Tetesi: Diamond kumjengea bonge la jumba na kumpa baadhi ya mali zake baba yake wa kambo

Na wewe wajengee wazazi wako upate baraka na maisha marefu duniani.tunajua lengo lako ni kutupa umbea, lakin ilo jambo zuri na mfano wa kuigwa kwa vijana wengine.
 

Wewe si mjanja pia unatapel watu ama!!
 
Umalaya ni tabia aiseee sio umri.. Huyo kibibi malaya kweli kweli.. Kumbe Dai karidhi tu from her Mama.. Wht a b!tch
 
What!!!! Bi Sandra ni mjamzito??
Aiseee acha nizae ba mm khaaa!!! Yaan hakya mama ngoja nijibebee tu kwan kama vikongwe wanabeba seuze miye?

Yaan apa staki ushauri wa snowhite wala cacico
 
Acheni ulofa na ufala, hivi mtu akiyaandika ya mama yako utajisikiaje? Hivi wewe utakuwa mtu wa namna gani? Maisha binafsi ya mtu(tena wa kariba ya mzazi )yanakuhusu nini? Mbona huandiki baba na mama yako walivyotongozana, na hata wanavyolala ili kuonyesha udaku wako? Acheni ujinga wenu jamaniiii....
 
Unajua upo jukwaa lipi?
 
Hahaah ka mi sikubali hata kama baba angu aliniuz vip lazima nimjali maana yy ndo alitoa mbegu zake ndo nikawa mm bila yy nisingekuwa tumbon mwa mama angu
 
Hivi ndo mapenzi hayana umri eh! ila tuongee ukweli inauma sana kiben ten kama hichi kimkamue na kumkaza mama mtu mzima.Nadhani hapa domo kakomeshwa haki kila muosha...huoshwa!
 


Mwacheni mama wawatu hata naye ni binadamu, hana uzee wowote kama bado ana umri wa kuzaa sioni cha kushangaa hapo,ana haki zote kupata mtu wakuishi naye au kwa kuwa ana mtoto maarufu.
 
Ila jamaa kachafuliwa huko Instagram na Mange vibaya mno wenye mda kasomeni
 
Pamoja na kwamba mama ni mzazi ila huyu too much, hana hekima wala busara, akili zake zinafanana na za mwanae domo, aliambiwa baba yako alikukataa likakubali , bora nisiwe na mama kuliko kituko kama hichi,
 
Haya maisha ya kumwita baba ,mshikaji kama huyo hayakubaliki kabisa
 
Huyo mama akisikitika tu, umaarufu, pesa na mafanikio ya D yote yataisha in no time
 
Ni mama yake na ndo furaha ya D hivyo mwacheni mama na mtotk wafaidi maisha yao
 
Hahahaaaaaa
Papa la kizee limejua kusuguliwa aisee watatoa mali zote kwa jamaa
 
Hajawahi kukukaza kweli?
 
Hivi ndo mapenzi hayana umri eh! ila tuongee ukweli inauma sana kiben ten kama hichi kimkamue na kumkaza mama mtu mzima.Nadhani hapa domo kakomeshwa haki kila muosha...huoshwa!
Best Nina shida na wewe
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…