Diamond kamuomba Gwajima yaishe

Diamond kamuomba Gwajima yaishe

Huyu alikuwa anajaribu kumkumbatia nyuki. Na uzuri au ubaya wa askofu Gwajima kabla hajakuzungumzia anaanza kutoa historia yako fupi kwanza. Ili kusudi mumuelewe mtu vizuri. Sio mbaki na sintofahamu. Hapa angeanza kuongelea ukoo wake kwanzaa alafu ndo amshushe yeye kama yeye
 
Kila kitu anachukulia ni fursa vingine sio fursa anajiharibia domo
 
Haaaaa kesho sadaka zingekua zakutosha.
 
DIAMOND kila anachokifanya ni MJADALA WA KITAIFA,hakika MOND ni brand kubwa sana na anachokipata au alichonacho ni kidogo sana.Humu kuna thread si chini ya 3 zinazungumzia vitu vinavyokaribiana.
 
Dimondo umetuharibia pozi la kesho aah...manake ungechanwa mpaka uzimie pwaaa...chezea Ngwajima wewe....
 
DIAMOND kila anachokifanya ni MJADALA WA KITAIFA,hakika MOND ni brand kubwa sana na anachokipata au alichonacho ni kidogo sana.Humu kuna thread si chini ya 3 zinazyngumzia vitu vinavyokaribiana.
kama ni brand ndio avute watu sharubu yeye kama nani? punguza uhayawani na wewe
 
Ila ukutte hii ni series inaongozwa na Mange, Makondakta, Gwajima, sasa naona wamemueka Diamond na Roma. Sijui nani atakufa katika hii movie
 
Back
Top Bottom