Diamond kurudisha kwa jamii kwa kujenga hospitali ya Moyo Tandale

Mnaobisha bisha na kudis anachjaribu kufanya ndo mliosomeshwa na wazaz wenu hamjawanunulia hata vitenge na mashati wazazi wenu...
Kisichowezekana nn hata akina JK wamemaliza uraisi wanafungua foundation zao lkn kunakuwa kuna sponsors wanawezesha kwa asilimia flan,..
Punguzeni majungu,roho mbaya,fitina,choyo,uchawi,wivu,maana akishindwa diamond sio kwamba ninyi mtaweza????
 
Binafsi....hongera sana brother diamond!! kila la kheri japo ningeomba ukajenge huko vijijini ambako huduma hata ya dispensary zimekuwa shida,

binafsi hapa dar naona hospitali ni nyingi sana ni mda hata wenzetu mikoani wawe na na huduma nyingi za afya kama hapa dar es salaam.

other wise tunashukuru sana coz, ungeweza kufanyia kazi nyingine hizo pesa lakini umekuwa chambo kwa ajili ya kurudisha shukrani zako kwa watanzania wenzako..
 
Muongo mkubwa wewe!!unadanganya bila hata haya!!wale watoto wanasoma mpaka leo na Diamond anawalipia Ada,hizo habari alizizusha shigongo na baadae akakanusha mwenyewe shigongo na kusema habari haikuwa na ukweli

Kwanini unaongea uongo?!unataka sifa au?!
 
UKITAKA KUJUA HIKI NI KICHWA HEBU TAZAMA KINAVYOPASUA ANGA LA MUSIC
 
Acheni kuharibu biashara ya watu,
Kama hupendi si upite pembeni.
Biashata zikistawi ndugu zako nao hupata humo humo .
Kumbe chibu pafyumu zake ni mkakati wa free mason <br /><br />Yale maji ya maiti yamechanganywa na damu za paka na binadamu <br /><br />Kwa mtu atakaye tumia atakuwa ananyonywa damu bila kujua na baada ya muda ataandamwa na mikosi .
 
Masharti ya free mason
 
Huyu kafanya kweli research!! Ataweza kulipa hata madaktari kila mwisho wa mwezi? Tuweke macho
 
Mjita
Kumbe chibu pafyumu zake ni mkakati wa free mason <br /><br />Yale maji ya maiti yamechanganywa na damu za paka na binadamu <br /><br />Kwa mtu atakaye tumia atakuwa ananyonywa damu bila kujua na baada ya muda ataandamwa na mikosi .
gani mbea km ww.una ushahidi?
 
Ali Kiba ashajenga hospitali za moyo kibao sema hapendi show off tu.
 
Kumbe chibu pafyumu zake ni mkakati wa free mason <br /><br />Yale maji ya maiti yamechanganywa na damu za paka na binadamu <br /><br />Kwa mtu atakaye tumia atakuwa ananyonywa damu bila kujua na baada ya muda ataandamwa na mikosi .
duh! panapofuka moshi pana moto
 
Hadi leo pesa hazijafika msiwe mnatoa ahadi z uongo
Hebu toa uthibitisho.Jamani hivyo vimilioni vichache ni nini kwa Diamond VS reputation yake? Hebu msiwe wazushi kiasi hicho kisa ninini? Chuki? Wivu? Au??? Hebu weka wazi!
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…