Diamond karanga sijazielewa kabisa

Nawewe tengeneza za kwako

Sent from my TECNO-L8 using JamiiForums mobile app
 
Hujaelewa concept ya jamaa pimbiiii ww
 
JAMAA M1 KALA PIPI KIFUA KISHA KAENDA KWA MUUZA MACHUNGWA KATEMA PIPI KIFUA KAANZA KULA CHUNGWA BAADA YA HAPO AKAANZA KULALAMIKA kilichoendelea ilibidi niondoke na machugwa mengine ambayo sikununua maana yalikua yamesha zagaa na hao wandugu sijui waliishia wapi

Sent from my TECNO_W4 using JamiiForums mobile app
 
Shetani @ work

Sent from my GT-I9300 using JamiiForums mobile app
 
Niliposoma mara ya kwanza sikupenda ni coment mpaka ntakapokuja kuzila leo nimefanikiwa kula zile karanga
KARANGA NI NZURI SAAAAANA TUWE.WA KWELI KWENYE UKWELI
KIJANA ANAENDA MBALI
 

Kwenye kimfuko wamekuambia uzitikise kabla ya kula ili chumvi ibalance ,hujasoma maelezo unakimbilia kubugia,somaga maelezo kwanza siku nyingine utakuja kula kokoto jombaa
 
Wewe ulikosea zile huliwa kama vinogesho tu sasa wewe umeziamkia asubuhi na njaa yako ukala ukipiga mahesabu ya kushibia pakti ya mia tatu
 

[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
 
We kama sio mchawi basi utakuwa mchawi soon

Sent from my GT-N7100 using JamiiForums mobile app
 
Ila diamond Ni Brand bwana.Saiv hata mtu akila diamond karanga anaenda kumuuliza mwenzake Kama ashawahi Kuzionja[emoji3]Na picha anapiga.


Sent from my SM-J700H using JamiiForums mobile app
 
Dah.... Zinapatikana wapi Hapa Kibiti?

Sent from my Osborne II using JamiiForums Mobile App
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…