Diamond kamuomba Gwajima yaishe

Diamond kamuomba Gwajima yaishe

Diamond ametumika kuimba fitina ambayo matokeo yake amejipatupa kwenye dimbwi la kinyesi kujaribu kumuokoa Bashite alafu wamezama wote.
aa8844d0cfe7fea8cbe043ea3b2c4582.gif

NI VYEMA KESHO NA YEYE AKIBATIZWA KWA MOTO.
 
Hongera Chibu,Muungwana ni vitendo.Kwa mara ya kwanza Tz tumempata msanii mwenye kipaji na busara.
 
Vijana wanachokonoa mambo kumbe waoga. Kama alitumwa aimbe watu aiache kabisa hako katabia, kanaweza kummaliza kisanii.
 
Trust me baraza la maaskofu wa makanisa yote wapo macho na wanaona kinachoendelea...
Ameingilia uhuru wa habar wanamuangalia tu...
Ameingilia uhuru wa kujieleza wanamwangalia tu...
Vurugu zote anafanya wantizama tu...
Akijichanganya kuingilia uhuru wa kuabudu hapo hatovumiliwa..


......Never underestimate the power of the church......
Kwahiyo kidomodomo cha kanisa wakati wa JK kilitokana na dini yake? Huyu tunayesali naye parokia moja ndio tunajifanya hatuoni?

Maaskofu ni wanafki sana, nawaheshimu maaskofu wa Congo tu ndio wanajuwa wajibu wao.
 
Huyu alikuwa anajaribu kumkumbatia nyuki. Na uzuri au ubaya wa askofu Gwajima kabla hajakuzungumzia anaanza kutoa historia yako fupi kwanza. Ili kusudi mumuelewe mtu vizuri. Sio mbaki na sintofahamu. Hapa angeanza kuongelea ukoo wake kwanzaa alafu ndo amshushe yeye kama yeye
[emoji3] [emoji3] [emoji3] [emoji3] [emoji3] [emoji3] mkuu hakika usha mjua vizuri bishop,dr slaaa hana hamu na hiyo kitu inayoitwa gwajima
 
GEUZA
Kupitia ukarasa wake wa instagram. Diamond kasema hakumuimba Konda na Gwajima kwa ubaya. Kajishusha haraka sana. Kamuomba asimgeuze maji Nami naungana na Diamond kumuomba mchuganji asimgeuze maji kijana wetu, huenda wimbo tulikua hatujaulewa.
MAJI TU.
WANAFANYA CCM IENDELEE KUWEPO MADARAKANI.
 
Na huyo Gwajima kwanini ajipatie umaarufu kwa kuongea maisha ya watu. Alimkejeli askofu Pengo na JK akampelekesha puta. Matokeo yake kaona anayo haki ya kuwa hakimu wa maisha ya watu.

Inaboa sana kuona kiongozi wa kiroho anaamua kuiishi fitina ambayo ni mlango mkubwa wa shetani. Haya mambo ya wachungaji kuingia kwenye vita za maneno na raia wasio na platform au wasiopenda majibizano, sio ustaarabu wala utamaduni wa kitanzania.
Lakini wanamchokoza wao hata lusekero alisema hatamnyamazia anayemchokoza ikiwezekana atamuombea afee Kabisa iwaje ww leo aje mtu kazini kwako anakupondea ufukuzwe kazi utamwachia mungu angali familia inakutegemea
 
Hawa wasanii wanaweza wakawa wanatumika kisiasa angalia kijana ana acha kuelimisha watu through mzk wake anaungana na mambo yasiyofaaa tatizo la huyu dai,,, ni elimu tu ndo naana anakurupuka hovyo lazma uangalie side effect ya kila unacho expose na cyo kuropoka hovyo tu,,,,,Infact mchungaji amsamee tu huyu kijana maana hana analojua huyu zaid ya kuimba tu
 
Kanikwazaa!
Angemuacha tu huyo mbwa kichaa kesho abweke tu
Kelele zake za kuongeza idadi ya sadaka tumezizoea
Safi sana halafu watu hawajui kuwa gwajima anapenda hizi bifu ziendelee ili watu waende kwake apige sadaka ya maana
 
Huyo Domo amelitibua dude sasa anahaha kulituliza.
Ukiishi kwa kutegemea akili za wanafiki ujue utaumbuka. Jamaa anakosa uhuru wa kufikiri hata kwa yaliyodhahiri analeta dhihaka. Ngoja ayakoge, ameyaronda mwenyewe!
 
Back
Top Bottom