Diamond kwa sasa hana Baba, ukweli mchungu

Diamond kwa sasa hana Baba, ukweli mchungu

Mimi mwenyewe sijalelewa na baba na hivyo namwelewa sana na Diamond.

Ila sasa tofauti yangu inakuja hivi, kwanini humtunzi Mzee Abdul halafu unamtunza Uncle Shamte [emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]
Heheheheeee
 
Wengi wenu hamjui ukweli kuhusu baba yake na diamond platnum ila kuna mengi anayo yaongea ni uongo na machache yanaweza kuwa na ukweli.
Kwa mimi ambae namfahamu vizuri yule mzee na alikua jirani yangu kweli ukiwa na mzazi kama yule ni shida,kwanza mzee kutwa akishapata pesa ,anashinda kwenye vibanda vya gongo.Mzee yule akikosa pesa ya kwenda kwenye hivyo viringe anajifanya anaumwa na kumlaumu mwanae kuwa hamsaidii na mguu unamsumbua lakini yote ni uongo ana matumizi mabaya ya pesa na mnywa gongo mbobezi.kwa hiyo amegundua akilalamika kwenye vyombo vya habari wake zake wa zamani wa diamondakiwepo wema,hamisa na wengineo wanamsaidia kumpa pesa kwa huruma zao lakini kipindi hicho hawajui ukweli sahihi
Kwani hiyo gongo ni bei gani?!
 
Wababa wa kiafrika ni moja ya watu wapumbavu kwenye hii dunia. Kwanza utafiti unaonyesha katika mtu anayefanya kazi kwa masaa machache kwa siku duniani ni mwanaume wa kiafrika.
Utamaduni wetu upo hivi toka zamani. Unaoa wake wengi halafu kila mtoto anakula kwa mama yake na kulima huko. Kwahiyo mama na watoto wanakuwa wanakulisha baba, umazunguka kula kwa zamu, bado hatujaacha hayo mambo. Umaskini wa Afrika unatokana na mwanaume wa Afrika.

Alafu anakuambia Baba hakosei sijui Mama, upumbavu mtupu.
Mimi sasa hivi ni Baba, mbona nakosea mara nyingi tuu
 
Tatizo ni uelewa wa mtu, na msimamo huwezi kukubali maisha ya mzazi kuishi na kijana mwenzio tena kwenye paa la nyumba yako. Vilevile si lazima ulipe au ukumbuke yaliyo kwisha pita, you need to be very smart yaliyopita si ndwele tugange yajayo. Mwisho hakuna mtoto aliezaliwa bila Baba.

Ni kweli kabisa
 
Hivi mnaonaje mkimuacha dogo aendelee kupiga pesa na kutoa ajira kwa "wasomi wa elimu ya juu"
Kwanini watu wengi wakumuangalia Mond,wanachokiona ni Swala la Dingi yake tu,kwani hakuna mengine ya kumuongelea,mbona wapo vijana wengi tu waliotelekezwa na wazazi wao,tusijifsnye Kama tunamjua sana Mond,kuliko yeye na mama yake wanavyojijua walipotoka na "huyo Baba Mond"ambaye watu wanamuonea huruma.
Kwanini hamuongei jinsi kijana kutoka uswazi tandale,ambavyo ameweza kuwa bilionea na kutoa ajira kibao,acheni maisha yake,kila binadamu ana siri zake,hakuna mkamirifu
 
Hivi mnaonaje mkimuacha dogo aendelee kupiga pesa na kutoa ajira kwa "wasomi wa elimu ya juu"
Kwanini watu wengi wakumuangalia Mond,wanachokiona ni Swala la Dingi yake tu,kwani hakuna mengine ya kumuongelea,mbona wapo vijana wengi tu waliotelekezwa na wazazi wao,tusijifsnye Kama tunamjua sana Mond,kuliko yeye na mama yake wanavyojijua walipotoka na "huyo Baba Mond"ambaye watu wanamuonea huruma.
Kwanini hamuongei jinsi kijana kutoka uswazi tandale,ambavyo ameweza kuwa bilionea na kutoa ajira kibao,acheni maisha yake,kila binadamu ana siri zake,hakuna mkamirifu

Diamond katumika kama case study humu, hakuna anayemuandama, ungesoma uzi ukauelewa pengine usingeandika haya
 
Hebu soma hiki kisa halafu niambie huyo mtoto akaja kukua na kisha baba yake akajitokeza unadhani nini kitatokea..?

2020

18 September 2020 majira ya saa 5 asubuhi,nikiwa kazini kwangu alikuja mdada wa umri wa miaka 22(sitamtaja jina) alikuja akiwa na lengo la kutoa mimba.Ukweli sikupendezwa na hiko kitendo ukitegemea niliwahi kuapa sitafanya hilo jambo katika taaluma yangu mpaka mwisho wa pumzi zangu,lakini ikabidi nimuhoji kwanini amefika hatua ile ya kutaka kutoa mimba.

Dada alianza kueleza yeye kwao ni Makambako alikuja Dar akiwa na umri wa miaka 14 kwa ajili ya kazi za ndani,baada ya kufanya kazi kwa mwaka
Mkuu nikupongeze sana sana na hii inatupa picha kuwa pamoja na maisha kuwa magumu lakini watu wema wapo duniani.....Mungu akuzidishe na kukulinda mwaka huu wote na kila mtu asema Amina
 
Hebu soma hiki kisa halafu niambie huyo mtoto akaja kukua na kisha baba yake akajitokeza unadhani nini kitatokea..?

2020

18 September 2020 majira ya saa 5 asubuhi,nikiwa kazini kwangu alikuja mdada wa umri wa miaka 22(sitamtaja jina) alikuja akiwa na lengo la kutoa
Hii ingefaa kuwa uzi kamili, kuna kitu cha kujifunza, Asante kwa ku_share hii habari, kuna watu wanapitia njia ngumu mno hapa duniani na wanahitaji misaada kama hii.
 
Hebu soma hiki kisa halafu niambie huyo mtoto akaja kukua na kisha baba yake akajitokeza unadhani nini kitatokea..?

2020

18 September 2020 majira ya saa 5 asubuhi,nikiwa kazini kwangu alikuja mdada wa umri wa miaka 22(sitamtaja jina) alikuja akiwa na lengo la kutoa mimba.Ukweli sikupendezwa na hiko kitendo ukitegemea niliwahi kuapa sitafanya hilo jambo katika taaluma yangu mpaka mwisho wa pumzi zang
Mkuu..Mungu ndie atakaekulipa.
 
Unaweza kuta kwa masharti ya sangoma , jinsi dingi anavyotaabika ndivyo jinsi mifuko ya mondi inajaa
 
Hakuna uchungu mbaya kama kunyanyaswa na mzazi wako wa damu, ni bora nakuambia ni bora uwe kifungoni na kufanyishwa kazi ngumu uchungu wake una nafuu. Mondi anakwepa kujisikia uchungu pindi atakapo kua karibu na mdingi, huo ndio ukweli...!!!

Sent from my Infinix X655C using JamiiForums mobile app
 
Mimi mwenyewe sijalelewa na baba na hivyo namwelewa sana na Diamond.

Ila sasa tofauti yangu inakuja hivi, kwanini humtunzi Mzee Abdul halafu unamtunza Uncle Shamte [emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]
Uncle shamte anayaweza yote zaidi ya kijibwa kwa mama dangote.
 
Diamond anaonekana anakidonda kikubwa moyoni mwake ila hajawai sema wazi kua hatamjali baba yake media zikimhoji hua anajizuia sana kuhusu baba yake yeye anaishia kusema tu hana tatizo lolote na baba yake.ila moyon mwake ninauhakika ana kinyongo kikubwa
 
Back
Top Bottom