vyake hata kama nikikanusha hapa kitu ambacho siwezi kufanya kamwe
 
Secular Music Industry
Najua wajua behind the wheel kazi gani inaendelea.
#Kingdom of Air
 
Achana na mapungufu yake, haya tumeumbiwa wote chini ya jua.. Kwakuwa sisi wa mwili wa damu na nyama si . Lakini kwa Mond tunaweza kumfanyia ibada mwenyezi Mungu amjaalie maisha mengi mengi[emoji1545][emoji818]
Thibitisha Mungu yupo kweli.
 
Tofauti yake ni nini.. Hebu tupe elimu kidogo tujifunze
Kipawa ni kama kito cha thamani machoni pake yeye aliye nacho; Kila kigeukapo hufanikiwa.

A gift is as a precious stone in the eyes of him that hath it: whithersoever it turneth, it prospereth.
Mithali 17:8.

Kipawa mtu huzaliwa nacho na akikitambua akakitumia basi humnufaisha, ndicho kilimfanya diamond kuwa hapo na Kwa bahari mbaya sana Ibirisi hukiwah mapema Ili na yeye anufaike nacho. Lakini kuinuliwa na Mungu hutegemea mahusiano aliyonayo mtu na Mungu aliyemkirimia hicho kipawa. Kumbuka Mungu humuinua mtu kwa kusudi lake.
 
Haitaondoa ukweli kwamba Mond kainuliwa na Mungu katika kipaji na vipawa vyake hata kama nikikanusha hapa kitu ambacho siwezi kufanya kamwe
Oooh kumbe umeamua kuiweka hivyo bila kuangalia uhalisia wake?
 
Kipawa ni kama kito cha thamani machoni pake yeye aliye nacho; Kila kigeukapo hufanikiwa.

A gift is as a precious stone in the eyes of him that hath it: whithersoever it turneth, it prospereth.
Mithali 17:8.

Kipawa mtu huzaliwa nacho na akikitambua akakitumia basi humnufaisha, ndicho kilimfanya diamond kuwa hapo na Kwa bahari mbaya sana Ibirisi hukiwah mapema Ili na yeye anufaike nacho. Lakini kuinuliwa na Mungu hutegemea mahusiano aliyonayo mtu na Mungu aliyemkirimia hicho kipawa. Kumbuka Mungu humuinua mtu kwa kusudi lake.
Kuna vitatu vitatu inabidi uvijue kwa hakika bila kuvichanganya
1. Kipaji
2. Kipawa
3. Karama
 
Oooh kumbe umeamua kuiweka hivyo bila kuangalia uhalisia wake?
Huo ndio uhalisia nimekwepa kutumia neno ukweli kwakuwa ukweli hubadilika kulingana na mazingira Lakini uhalisia haubadiliki
 
"LA Mwisho wainuliwa wengi huwa hawana maisha mengi.. Lakini kwa Mond tunaweza kumfanyia ibada mwenyezi Mungu amjaalie maisha mengi meng"


Funguka tuu mkuu
 
Na Mimi sijazungumzia kuimba kwake nazungumza issue ya kuinuliwa na Mungu, Sauli ambaye ni Paulo alikuwa muuaji lakini Ili Mungu amuinue Ilikuwa ninlazina ambadilishe kwanza, Mungu hamuinui mwenye dhambi, Wala mafanikoo ya mwenye dhambi hayahusiani na Mungu, sijazungumzia habari ya muimba kwaya au mhubiri na kumbuka Mungu hamuinui Mtu hivi hivi lazima Kuna kusudi(mapenzi) na kusudi la Mungu ni kuwavuta watu wote wamtumikie yeye.

NARUDIA TENA KWENYE MAFANIKIO YA DIAMOND MTOE MUNGU HAUSIKI
Natafakari
 
Back
Top Bottom