REKIK EL SHABAZZ
Member
- Jul 15, 2019
- 46
- 23
I'm still sticking to my opinion kwamba misikiti haina faida yoyote kwa jamii. Halafu usiniambue tafuta pesa, kwani nani kakwambia sina?
Hapa hatuzungumzii kupokea mali za jambazi, tunazungumzia kujenga mskiti ambao utatumika vizazi na vizazi!
Hivi bongo fleva kumbe ni ujambazi? Mbona haifungiwi na serikali? Huyo mwanangu kama kafanya kazi iliyoruhusiwa na serikali napokea.
Mi sijaji nafsi za watu, mimi si MUNGU....we unajaji nafsi za watu kwani we MUNGU?
Kumbuka inawezekana mwanangu jambazi akawa ni afadhali kuliko wengi wanafiki waliopo kwenye mitandao inayofanya maasi makubwa kupindukia hata mauaji. Hapa wamo hata wanasiasa, wanausalama nk. Hawa huwa vinara mstari wa mbele kwenye madhabahu na wanachukuliwa kama mfano bora kwa jamii kumbe wapi!! Mambo ya imani magumu sana ukiona undani wa nafsi na nyoyo za watu unaowathamini utastaajabu!!
Usijaji watu sababu huna uwezo wa kufanya hiyo kazi ya kujaji ipasavyo.
Hizi imani hizi!!!
Mzee Yusufu aliacha kuimba muziki,kwa sababu kuna ushetani,na Imani yake ya Islam inasema hivyo,sasa HV amekuwa shekh!! Na waumin wali!pongeza saaaana.
Sasa huku Mondi anajenga msikiti,kutokana na fedha za muziki!!! Waumin walewale wanampongeza!!!so kipi ni kipi?
Sent using Jamii Forums mobile app
Sio lazima ila tuu atambuwe kuwa hakuna malipo atakayoyapata kutoka kwa Allah.yaani kama kafaa shoga tuu.
Sent using Jamii Forums mobile app
[emoji3][emoji3] hio ni sarcastic comment bibieKumbe kuna wakati ufurushi unakupanda kichwani[emoji134][emoji134][emoji134][emoji134]
Unajuaje kama ye anataraji malipo kwa mola wake? Lau kama anataka tu kusaidia watu wapate sehemu nzuri ya kusali tu?
Sent using Jamii Forums mobile app
Hapa hatuzungumzii kupokea mali za jambazi, tunazungumzia kujenga mskiti ambao utatumika vizazi na vizazi!
Hivi bongo fleva kumbe ni ujambazi? Mbona haifungiwi na serikali? Huyo mwanangu kama kafanya kazi iliyoruhusiwa na serikali napokea.
Mi sijaji nafsi za watu, mimi si MUNGU....we unajaji nafsi za watu kwani we MUNGU?
Kumbuka inawezekana mwanangu jambazi akawa ni afadhali kuliko wengi wanafiki waliopo kwenye mitandao inayofanya maasi makubwa kupindukia hata mauaji. Hapa wamo hata wanasiasa, wanausalama nk. Hawa huwa vinara mstari wa mbele kwenye madhabahu na wanachukuliwa kama mfano bora kwa jamii kumbe wapi!! Mambo ya imani magumu sana ukiona undani wa nafsi na nyoyo za watu unaowathamini utastaajabu!!
Usijaji watu sababu huna uwezo wa kufanya hiyo kazi ya kujaji ipasavyo.
Kama lengo ni kunielewesha huitaji sababu ya sheikh wewe tiririka hapa kwanini haifaiMwambie akupe sbbu ,kwann inafaa? Na sisi na mm nikupe sbbu kwann haifai [emoji34][emoji34][emoji34][emoji34][emoji34] .
Sent using Jamii Forums mobile app