Joowzey
JF-Expert Member
- Nov 13, 2015
- 13,166
- 13,514
Iv huo mdomo ni wako au? Maana unanichanganya kabisa!!Sawa
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Iv huo mdomo ni wako au? Maana unanichanganya kabisa!!Sawa
Mara yako ya mwisho ni lini kuona Diamond anatanguliza audio badala ya video?!Naona bado sana......kwa maoni yangu hizo mbili hazifikii hata nusu ya record hits zake za awali yeye mwenyewe! Sorry.
jamaa ana wivu daah..alafu meKwa huu wivu wako, ukichokibakiza ni kunywa sumu tu ukufe
sure mm mwenyewe nimelielewa niache sana kuliko sikomiMamaaaee hilo song niache ni bonge la kitu, wimbo haswaa, diamond anajua sanaaaa.
Mkuu mbona nyimbo zenyewe mbovu?!
Unaanzaje kumsifia mwanaume mwenzio anaelia lia na mapenzi kama mtoto wa kike?!
Hahaha ila watu mna majibuSAWA WEWE AMBAYO UNA JIPYA
Acha uongoJana nimesafiri toka Mwanza mpaka kahama masaa manne...kwenye earphone zangu ni nyimbo mbili tu zinajirudia....sikomiiii,niache.....sikomiii,niache....safari ilikuwa fupi sana kwangu
Umejuaje..au Mange Kimambi kasema? Mi nahisi anakusema weweanamsema hamisa hapa kwenye niache
Aliniboa alivokopi fall ya davido akaitaveneka