Diamond kuwa msanii wa kwanza kuumizwa na siasa

Wadauu mnakumbukaa hiii...
 

Attachments

  • 1442815957878.jpg
    22.2 KB · Views: 232
Watanzania ni wasahaulifu sana

Mkuu siasa haina agenda ya kudumu bali inaangalia interest zenu zina meet?

Ukiwekewa clip za akina mbowe na wenzake wanamponda lowasa utakataa kama ndio wao wanazunguka kumsafisha
 
Khaa!! Unajua Dangote anapata wapi mshiko wake au unaandika tu? Unajua naye ni mpigakura na ana utashi wake? Acha ujinga bana!

Kuna mabwege wengi sana humu na chuki zao binafsi!! Mwenzao anapiga hela kwenye vyanzo kibao wao wanang'ang'ania kususia kura za mtv,channel o!!! Hawajui NMB wamempa kiasi gani ku-sponsor 40 ya mtoto wake...hawajui mtoto wake akingiza milioni ngapi kutoka baby shop...makampuni ya simu yanamtumia kila siku hawaangalii siasa zenu uchwara! Kama mnasubiri aanguke mtasubiri sana kama kawaida ya wachawi wanasubiri mtu afe wafanye sherehe!!!
 


Diamond ana team ya watu wenye akili ndio maana kafika hapo na wengine miaka kibao wako vile vile. Ulichokiona wewe wenzio walishakiona kabla ya kuchukua uamuzi huo wamepima faida na hasara!
 
Diamond , atakuwa msanii wa tunu ya taifa kwa makubwa aliyofanya
 
Atakula jeuri yake, usanii na mashabiki ni kama pichu na kota
 
Mkikosa hoja mnaanza kuhororoja na kubwabwaja bila mpango.

Watu wenye roho mbaya utawajuwa tu.

Halafu hawa wachagga ndiyo tuwape Ikulu?

Mawee!

Ndugu YANGU ACHA UKABILA! TUNACHOTAKA NI RAISI ATAKAYE LETA MAENDELEO KWA WATANZANIA WOTE BILA KUANGALIA YEYE NI KABILA GANI NA ANATOKA UPANDE UPI WA HII TANZANIA
 
mm pia nilikuwa nsmpigia kura sasa simpigii tena wale wanso wabeba na maroli wawaombe wampigie kura kwangu ukawa simpi ng'o
 
Mkuu Chakaza watanzania kwa ujumla wetu kweli nimeamini tunahitaji mabadiliko, na mabadiliko hayo tunatakiwa kuanza kujibadilisha wenyewe kifkra kwanza kabla ya kuamini kuna mtu au chama kitatubadilisha, tukilijia hilo wala usinge hitimisha kwa kauli ya mada yako

Diamond ni mwanamuziki pekee nchi hii ambaye amepata mafanikio kuliko mwanamuziki yeyote hapa tz, na ni mwanamuziki anayeongoza kwa kupendwa sana na kuchukiwa sana kuliko wote

Alipotoa kamwambie kisha mbagala na kupata umaarufu wa kutosha kibongo bongo ndipo maneno yakaanza, mara hatafika mbali na sababu zikatengenezwa kibao kama hii yakwako, lakini siku zote Diamond anazidi kuwa juu zaidi ya alipokuwa

Diamond anajua ipo siku atashuka kimuziki sababu ndio ilivyo, watu wanaisubiria sana hiyo siku lakini wanasahau kitu kimoja Mungu ndio mpangaji, ukijituma kwa bidii Mungu hata kutupa kamwe.......hard work pays

Daimond hivi sasa yupo kwenye ubora wake ni muda wa kutengeneza pesa, yupo ccm kikazi zaidi, unajua analipwa zaidi ya m100 kwa kila show anayofanya, ungekuwa wewe ungekataa?
Mabere Marando wakati wenzake wako bize bungeni kuwakomalia wezi wa epa wafikishwe mahakamni lakini yeye ndio akawa wakili wao kuwatetea tena kwa kuomba kesi itupiliwe mba li..........sababu alikua kikazi zaidi

Hivi ukipewa tenda ya kujenga jengo la ccm utakataa? Hivi ccm wakitaka kukodi ukumbi hoteli yako utakataa? Hivi unavyo waona akina drogba wanasifia na kutangaza sumsang wanatoa moyoni? .......ni kazi

Naamini Diamond amekosa tunzo nyingi sana kuliko alizo wahi kuteuliwa, akikisa na hii ni sehemu ya maisha tu wala sio ccm, kama ni kwaajili ya ccm labda atakisa za kili sababu ushindi ni 100% unatokana na kura lakini sio tuzo zinazotokana na kura na others factors

Kumtemgenezea Diamond sababu za kushuka hakuta mshusha,
Jana nmb wamemuingizia mwanae Tiffah milion 40 kama udhamini wa kuonyesha sura yake hadharani kwa mara ya kwanza, we unasema atashuka
 
Last edited by a moderator:
Waige mfano kutoka kwa kundi LA WEUSI waliokataa mamilioni ili wajihusishe na kampeni za kisiasa
 
Hii ndio maana ya msanii mkubwaaaaa

Baba laoooo

King Of afropop

Tanzania nzima sasahivi watu wanaojadiliwa ni DIAMOND PLATNUMZ, MAGUFULI NA LOWASSA sipatii picha angekuwa kagombea uraisi

OYOOOOOOO TEAM DIAMOND PLATNUMZ 4EVAAAA
 
hata mm binafs nilikuwa fans mkubwa wa diamond lakin kwa sasa akwende zake kule! atapigiwa kura na cvm wake
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…