Diamond kuwa mbunifu unaiga mpaka unakera sasa

Diamond kuwa mbunifu unaiga mpaka unakera sasa

aka2030

JF-Expert Member
Joined
Jan 5, 2013
Posts
2,657
Reaction score
3,679
7FF33A85-937D-4BAD-9F51-A89B36FA469A.jpeg
4BA14F56-3AFD-4B9C-98F4-84C1A2CC01B4.jpeg
4BA14F56-3AFD-4B9C-98F4-84C1A2CC01B4.jpeg
Sikupendi aisee kwa hii tabia yako
 
Kama anapiga pesa haisumbui. We kaa unalalama tu huku unakula ugoro sababu hauna hela za kununua fegi kisa unaogopa kuiga. Huo ni upoyoyo.
Maskini mvuta sigara unatabu
 
Hahah kachezea vitasa hajaamini hadi sasa[emoji16][emoji16]

Sent using Jamii Forums mobile app
Mwanzo kabisa mtoa mada alikuwa anakuja na gia ya udini lengo lake achafue WCB alisemaga Rayvanny kazuiliwa kujenga kanisa na uongozi wake pamoja na kulazimishwa kuvaa kanzu mtu hatakakama unachuki basi tengeneza hoja zenye nguvu ili ushawishi watu hata Kama ni uongo lakini mtoa mada hajifunzi ndomaana nyuzi zake anashambuliwaga Sana still anashindwa kujifunza.
 
Back
Top Bottom