Diamond kainuliwa na Mungu mwenyewe. Binadamu hawezi kumshusha

Umegusa hisia za watu wenye mambo ya 'timu', wengine wanakujia na cheap excuses eti ana uCCM wakati topic haihusiani na siasa nawe ni CHADEMA kindakindaki maana yake kwenye upande huo hamuendani kabisa. Mapungufu mengine wasanii wengine wanayo zaidi yake.
Kitendo cha kuinua vijana wengine mpaka wanafikia kushindanishwa naye ni yeye tu mwenye moyo huo, wasanii wengine labels zao ni kwa ajili ya kukuza images zao binafsi kwani hawawainui wasanii wao kuwafikisha kwenye mafanikio mpaka angalau wafikie uwezo wa kulinganishwa nao.
Kongole kwa analysis yako.
 
Umesoma heading? Na momi wala sina.mrengo wa dini ni nukuu tu, kama imekukera pole
wala hujanikera mkuu, heading inazungumzia kuinuliwa kwa ujumla, mfano; kama mungu kakubariki uwe genius hakuna wakulizuia hilo bila kujali utautumia vipi.
 
Heshima kwako Puncler asante sana ndio maana nikaamua kuwa mtulivu na kuwajibu kwa weledi... Kwa upande mwingine siwalaumu sana maana pengine level yao ya uelewa inaishia kimo cha mbilikimo
 
Nidhamu na kujali anachofanya
 
Thread 'Ujue ugonjwa wa Mgunda na jinsi ya kujikinga' SoC 2022 - Ujue ugonjwa wa Mgunda na jinsi ya kujikinga
 
Ni wazi kabisa Diamond hawezi kupendwa na kila mtu. Hilo ni jambo lisilowezekana kabisa
Ni wazi si kila mtu atapenda kazi zake
Ni wazi si kila mtu atapenda lifestyle yake
Ni wazi si kila mtu atapenda mafanikio yake... Lakini haya yote hayaondoi ukweli kwamba Diamond kainuliwa juu zaidi kati ya mabilion ya walimwengu

Vipawa havifanani, Kila mtu amebarikiwa chake lakini pia kwa kipimo chake kwa ukubwa wake

Unaizungumziaje JamiiForums ya Maxence Melo ..! Huyu ni kipawa kingine kwenye haya mambo ya mitandao ya kijamii... Impact yake kwa jamii nzima inajulikana mpaka nje ya Tanzania.. Lakini ana maadui pia na mchango wake haupewi kipaumbele mbele ya organs za kitaifa officially.. Hawa ndio binadamu tulionao.

Ku appreciate kipawa cha mtu ni sumu kwao
 
wala hujanikera mkuu, heading inazungumzia kuinuliwa kwa ujumla, mfano; kama mungu kakubariki uwe genius hakuna wakulizuia hilo bila kujali utautumia vipi.
Popote anapotajwa "Mungu" jua imani inahusika kwa namna moja ama nyingine, na imani yangu ndio imepelekea kuhusisha na maandiko yetu yanavyosema.
 
Mshana umekula mkataba kwa Mond et, maana hii sio desturi yako kuweka mapambia na sifa za wasafi
 
Na ni kweli, kuna matukio yanadhihirisha anachosema mkuu Mshana. Mojawapo ambalo huwa napenda kuliwazia ni pale marehemu Ruge alivyojaribu kumzima Diamond, hakuweza kufanikiwa hata kidogo na hila zake ovu, marehemu inasemekana aliweza kuwazima wasanii wengi tuu pale ambako aliona hapati ulaji wake. Huwa nawaza kama angekuwa msanii mwingine sijui kama angetoboa.
 
Nashangaa mbona Kanumba katika kipindi Cha uhai wake hakufunguliwa Uzi mzuri Kama huu wa Monday Hapa jf.

R. I .P Kanumba
Naamini hakuna anayekatazwa au aliyewahi kukatazwa kufungua uzi kwa ajili ya Kanumba, mafanikio, karama na kuwafikisha vijana wengine kwenye mafanikio vilivyoainishwa na mleta uzi Kanumba hakufika mafanikio hayo hata chembe. He was a big star/a good actor for sure lakini anayezungumziwa na mleta mada ni big star hata nje ya mipaka ya Tz.
 
Kwa hivyo nikifikiria kuwa pembetatu duara ipo, hilo linamaanisha pembetatu duara ipo?

Nikikwambia uongo wowote, kwa mfano, wewe ni shetani, ukabisha, nikakwambia hilo jambo ni mfano wa fikra, halionekani, utakubali kwamba wewe ni shetani?

Unajuaje Mungu yupo na haonekani? Unajuaje hii si hadithi iliyotungwa na watu tu na Mungu kiukweli kabisa hayupo?
 
Achana na mapungufu yake, haya tumeumbiwa wote chini ya jua.. Kwakuwa sisi wa mwili wa damu na nyama si wakamilifu.

HAPA UMEANZA MKUTAKATISHA, NI KWELI KILA BINADAMU ANAMAKOSA YAKE.
HUYU MTU NI WAKALA (UNAJUA VIZURI), NA NDIO MAANA KAKUMBATIA MASHOGA KWENYE LEBO YAKE.

MASHOGA+MUSIC+MEDIA=?
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…