We jamaa leo unapovuka na utetezi wa huyu mtu..Kuoa sio tatizo kwa taarifa yako patiman na diamond no maji na mafuta hawapatani hats kidogo na hawana ukaribu hats kidogo ndo maana huwezi kumkuta petiman kwenye shughuli yoyote ya diamond I we white party, shows au hats shughuli za kifamilia sijui birthday au arobaini ya watoto wake
Hahaha kawaida naona watu wanaleta hisia zao baada ya vitu vya ukweliWe jamaa leo unapovuka na utetezi wa huyu mtu..
Nauliza tu unani kwake?
Acha hoja zitambae uongo na ukweli vitajichuja vyenyewe sio kwa kulazimisha
Hiyo ilikua ni siku wanaenda kwenye media kutangaza show ya Jangwani Breeze,Unazidi kuonyesha ujinga wako hapo wapi? Na wanaenda wapi?
Pole sana mkuu
Pumzi inaenda ikikukatikia kwenye hii project utetezUnazidi kuonyesha ujinga wako hapo wapi? Na wanaenda wapi?
Pole sana mkuu
[emoji23] [emoji23] [emoji23] Petit wamuachePetit si alishasema wamuache sasa dhamana ya nini
Mpaka kufika jumatatu watakuwa wameshajua mtumiaji ni yupi.Hiyo ya kulala polisi bado haithibitishi kwamba wana hatia, kumbuka mtu anaweza kuwekwa mahabusu(rumande) hata zaidi ya mwaka mzima upelelezi ukikamilika ndio anatolewa hukumu, kama ana hatia anafungwa kama hana hatia anaachiwa huru, kitendo cha kuwekwa rumande ni kuhakikisha mtuhumiwa hayuko uraiani ili asije kuvuruga ushahidi(uchunguzi)
Wakati mwingine ni kumuweka salama kwa mfano mtu ameua ndugu za marehemu wanaweza kumuua huko mtaani.
Hiyo ilikua ni siku wanaenda kwenye media kutangaza show ya Jangwani Breeze,
Unamtenganisha vipi Diamond na Dj wake ambaye ni binamu yake pia?
Kwani watu hawasemeheani?
Duuuh kumbe Mzee Mengi mpaka wewe upo Jamii Forum?!Jidanganye hivyo hivyo, mali zako na Diamond ukijumlisha zote hazifiki hata robo ya mali zangu.
Mimi ni bendera la mbao, ni wabongo wachache sana, hawafiki kumi wanaonizidi kwa akili na mali
Ali ni kipenzi cha watuKiba si mzee wa kujitolea
Afu kwenye show bokoAli ni kipenzi cha watu
Kwahyo Shemeji yako atakuwa ni jiran yako?Usipende pia kukurupuka mkuu na shemeji sio ndugu yako hata siku moja na isitoshe Diamond alikataa dada yake kuolewa na petit na ndio maana hata siku ya harusi ya esma diamond hakuwepo.Nadhani umenielewa shemeji yako sio ndugu yako
Mmmmh...Una uhakika na yeye atapona?
Ukute yote ni mizigo yake;
Mkuu Rommy na Petit walishikwa kimya kimya wako lupango karibia wanamaliza mwezi hao.Hata mm Romy sijasikia