jogi
JF-Expert Member
- Sep 25, 2010
- 25,556
- 25,342
Aibu ya kutokufunga ndoa? Aseme anakwa wapi asaidiwe.Ukitaka kutoa aibu ya mwenzio anza na ya kwako
ᴮʸ cₐᵣₑₑₘ ᵀʰᵉ ᴸᵉᵍᵉⁿᵈ
Mashehe sijui wanamwogopa?
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Aibu ya kutokufunga ndoa? Aseme anakwa wapi asaidiwe.Ukitaka kutoa aibu ya mwenzio anza na ya kwako
ᴮʸ cₐᵣₑₑₘ ᵀʰᵉ ᴸᵉᵍᵉⁿᵈ
Aache kudhalilisha wanawakeKulikuwa kuna haja hasa ya kuandika haya?
Mbona ya kwako hujayamwaga hapa jukwaani?
Sent using Jamii Forums mobile app
Jamaa unambwela sana,tujengewe kanisa na mfuasi wa allah unataka majini yaanze kujificha makanisani,na si kama ilivyozooleka yanakaa misikitini,ajenge hata viwanda na hospitali za waislamu tupu maana hawa jamaa akili zao wanazijua wenyewe wanaendekeza sana ubaguzi
Watoto wa miaka minne ndio huuliza kama uulizavyo.
Wangekuwa wenzetu..ingekuwa balaa.Uzuri wakristo hatunaga hiyana kabisaaa
hata asipojenga bado wakristo wanampenda tu
Kweli...vile vibanda vyao vidogoMimi mkatoliki yaani diamond anijengee mimi kanisa ana ubavu gani? Acha ajenge hivyo vijumba vidogo vidogo kanisa ni habari nyingine shehee
Sent using Jamii Forums mobile app
Mimi mkatoliki yaani diamond anijengee mimi kanisa ana ubavu gani? Acha ajenge hivyo vijumba vidogo vidogo kanisa ni habari nyingine shehee
Sent using Jamii Forums mobile app
Ni kweli nakiri akili sina,samahani mkuu nilijirushia tu jiwe gizani sikutegemea lingetua kichwani kwakoKukosa akili ni kitu kibaya sana. Bora ukose mali upate akili . Wewe huna akili. Pole sana
Sent using Jamii Forums mobile app
Kwanini usimshauri ajenge Shule Au hata maabara ikibidi?! Kwani kuna uhaba wa misikiti na makanisa?!
Ha ha ha mkuu hamna aliyemwema kwa asilimia100,Huyo Diamond anauwezo wa kujenga kanisa?labda Jengo la Sunday School...
Pia sidhani kama ni sahihi kwa Diamond kuukabidhi huo msikiti wakati usiku wa kuamkia hiyo siku alikuwa kwenye mibalaaa ya kibao kata na bunyero bunyero. Clear lack of respect na njaa ya hap waislamu walioupokea