Diamond kwepa hili mapema la udini. Fata ushauri wa Vanny Boy

Diamond kwepa hili mapema la udini. Fata ushauri wa Vanny Boy

Ha ha ha mkuu hamna aliyemwema kwa asilimia100,
Hukumuona Pope Jana alivyompiga yule mama aliekua akiung'ang'ania mkono wake...ulimuona Pope alivyonuna Kama bouncer fulani

Ha ha sijaiona hiyo ngoja niitafute, ila kwa ule uchafu wa kwenye train afu asubuhi unakabidhi msikiti ni jambo linalosikitisha sana, tena kachukua wale wa bunyero bunyero msambwanda kwa buku jero
 
Ha ha sijaiona hiyo ngoja niitafute, ila kwa ule uchafu wa kwenye train afu asubuhi unakabidhi msikiti ni jambo linalosikitisha sana, tena kachukua wale wa bunyero bunyero msambwanda kwa buku jero

 
Dini yao inaruhusu wasaniikujenga misikiti ila sio sis wakristo
dINI HIYO INARUHUSU AINA YA MUZIKI ANAYOFANYA, MAVAZI YAKE NA WANANGUAJI WAKE NI HALALI NA MAPATO YATOKANAYO NA KAZI HIYO NI HALALI KUJENGEA NYUMBA YA IBADA AMA KUTOA SADAKA?
 
dINI HIYO INARUHUSU AINA YA MUZIKI ANAYOFANYA, MAVAZI YAKE NA WANANGUAJI WAKE NI HALALI NA MAPATO YATOKANAYO NA KAZI HIYO NI HALALI KUJENGEA NYUMBA YA IBADA AMA KUTOA SADAKA?
Mbona ww unagonga wanawake bila ndoa na still unaenda kwenye nyumba za ibada mbona ujiongelei.
 
Ha ha sijaiona hiyo ngoja niitafute, ila kwa ule uchafu wa kwenye train afu asubuhi unakabidhi msikiti ni jambo linalosikitisha sana, tena kachukua wale wa bunyero bunyero msambwanda kwa buku jero
Gwajima pamoja na kuwa ni mchungaji
lakini kachepuka na muumini wake.Kitu Cha msingi hapa duniani hakuna mtu mkamilifu Mungu angetufunulia dhambi zetu wasinge baki watu salama Kuna watu wanna mambo machafu Sana mpaka Mungu anaogopa alafu wanajifanya innocent tusipende kujudge ya watu wakati yeti tu yametushinda.
 
Mdogo wangu diamond unasifika sana na sidhani km utashuka leo wala kesho. Wewe ni celebrity unapendwa na wote wakristo kwa waislamu.
Nakushauri acha kaudini ambapo unako. Chukua ushauri wa Rayvanny jenga na makanisa ili uonekane hauna udini. Unajisifia kujenga misikiti yes ni jambo..but jenga na kanisa basi..Tanzania ni ya wote na fata mfano wa Rais anbaye anachangia both misikiti na makanisa. Na ushauri wa bure mwambie Tale apunguze udini. Wakristo wanakusapoti wewe sidhani km ni vyema ukijisifia kujenga misikiti au ukajifanya wewe ni mwislamu sana.Magufuli ni Rais anajenga kote..celebrity mzuri ni yule ambaye hajihusishi na dini.

Rayvanny na Baba levo wameshakushauri jenga na makanisa uonekane hauna udini.
Mdogo wangu diamond unasifika sana na sidhani km utashuka leo wala kesho. Wewe ni celebrity unapendwa na wote wakristo kwa waislamu.
Nakushauri acha kaudini ambapo unako. Chukua ushauri wa Rayvanny jenga na makanisa ili uonekane hauna udini. Unajisifia kujenga misikiti yes ni jambo..but jenga na kanisa basi..Tanzania ni ya wote na fata mfano wa Rais anbaye anachangia both misikiti na makanisa. Na ushauri wa bure mwambie Tale apunguze udini. Wakristo wanakusapoti wewe sidhani km ni vyema ukijisifia kujenga misikiti au ukajifanya wewe ni mwislamu sana.Magufuli ni Rais anajenga kote..celebrity mzuri ni yule ambaye hajihusishi na dini.

Rayvanny na Baba levo wameshakushauri jenga na makanisa uonekane hauna udini.
Hii ndio thread ya KIBWEGE kuliko zote kwa mwaka 2020
 
Screenshot_20200101-142328.png
 
Mdogo wangu diamond unasifika sana na sidhani km utashuka leo wala kesho. Wewe ni celebrity unapendwa na wote wakristo kwa waislamu.
Nakushauri acha kaudini ambapo unako. Chukua ushauri wa Rayvanny jenga na makanisa ili uonekane hauna udini. Unajisifia kujenga misikiti yes ni jambo..but jenga na kanisa basi..Tanzania ni ya wote na fata mfano wa Rais anbaye anachangia both misikiti na makanisa. Na ushauri wa bure mwambie Tale apunguze udini. Wakristo wanakusapoti wewe sidhani km ni vyema ukijisifia kujenga misikiti au ukajifanya wewe ni mwislamu sana.Magufuli ni Rais anajenga kote..celebrity mzuri ni yule ambaye hajihusishi na dini.

Rayvanny na Baba levo wameshakushauri jenga na makanisa uonekane hauna udini.
Mtoa mada ulitakiwa huo ushauri wako uwape wasanii wa kristo ndo wafanye hivyo na si kumpangia mtu mwenye imani yake amfanyie mtu wa imani nyingine.
 
Diamond mwache aimbe hadhi ya kuwa statesman haiombwi. You earn it.
msilazimishe.
 
Mmh nyie huko kanisani kwenu hakuna makahaba, wachawi, wala rushwa? Tena hao ndio wanapewa heshima kwa kuwa wanatoa sadaka kubwa kubwa

Sent using Jamii Forums mobile app



Hii inanikumbusha kulikuwa na jamaa fulani mkoa mmoja sitautaja, huyo jamaa alifahamika kabisa kwamba yeye ni jambazi mkubwa (king pin) na kazi yake kubwa ilikuwa ni hiyo tu, alikuwa na maduka pia. Yeye alikuwa na kiti chake maalum cha kukaa kanisani siku za jumapili na siku ya jumapili asipoenda basi kiti chake huwa kitupu, hakai mtu hapo. Alikuwa anatoa fedha nyingi katika mchango wa "fungu la kumi", hivyo aliheshimika sana hapo kanisani kwa sababu hiyo licha ya kwamba ilikuwa wazi anajulikana kwa ujambazi wake. Lakini niliambiwa aliuawa kwa kupigwa shaba.

Hayo ndiyo mambo ya imani, 🤣🤣
 
Hahah hizi ndizo akili za Wabongo wengi...

Mimi hupenda kuziita akili za kupatia divisheni 4 kidato cha nne...
 
Mdogo wangu diamond unasifika sana na sidhani km utashuka leo wala kesho. Wewe ni celebrity unapendwa na wote wakristo kwa waislamu.
Nakushauri acha kaudini ambapo unako. Chukua ushauri wa Rayvanny jenga na makanisa ili uonekane hauna udini. Unajisifia kujenga misikiti yes ni jambo..but jenga na kanisa basi..Tanzania ni ya wote na fata mfano wa Rais anbaye anachangia both misikiti na makanisa. Na ushauri wa bure mwambie Tale apunguze udini. Wakristo wanakusapoti wewe sidhani km ni vyema ukijisifia kujenga misikiti au ukajifanya wewe ni mwislamu sana.Magufuli ni Rais anajenga kote..celebrity mzuri ni yule ambaye hajihusishi na dini.

Rayvanny na Baba levo wameshakushauri jenga na makanisa uonekane hauna udini.
Hill Kanisa atakalojenga Diamond atasali yeye na MAJINI wenzie

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Back
Top Bottom