Diamond kaniponza jamani

Diamond kaniponza jamani

Jamaa bado ana akili za kitoto ukweli Dai domo amepiga hatua na yuko vizuri mweleze mchizi aache wivu na sisi wanaume ukiona mkeo anamsifia mtu fulani basi jipange na utafute status zaidi ya anayesifiwa sio blah blah tu mjini

status ya zaidi anaesifiwa utaitafute kama msifiwaji yuko juu zaidi
 
Msifie ye mkali anajua kuimba kuliko domo sema tu hajapenda kuimbaa
 
Kukupenda nakupenda kweli sikatai
Uwepo wako ni mzuri maishani na furahi
Ila ya moto ya moto mapenzi, mapenzi yakitoto mie siwezi...X3!
 
Kamwe usimsifie mwanaume mwingine mbele ya bwana wako its nature thing.......labda kama ni baba yako.......hata kama huyo mtu huwezi kuwa na access nae kama ulivyosema huna access na wasanii.....but dunia ni ndogo hii mamaa..wat if ikatokea ukakutana na diamond thru ur friends may be utampa? Coz kwako access ndo shida........na bwana wako kakuona utamjibu nini na alikusikia ukimsifia kupitiliza
 
Kamwe usimsifie mwanaume mwingine mbele ya bwana wako its nature thing.......labda kama ni baba yako.......hata kama huyo mtu huwezi kuwa na access nae kama ulivyosema huna access na wasanii.....but dunia ni ndogo hii mamaa..wat if ikatokea ukakutana na diamond thru ur friends may be utampa? Coz kwako access ndo shida........na bwana wako kakuona utamjibu nini na alikusikia ukimsifia kupitiliza

Huoni kwamba huyu mwanaume hajiamini at all,km mwanaume kwel anatishikaje na kusifiwa kwa domo.
 
Kama ambavyo wanaume tunatamani sana..........ndo hvyo hivyo ukumsifia mwanaume mwingine mbele yetu
 
Wanaume wa siku hizi hao kitu kidogo tu anakutafutia Sababu tu


Sent from my iPhone using JamiiForums
 
hatumpendi kwasababu anawadharau nyie wanawake mnaompa sifa kwa kuwa panda panda kama mti waembe dodo,akisha waachia manii zake anawatelekeza alafu anakuja kwenye media kuwaimba nyie na mama zenu.....hata mimi ninge kupa mashit na tusingeongea mwaka na nusu
 
Utajisikiaje siku ukimkuta kaweka picha ya kim kardishan ukutani amevaa bikini anapiga nayo nyeto?hata kama huna access na wasanii si vizuri kumsifia mbele ya mpenzi wako,wengi mnaofanya hivo ni malimbukeni tu na mnacheat balaa
 
Haya mambo tukiondolea mzaha huwa yanatokea wengine hata ukiwa unaangalia filamu na demu basi ukimsifia yule mrembo wa kwenye filamu demu kawivu kanamuanza na uso unabadilika unaona kabisa hapa tayari
 
We ungejisikiaje kama angeanza kumsifia masogange saana, wakati we hapo upo kama moja au, akamsifia saana wema sepetu, wakati we hapo unafanana na Baloteli,,,,,,,,,,,,,,,,,,,, Tumia akili wewe
Mkuki kwa nguruwe... eeeh!!???
Mkiachwa au watu wakianza kuwa ignore,,, mara oooh jamaa kabadilika!!.
 
Back
Top Bottom