Diamond kupata mtoto

Tumbo la kuhara lazma likushike plus kutojisikia kufanya chochote...kwa kfupi unakuwa na siku mbaya...I can imagine bidada...anahali gani

Kwa kweli lazima tumbo likushike aisee.
Hasa kama mwanaume ulikua unampenda!Kwa hili simcheki bali namuonea huruma.
 
Sifa kuu ya mwanaume n kutia mimba
Hongera diamond
 
Lazima ujue kutofautisha kati ya x na kuzidisha, msalaba na jumlisha.
 
you are in denial Matola , ila grudge ( or resentment ) yoyote unayo hold kwa Nasibu ni very strong, sema unge tu-enlighten tungekua tunajua ni kwa sababu ipi...nimeongelea hilo swala kwasababu hapa sio mahala pa kwanza kwenda tofauti na yamhusuyo diamond...If you could only say what is the cause of that bitternes you have on Nasibu, if you could...Nilielewa sana mantiki yako kuhusu mimba za nje ya ndoa ila nimeingiza suala la chuki kwa diamond kufuel swali langu
 
Last edited by a moderator:
kuna ukweli hapa au ndo mambo ya technology? afu asizae waseme diamond hana mayai..
 
Mungu akilinde hiki kiumbe
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…