Diamond kaniponza jamani

Diamond kaniponza jamani

ha ha haaa spain chaliii bwawa wako chalii bas shida tupu!
 
Jamaa bado ana akili za kitoto ukweli Dai domo amepiga hatua na yuko vizuri mweleze mchizi aache wivu na sisi wanaume ukiona mkeo anamsifia mtu fulani basi jipange na utafute status zaidi ya anayesifiwa sio blah blah tu mjini

Nimekupenda bure aiseee
 
am more interested with your name kinyaa

why did you choose such a name?

may be ulikuwa unatumia maneno yenye kinyaa ndio maana mshikaji akawa mkali.
 
Last edited by a moderator:
Akikuckia unamuita kirundu acra zote zitakuangukia ww

Aje tu nimuongezee maumivu.
Kama ni kirundu asiambiwe?
Wivu gani huo wa kijinga?
Mnagombanishwa na mtu ambaye hata hajui kuwa mna exist?
 
He has a point lakini.... wewe kwanini ulikomaa unamsifia domo wakati upo na mpenzio??? element za wivu na karoho kalikuwa kanamuuma... possible hujawahi kumsifia toka muanze relationship thats why anaumia..... usirudie the same mistake in future..... kinyaa

Ma dear yule ni msaniii kwan kumcfia msaniii nayo ni dhambi ss yy kupata wivu while mm huyo dai ata kua na ukaribu nae cna yy anapata wivu wa nn sasa
 
Last edited by a moderator:
Ni kweli unatakiwa kumsoma mwenzio hapendi nini na anapenda nini!


Sent from my iPhone using JamiiForums app
True that,ila kuishi na mwanaume asiyejiamini ni shida!!!
Huyu ukimsifu bosi wako kuwa ana roho nzuri mbele yake si uta pack mabegi uhamie huko kwa bosi?
 
Itakuwa alipata kinyaa kusikia hilo jina..
 
Last edited by a moderator:
Ukitaka kumuelewa mwanamke kila kitu utaweza kuwa chizi au ukajifunza tena kumpenda. That why wanaume tumepewa makoromeo makubwa ili tuweza kuzuzuia kauli zetu na kuwa wavumilivu. Unaweza ukawa na mke kila kukicha Kanumba kanumba, Ney wa mitego ney. Simply mwanamke anapenda mwanaume mwenye umaharufu na anakuwa yupo tayari kujitongezesha. Utashangaa mwanamke huyo huyo anapenda mwanaume malaya wa mtaani. Ni kwa neema tu, tuishi nao. Uvimulivu na kupuuzia baadhi ya matukio yao ndio msingi wakuendelea nao kwenye mahusiano.
Jana niliongea na msichana moja ambaye ametolewa mahari na kijana moja. Kabla ya kutolewa mahari alikuwa na wanaume wawili. Nikamuuliza ilikuwa vipi ukamkubali moja mwingine ukamtosa, alichoniambia ni kwamba, yule aliyemtosa alikuwa anampenda sana, yeye akaona kero akaamua aolewe na huyu ambaye mda mwingi yupo na mambo yake. Nikashanga!!!!
 
am more interested with your name kinyaa

why did you choose such a name?

may be ulikuwa unatumia maneno yenye kinyaa ndio maana mshikaji akawa mkali.

Aaaah wapi nahic huyu mwanaume hajiamini
 
Last edited by a moderator:
True that,ila kuishi na mwanaume asiyejiamini ni shida!!!
Huyu ukimsifu bosi wako kuwa ana roho nzuri mbele yake si uta pack mabegi uhamie huko kwa bosi?

Boc ninayemjua na kumshika mkono naona cku nikimcfia kwa mama angu narudishwa
 
Aje tu nimuongezee maumivu.
Kama ni kirundu asiambiwe?
Wivu gani huo wa kijinga?
Mnagombanishwa na mtu ambaye hata hajui kuwa mna exist?

Yaaan nikimfikiria nashindwa kbs kumuelewa
 
Mimi mtu hata asifie mpododo wa mwanamke mwingine poa tu!
Itakuwa diamond ndo asijib SMS?
Kwanza huwa namwonyesha mizigo ,ile like duuuuuuh hii shape balaa!
Huyo mpenzi wako atakuwa alikuwa amelewa tu na magoli ya Robben na Van Persie!
 
Back
Top Bottom