Nawewe tengeneza za kwakoHatimae jana katika pita pita zangu nilivyopitia kwa bwana Mangi si ndo nikaona karanga za ndugu yetu nikasema ngoja nione kinachopewa promo hivi kunani. Daaah kwa kweli ladha yake zile karanga hamna kitu chumvi nyingi alafu zinakereketa kwenye koo sijui kwa wenzangu inshort zinakinaisha.
Sent from my HUAWEI Y530-U00 using JamiiForums mobile app
Niliposoma mara ya kwanza sikupenda ni coment mpaka ntakapokuja kuzila leo nimefanikiwa kula zile karangaHatimae jana katika pita pita zangu nilivyopitia kwa bwana Mangi si ndo nikaona karanga za ndugu yetu nikasema ngoja nione kinachopewa promo hivi kunani. Daaah kwa kweli ladha yake zile karanga hamna kitu chumvi nyingi alafu zinakereketa kwenye koo sijui kwa wenzangu inshort zinakinaisha.
Sent from my HUAWEI Y530-U00 using JamiiForums mobile app
Mbona leo hujamaliza na Makonde oyeeeeeeee?Kama ulifikiri unamshusha mmmmh
Ujue ndio unavutia watu kwenda kuzionja
Umetoa promo ya bureeeeeeeeeee
Ha ha ha haaaaa
Hatimae jana katika pita pita zangu nilivyopitia kwa bwana Mangi si ndo nikaona karanga za ndugu yetu nikasema ngoja nione kinachopewa promo hivi kunani. Daaah kwa kweli ladha yake zile karanga hamna kitu chumvi nyingi alafu zinakereketa kwenye koo sijui kwa wenzangu inshort zinakinaisha.
Sent from my HUAWEI Y530-U00 using JamiiForums mobile app
JAMAA M1 KALA PIPI KIFUA KISHA KAENDA KWA MUUZA MACHUNGWA KATEMA PIPI KIFUA KAANZA KULA CHUNGWA BAADA YA HAPO AKAANZA KULALAMIKA kilichoendelea ilibidi niondoke na machugwa mengine ambayo sikununua maana yalikua yamesha zagaa na hao wandugu sijui waliishia wapi
Sent from my TECNO_W4 using JamiiForums mobile app
Nasikia Diamond kashata na Diamond ufuta iko njiani