King Kong III
JF-Expert Member
- Oct 15, 2010
- 56,205
- 79,515
Chinekeeeeeeeeeeee.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Jamaa bado ana akili za kitoto ukweli Dai domo amepiga hatua na yuko vizuri mweleze mchizi aache wivu na sisi wanaume ukiona mkeo anamsifia mtu fulani basi jipange na utafute status zaidi ya anayesifiwa sio blah blah tu mjini
Kwa hiyo Joti ndio mwanaume mbaya zaidi miongoni mwa wasanii?? Au kwa kuwa mfupi?Aisee !! Wivu hadi kwawasanii! Haya mbembeleze!! Siku nyingine usirudie kumsifia hata joti!!
Age ain't a number! Kama unampenda na anakuheshimu, go after her!
Kamwe usimsifie mwanaume mwingine mbele ya bwana wako its nature thing.......labda kama ni baba yako.......hata kama huyo mtu huwezi kuwa na access nae kama ulivyosema huna access na wasanii.....but dunia ni ndogo hii mamaa..wat if ikatokea ukakutana na diamond thru ur friends may be utampa? Coz kwako access ndo shida........na bwana wako kakuona utamjibu nini na alikusikia ukimsifia kupitiliza
as i told u.........its nature thing........huwezi kubadilisha hilohuoni kwamba huyu mwanaume hajiamini at all,km mwanaume kwel anatishikaje na kusifiwa kwa domo.
Kwa hiyo Joti ndio mwanaume mbaya zaidi miongoni mwa wasanii?? Au kwa kuwa mfupi?
Pole Kinyaa! Akikua ataacha