Diamond Kujenga Msikiti, Je Masheikh Wataupokea??

Diamond Kujenga Msikiti, Je Masheikh Wataupokea??

.sikia ,Kwa sbbu msikiti umeshajengwa Ni lazima utumiwe..ila tatzo litabaki kwa masheikh na kila mmoja aliyekubal msikiti ule ujengwe.


Ndio bongofleva ni ujambazi, kwa mujibu wa dini yetu nyimbo ni haramu,

So lazima ujuwe kutofautisha kati ya tuwi na maziwa,serekal ni taasisi tofauti na dini.

Kila taasisi ina sheria zake ingawajee kwa baadhi ya sheria zinafanana ila nyingi zinatofautiana .

Hatuangali serekal inasema nn tuu,tunangalia na dini inasema nn.
Hapa hatuzungumzii kupokea mali za jambazi, tunazungumzia kujenga mskiti ambao utatumika vizazi na vizazi!

Hivi bongo fleva kumbe ni ujambazi? Mbona haifungiwi na serikali? Huyo mwanangu kama kafanya kazi iliyoruhusiwa na serikali napokea.

Mi sijaji nafsi za watu, mimi si MUNGU....we unajaji nafsi za watu kwani we MUNGU?

Kumbuka inawezekana mwanangu jambazi akawa ni afadhali kuliko wengi wanafiki waliopo kwenye mitandao inayofanya maasi makubwa kupindukia hata mauaji. Hapa wamo hata wanasiasa, wanausalama nk. Hawa huwa vinara mstari wa mbele kwenye madhabahu na wanachukuliwa kama mfano bora kwa jamii kumbe wapi!! Mambo ya imani magumu sana ukiona undani wa nafsi na nyoyo za watu unaowathamini utastaajabu!!

Usijaji watu sababu huna uwezo wa kufanya hiyo kazi ya kujaji ipasavyo.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Kipi ni kipi? ,Kwa sbbu dunia ishafikia mwisho.ndo maana waumini wanachanganya chumvi na sukari kwa wakat mmoja.

Njaa na udhaifu wa imani kwa baadhi ya waumini na viongozi wa dini ndio ,wanasbabsha huoo upumbavu mpaka w2 wanashindwa kuelewa kipi ndo sahihi

Ndo maana tukambiwa tuzisome dini zetu vitabu vya dini zetu tuvisomee,maana itafikia muda wale walio aminiwa watakuwa mazwzwa kwa njaa zaoo,na kuamuwa kutupoleka kushoto.
Hizi imani hizi!!!
Mzee Yusufu aliacha kuimba muziki,kwa sababu kuna ushetani,na Imani yake ya Islam inasema hivyo,sasa HV amekuwa shekh!! Na waumin wali!pongeza saaaana.
Sasa huku Mondi anajenga msikiti,kutokana na fedha za muziki!!! Waumin walewale wanampongeza!!!so kipi ni kipi?


Sent using Jamii Forums mobile app

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Ila kwa hakika sidhan kama kuna anaye fanya ki2 bila kutarajia k2 pengne hapa duniani ama kesho akhera.

Kwa hakika ktk dini yetu kuna DHAMBI NA DHAWABU, tendo baya siku zote ukifanya utapata dhambi,

Ila tendo zuri ukiwa na nia tuu ya kufanya unapata dhawabu na ukifanya kabsa unapata dhwabu.

Yaani ukizitka usizitake moja wapo utpata kutokana na matendo yako.

Ila sasa ukiwa umejenga msikiti ukiwa sii muislamu au pesa yako sii ya halali hupati dhawabu .ngo ngo kwa sbbu ww sii muislamu.
Unajuaje kama ye anataraji malipo kwa mola wake? Lau kama anataka tu kusaidia watu wapate sehemu nzuri ya kusali tu?

Sent using Jamii Forums mobile app

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Bongo Flava ni haramu kwa uisilamu, ni sawa na uzinzi, ushirikina ,ulevi kwahio hata pesa ya bongo Flava ni haramu. Mimi sija hukumu lkn nimepewa akili ya kutambua mazuri na mabaya huyu diamond anae zaa bila ndoa, amechora matatoo mwili mzima anatangaza vilevi harafu aje kutupa msikiti tuchukue?
Hapa hatuzungumzii kupokea mali za jambazi, tunazungumzia kujenga mskiti ambao utatumika vizazi na vizazi!

Hivi bongo fleva kumbe ni ujambazi? Mbona haifungiwi na serikali? Huyo mwanangu kama kafanya kazi iliyoruhusiwa na serikali napokea.

Mi sijaji nafsi za watu, mimi si MUNGU....we unajaji nafsi za watu kwani we MUNGU?

Kumbuka inawezekana mwanangu jambazi akawa ni afadhali kuliko wengi wanafiki waliopo kwenye mitandao inayofanya maasi makubwa kupindukia hata mauaji. Hapa wamo hata wanasiasa, wanausalama nk. Hawa huwa vinara mstari wa mbele kwenye madhabahu na wanachukuliwa kama mfano bora kwa jamii kumbe wapi!! Mambo ya imani magumu sana ukiona undani wa nafsi na nyoyo za watu unaowathamini utastaajabu!!

Usijaji watu sababu huna uwezo wa kufanya hiyo kazi ya kujaji ipasavyo.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Back
Top Bottom