Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Wewe dada mambo.Makubwaa
Waislam wanakwambia kapata swawabuKwakweli ni aibu kubwa mama kuolewa na mtoto wako siyo vzuri yani bora hata wangeficha kwakweli
Mmmh ni sawa kama dini inasema ivo ila Kwakwel inabidi kuangalia na mazingira yenyewe mama una watoto unahangaika nini kwenda kuolewa na vijana bora angeolewa na mzee mwenziye ni sawa.Waislam wanakwambia kapata swawabu
Siku hizi wanawake hata ukiwa bibi unaolewa tu hoyeeee
Hata akiambiwa aanze ushoga sio?Diamond anaishi kwa shinikizo la Bi Sandra lolote atakaloambiwa ye sawa tu
Ulitaka tusemaje? Usiharibu mada kwa kuleta udini ndio faida ya kuwa islam vinginevyo angeendelea kuzini huku akimuombea baba chibu afe ndio aolewe.Waislam wanakwambia kapata swawabu
Kamuoe weweMimi kama mimi sijapendelea kabisa hii ndoa
Naona hamumjui chibu vizuri yule ndio diamond Simba originally Wa Tandale Chibu hazulimiki ni mjanja kupita sungura ndio maana mnaona matunda ya kazi yake yanaonekana waziwazi hataki utani kwenye pesa!.... Kiufupi ni kwamba hata akimjengea jamaa nyumba...jina LA hati litakuwa lake au La mamake sasa jamaa kama anajidai muhuni chibu ndio muhuni zaidi Wa Tandale....akikuhonga gari unauza LA zamani unaongeza pesa yako na yeye anaongeza kidogo ndio akununulie hachuniki!... Kaulizeni wasichana aliowakaza.....Simba Wa tandale anaona mbali sana Zari mwenyewe ajipange.Inshort huyu kaka naskia ni mjanja sana yani yupo kimaslahi zaidi. Na nnasikia huyu mama kwa sasa ni mjamzito na soon anatarajia kujifungua yaani huyu kaka ndio anayefaidi hela za diamond kwa sasa kupitia mgongo wa mama yake bi sandra
Kiukweli mapenzi hayana umri so tumuacheni na maisha yale wapendwa ila huyu mama aache kujianika tu mitandaoni maaana anatia aibu sana
Huyo jamaa najua stories zake A to Z mwanzo nilijua wanamuwangia huyo mama kumbe ni kweli amepagawa na muhuni mzama chumvini mama hasikii haoni sijui kama hampelekei moto nyuma[emoji23][emoji23], maana mchizi mwenyewe ni muhuni tu msaka tonge ameamua ku infiltrate ngome kupitia weakness na ushamba wa huyo mamaHuyu Diamond hamsaidii baba yake mzazi, atawezaje kumsaidia Serengeti boy wa mama yake?
Mapenzi hayana umri lakini sio kwa bi SandraInshort huyu kaka naskia ni mjanja sana yani yupo kimaslahi zaidi. Na nnasikia huyu mama kwa sasa ni mjamzito na soon anatarajia kujifungua yaani huyu kaka ndio anayefaidi hela za diamond kwa sasa kupitia mgongo wa mama yake bi sandra
Kiukweli mapenzi hayana umri so tumuacheni na maisha yale wapendwa ila huyu mama aache kujianika tu mitandaoni maaana anatia aibu sana