richaminja
Member
- Dec 31, 2016
- 90
- 41
Hahahhahah umenivunja mbavuMange vitu vingi anaviripoti kimuhemuko, soma habari zake kama unataka kupumzisha Mwili sio akili
Mwanadada Mange Kimambi Mtanzania toka Los Angels Aliandika kwamba Petit man ambaye ametuhumiwa na uuzaji na utumiaji madawa. Lakini Mange Kimambi nimeona screenshots kwa whatsapp akisema Huyo Petit man wakuache amepigwa sana na Makonda kuanzia nyumbani kwake mpaka kituo cha polisi cha kati lakini leo nimeona video inayomuonesha Huyo ajiitaye Petit man akitembea vizuri tu je Anadanganya???View attachment 468185
Hapa nakuunga mkono. Mimi pia huwa nawashangaa sana wale waumini wake. Kama ninavyowadharau waumini wa Mzee wa UPAKO!Mimi huwa simlaumu Mange bali huwa nawapa lawama wanao muamini wakati wengi wanajua ni chizi tena huitaji kumpima.
Mange huropoka yale ambayo wengi wengependa kuyasikia kwa kipindi husika ndio maana wengi humuamini sana.
Mtu anaye amini habari za Mange anapaswa kufungwa kamba na kupimwa akili kwa lazima.
Kwahiyo unaamini jamaa alipigwa kama alivyosema MANGE?Ulitaka apigwe hadharani ili ujuwe kuwa kapigwa au?
Yafaa afuatweMie nawasiwasi naye aunganishwe ili atoe Maelezo vizuri
Kabisa kakauyo kah ba aliyeko marekani divorce ilishamchanganya hana analolielewa
Ndo wa tz tulivyo banaShida mnapenda sana udaku na habari za kijinga hadi mnaona huyo mropokaji Mange kama reliable source ya information. Mtu mwenye akili timamu huwezi ukakaa unamfatilia Mange.
Mwanadada Mange Kimambi Mtanzania toka Los Angels Aliandika kwamba Petit man ambaye ametuhumiwa na uuzaji na utumiaji madawa. Lakini Mange Kimambi nimeona screenshots kwa whatsapp akisema Huyo Petit man wakuache amepigwa sana na Makonda kuanzia nyumbani kwake mpaka kituo cha polisi cha kati lakini leo nimeona video inayomuonesha Huyo ajiitaye Petit man akitembea vizuri tu je Anadanganya???View attachment 468185
uyo kah ba aliyeko marekani divorce ilishamchanganya hana analolielewa
Umeongea pointi tupu nduguJitu flan malaya liko marekani linatumiwa umbea kwenye simu eti mnaliamini, Huyo Malaya si anapokea udaku tu hata wewe ukimtumia anapost, anajihakikishaiaje wakati yupo marekani.
Kwanza nawaza yani Serikali yote hii huwa anaitusi na viongozi wake, anawavua nguo, mnashindwa kutuma hata komamdoo mmoja tu wale wanaotuoneshaga mbwembwe Taifa wamlete huyu kenge?
Yani mnaweza mkamata Tundu Lissu na akili zake na alie madini katika nchi. Godbless lema kiongozi mwakilishi wa wananchi anaeota ndoto mnashindwa mkamata Malaya flani anaewavua nguo kweli?
Hao interpol kazi yao ni nn? Au Huyu bibi sio mchochezi
Sitaki kuamini mmemshindwa.
Heti kahaba umemla lini ndugu?uyo kah ba aliyeko marekani divorce ilishamchanganya hana analolielewa
Kwahiyo unaamini jamaa alipigwa kama alivyosema MANGE?
Vipi ombi lake la wakili msando kuwasimamia hao watuhumiwa limetimia halijatimia? Vipi wazo lake la kumpinga makonda kuwa anakamata dagaa hakina adoptiwa bungeni na wanaccm na ukawa?
Usipompenda Mange jijue akili zako na tabia sawa na Masogange
Kinachoshangaza ni kundi kubwa la wanaume Kuwa mashabiki wa Msema ovyo Mange.Ulitaka apigwe hadharani ili ujuwe kuwa kapigwa au?