Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Hii ndio mara yangu ya kwanza kuona SIMBA anafyata mkia.
Hahah lakini si bado ajasamehewa...hii ndo ile anything can happen stay tunedhaaaaaa bora kaomba msamaha fasta... kafanya busara. Funika kombe mwanaharam apite
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]DNA ZA KILA TIFA TUNGEZIONA LIVE
BABA TIFA BABA NILLAN WANGEKUWEPO KANISANI KESHO
[emoji23] [emoji23] simba kawa paka leohaaaa Double manifestation Diamond mwenyewe kakiri jumapili ya kesho itakua chungu...
kama ni brand ndio avute watu sharubu yeye kama nani? punguza uhayawani na weweDIAMOND kila anachokifanya ni MJADALA WA KITAIFA,hakika MOND ni brand kubwa sana na anachokipata au alichonacho ni kidogo sana.Humu kuna thread si chini ya 3 zinazyngumzia vitu vinavyokaribiana.
UKUTE IVAN TAYARI KESHATUA DARNasikia kesho anaenda kusali kanisa la ufufuo, nakupeleka sadaka. Hapo mchungaji atampokea kwashangwe na vigelegele.
CHEZEA DNA WEWE KITU LIVEEE NA IVAN NDANI YA UFUFUO NA UZIMAHuyu Askofu natamani amchape bakora za maana ili akiambiwa akae kimya na mama yake atilie manani.
Baba mchungaji huwa anahitaji Samahani tu.. mi naomba amsamehe tu kijana keshajishushaHahah lakini si bado ajasamehewa...hii ndo ile anything can happen stay tuned