Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Jamaa bado ana akili za kitoto ukweli Dai domo amepiga hatua na yuko vizuri mweleze mchizi aache wivu na sisi wanaume ukiona mkeo anamsifia mtu fulani basi jipange na utafute status zaidi ya anayesifiwa sio blah blah tu mjini
Asante ma dear,akue mara ngapi mtu ana 30 n above,au alikua na stress
Akikuckia unamuita kirundu acra zote zitakuangukia ww
He has a point lakini.... wewe kwanini ulikomaa unamsifia domo wakati upo na mpenzio??? element za wivu na karoho kalikuwa kanamuuma... possible hujawahi kumsifia toka muanze relationship thats why anaumia..... usirudie the same mistake in future..... kinyaa
Aisee !! Wivu hadi kwawasanii! Haya mbembeleze!! Siku nyingine usirudie kumsifia hata joti!!
True that,ila kuishi na mwanaume asiyejiamini ni shida!!!Ni kweli unatakiwa kumsoma mwenzio hapendi nini na anapenda nini!
Sent from my iPhone using JamiiForums app
Ni kweli unatakiwa kumsoma mwenzio hapendi nini na anapenda nini!
Sent from my iPhone using JamiiForums app
True that,ila kuishi na mwanaume asiyejiamini ni shida!!!
Huyu ukimsifu bosi wako kuwa ana roho nzuri mbele yake si uta pack mabegi uhamie huko kwa bosi?
Aje tu nimuongezee maumivu.
Kama ni kirundu asiambiwe?
Wivu gani huo wa kijinga?
Mnagombanishwa na mtu ambaye hata hajui kuwa mna exist?
sasa na wewe unamsifiaje mwanaume mbele ya kidume???
siso huwaga tunawaponda hata kama tunawapeenda
USIRUDIE
Yaaan nikimfikiria nashindwa kbs kumuelewa
Pole sana.
Huyo mwathu eirundie kabitha.
Ni shabki wa spain huyo sema kaamua kukufia mwanangu..pole sana.