luvcyna
JF-Expert Member
- Feb 24, 2009
- 1,848
- 1,940
We jamaa leo unapovuka na utetezi wa huyu mtu..Kuoa sio tatizo kwa taarifa yako patiman na diamond no maji na mafuta hawapatani hats kidogo na hawana ukaribu hats kidogo ndo maana huwezi kumkuta petiman kwenye shughuli yoyote ya diamond I we white party, shows au hats shughuli za kifamilia sijui birthday au arobaini ya watoto wake
Nauliza tu unani kwake?
Acha hoja zitambae uongo na ukweli vitajichuja vyenyewe sio kwa kulazimisha