Diamond kwepa hili mapema la udini. Fata ushauri wa Vanny Boy

Diamond kwepa hili mapema la udini. Fata ushauri wa Vanny Boy

Hii inanikumbusha kulikuwa na jamaa fulani mkoa mmoja sitautaja, huyo jamaa alifahamika kabisa kwamba yeye ni jambazi mkubwa (king pin) na kazi yake kubwa ilikuwa ni hiyo tu, alikuwa na maduka pia. Yeye alikuwa na kiti chake maalum cha kukaa kanisani siku za jumapili na siku ya jumapili asipokuja basi kiti chake huwa kitupu, hakai mtu hapo. Alikuwa anatoa fedha nyingi katika mchango wa "fungu la kumi", hivyo aliheshimika sana hapo kanisani kwa sababu hiyo licha ya kwamba ilikuwa wazi anajulikana kwa ujambazi wake. Lakini niliambiwa aliuawa kwa kupigwa shaba.

Hayo ndiyo mambo ya imani, 🤣🤣
Ni hatari sana, mambo hata ni magumu sana tuombeane tu
 
Watu wa MUNGU iweni macho. Shetani amejiingiza kwa siri kanisani.
 
Mdogo una shida sana kwa masuala mawaili 1. Udini 2. Uccm

1.Mdogo wangu diamond unasifika sana na sidhani km utashuka leo wala kesho. Wewe ni celebrity unapendwa na wote wakristo kwa waislamu.
Nakushauri acha kaudini ambapo unako. Chukua ushauri wa Rayvanny jenga na makanisa ili uonekane hauna udini. Unajisifia kujenga misikiti yes ni jambo..but jenga na kanisa basi..Tanzania ni ya wote na fata mfano wa Rais anbaye anachangia both misikiti na makanisa. Na ushauri wa bure mwambie Tale apunguze udini. Wakristo wanakusapoti wewe sidhani km ni vyema ukijisifia kujenga misikiti au ukajifanya wewe ni mwislamu sana.Magufuli ni Rais anajenga kote..celebrity mzuri ni yule ambaye hajihusishi na dini. Rayvanny na Baba levo wameshakushauri jenga na makanisa uonekane hauna udini.

Na Tanzania hatuna uhaba wa vyumba vya dini..jenga shule au mahabara..au hospitali.
2.Uccm

Hivi ile shoo ya juzi kigoma umeona jinsi ulivyokuwa kituko..mambo ya kualika wakina pole pole ..mkaanza kupiga nayowe ccm oyee..watu wamekuja kuangalia shoo unaleta mambo ya kujipendekeza sijui ccm oyee..mara ccm itashinda asilimia 100. Dogo fanya mziki siasa huwezi na acha kuwa praise team wa ccm wewe siyo afisa chama au ikulu..muulize marlaw. We unadhani ccm wanakupenda wewe as Nasibu au Diamond. Licha ya kuwa wewe ni mbunifu sana kwenye mziki kuliko Alikiba..but Alikiba hana shobo z kishamba km wewe..huwezi ona Alikiba anakuwa praise team au mwimba mapambio km wewe.
Umepewa soko la jioni pale kigoma kabsa baba levo ulitakiwa kulikarabati kidogo tu na soko lingeandikwa jina lako ila kwakua aliyekupa soko na idea si ccm ukaona hutopata Kiki. Hivi unajua kwann wasanii wenzako wanakuzimia Data?

Mm siyo ccm na siwezi kumsupport msanii ambaye najua ni icon ya taifa analeta uccm kwenye kazi yake. Wakati mwingine shule inasaidia hata kidogo we unadhani tunaokesha angalia miziki yako ni ccm tu. Angalia wenzako wakina burna boy hawana umama huu. Leo nenda Us.canada..china..uk..n.k club zao zote wanapiga nyimbo za wananigeria.

Mkuuu kwenye udini naungama na ww,ila kwenye maisha Mengine ya mtu hachana nayo mkuu...Mwache tu Anguko lake litakuwa fundisho lake.
 
we jamaa chizi nini ?

Diamond ni muislamu, akijenga msikiti wewe kama mkristo inakuuma nini ?

Kwani wewe unamshabikia Diamond au Naseeb Abdul?

Haya maneno ulipaswa uwaambie kina Ay, Ney wa mitego , Roma na wasanii wakristo wengine wakajenge nyumba za ibada kwa wakristo sio kulazimisha au kupangia watu ambao wameamua kusaidia imani zao.

Sent using Jamii Forums mobile app
Nilijua tu lazima uwake ban 😝😝😝😝
Ukirudi pigana
 
Wasanii ni wengi mno acha kumpenda mondi wapende wengine,

Waambie wasanii wakristo wajenge makanisa muache ostaz mondi ajenge misikiti,
Kila mtu afanye yake mwenye kupenda upinzani na apende na mwenye kupenda ccm pia na apende,

Na akipata ubunge atapewa uwaziri,mwenye bahati ni mwenye bahati tuu hata ufanyeje mondi ataendelea kuwa juu juu


Sent using Jamii Forums mobile app
 
Mbona sugu na Prof J Ni chadema kindakindaki pia wanafanya mziki,shida iko wapi kwa diamond plat,,kuhusu kujenga tu misikiti me Sion shida yoyote

Sent using Keo
 
Ajenge kanisa,halafu mchungaji atakuwa nani?

Sisi wana wa kristo tunajiweza tukiwa kumi tu tunateua mchungaji tunachangishana,kanisa linajengwa baada ya miaka kumi tu boooooonge la kanisa na kondoo kama wote
 
Mdogo una shida sana kwa masuala mawaili 1. Udini 2. Uccm

1.Mdogo wangu diamond unasifika sana na sidhani km utashuka leo wala kesho. Wewe ni celebrity unapendwa na wote wakristo kwa waislamu.
Nakushauri acha kaudini ambapo unako. Chukua ushauri wa Rayvanny jenga na makanisa ili uonekane hauna udini. Unajisifia kujenga misikiti yes ni jambo..but jenga na kanisa basi..Tanzania ni ya wote na fata mfano wa Rais anbaye anachangia both misikiti na makanisa. Na ushauri wa bure mwambie Tale apunguze udini. Wakristo wanakusapoti wewe sidhani km ni vyema ukijisifia kujenga misikiti au ukajifanya wewe ni mwislamu sana.Magufuli ni Rais anajenga kote..celebrity mzuri ni yule ambaye hajihusishi na dini. Rayvanny na Baba levo wameshakushauri jenga na makanisa uonekane hauna udini.

Na Tanzania hatuna uhaba wa vyumba vya dini..jenga shule au mahabara..au hospitali.
2.Uccm

Hivi ile shoo ya juzi kigoma umeona jinsi ulivyokuwa kituko..mambo ya kualika wakina pole pole ..mkaanza kupiga nayowe ccm oyee..watu wamekuja kuangalia shoo unaleta mambo ya kujipendekeza sijui ccm oyee..mara ccm itashinda asilimia 100. Dogo fanya mziki siasa huwezi na acha kuwa praise team wa ccm wewe siyo afisa chama au ikulu..muulize marlaw. We unadhani ccm wanakupenda wewe as Nasibu au Diamond. Licha ya kuwa wewe ni mbunifu sana kwenye mziki kuliko Alikiba..but Alikiba hana shobo z kishamba km wewe..huwezi ona Alikiba anakuwa praise team au mwimba mapambio km wewe.
Umepewa soko la jioni pale kigoma kabsa baba levo ulitakiwa kulikarabati kidogo tu na soko lingeandikwa jina lako ila kwakua aliyekupa soko na idea si ccm ukaona hutopata Kiki. Hivi unajua kwann wasanii wenzako wanakuzimia Data?

Mm siyo ccm na siwezi kumsupport msanii ambaye najua ni icon ya taifa analeta uccm kwenye kazi yake. Wakati mwingine shule inasaidia hata kidogo we unadhani tunaokesha angalia miziki yako ni ccm tu. Angalia wenzako wakina burna boy hawana umama huu. Leo nenda Us.canada..china..uk..n.k club zao zote wanapiga nyimbo za wananigeria.
Mimi ni Mkristo ila siungi mkono ulichokiandika. Tunajua Diamond ni Mwislam hivyo hatutegemei ajenge kanisa.
Sijaona baya alilofanya wala sidhani kama kwa mashabiki wenye kujielewa wataona tatizo wakati wakijua ni muumini wa dini ya Kiislam
 
Nani & wapi kasema uislamu unaruhsu kujenga nyumba za ibada kwa pesa isiyo kuwa ya halali? Kama unatoa fatua toa ktk dini yako,ila kwa dini usiyo ijuwa undani wake ni bora ukae kimya ,kuliko kuandika pumba.

Kama wamejenga,wamejenga hakuna m2 atakaye wazuia ila kiuhalisia masheikh walio kubal nyumba ile ya Mungu kujengwa ,kwa pesa ya music wamefanya kosa .hakika watakwenda kujibu mbele ya Allah.

KWA SBBU UMEJENGWA ,SII KOSA KUFANYA IBADA.

Sent using Jamii Forums mobile app
Mkuu masheikh wanahusikaje hapo? Na pesa ya haramu si ya kwao Ni ya dimond??

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Back
Top Bottom