wiseboy.
JF-Expert Member
- Aug 11, 2014
- 2,932
- 4,544
Ni bora umtukane rais wa nchi maana kaajiriwa na wananchi kuliko kumtukana mtumishi wa Mungu aliyeajiriwa na Mungu, yaani mtumishi wa Mungu unamwita mbwa kichaa?Kanikwazaa!
Angemuacha tu huyo mbwa kichaa kesho abweke tu
Kelele zake za kuongeza idadi ya sadaka tumezizoea
Omba toba haraka Sana Kwa Mungu, or else Nakuhakikishia huu mwaka huumalizi salama, ghadhabu ya Mungu lazima ikuchape, mimi sikujui, ila wanaokujua wanukuu maneno yangu ili yaje kutumika Kama ushahidi endapo utakaidi kufanya toba.