Bado anafuta vumbi kiti
Kha! Anakuja kutoka wapi? Game likikutema ndio umekwisha huyo Kiba atafute shughuli nyengine afanye sio mziki. Hakuna anaemjua kwa sasa.kweli kiba anajua kukamata watu pabaya hawana pa kupumulia kiba ni mwanamziki dadamond ni mfanya biashara wa mziki kiba hana mashauzi ila dadamond akinunua hata boxer anataka watu wote wajue.angalizo wa tz hawapendi dharau mwambie amuulize rafiki yake mtarajiwa mr nice
na siku hiyo hiyo Alli Kiba atapiga show Mango Garden, kiingilio ni tsh. 5,000. hata hivyo mashabiki wake wamelalamika kuwa kiingilio hicho ni kikubwa sana hawakimudu
Chameleone anafanya show december inaitwa One Man Show One Milioni, kiingilio pale Munyonyo Resort kampala itakuwa ni milioni moja! Tuwaombee wasanii wetu wafike level hiyo ila kutokana na nyodo za Diamond sioni akifika huko
teh!teh!teh! Yaani nimecheka sana
Is it UGS or TZS?
Ugs which is apporixametly to 700,000 Tsh basing on the latest exchange rates!
Sijui nikupe ninii kwa hili jibu lako hebu nenda kwenye friji yako hapo chukua kinywaji chochote unyweee uburudikeeee
Cheka mwaya,kiti kilikua stoo kina vumbi kwa hiyo anakifuta mpaka mwaka mzima
bongo badoo sana kufikia huko
Ofa gani za kumlewesha mtu na pombe zake mwenyewe
Hahahaaaaaa ofa za imagination
Hahhaa usanii tu,hiyo show yao ya bei ghali tunasubiri updates hahaha
watasema!!!Hivi si ilikua jana?mbona hawajaleta mrejesho???
watasema!!!
hehehe na ile beat,buh buh buh kitorodo kitorodo mwendawazimu kaingia'' yani nachoka