Ha ha ha mkuu hamna aliyemwema kwa asilimia100,
Hukumuona Pope Jana alivyompiga yule mama aliekua akiung'ang'ania mkono wake...ulimuona Pope alivyonuna Kama bouncer fulani
Na Shule pia sema hapemdi show offAlikiba amepanga kujenga vyote makanisa na misikiti sema hajaliweka wazi hilo kwenye media
Sent using Jamii Forums mobile app
Ha ha sijaiona hiyo ngoja niitafute, ila kwa ule uchafu wa kwenye train afu asubuhi unakabidhi msikiti ni jambo linalosikitisha sana, tena kachukua wale wa bunyero bunyero msambwanda kwa buku jero
dINI HIYO INARUHUSU AINA YA MUZIKI ANAYOFANYA, MAVAZI YAKE NA WANANGUAJI WAKE NI HALALI NA MAPATO YATOKANAYO NA KAZI HIYO NI HALALI KUJENGEA NYUMBA YA IBADA AMA KUTOA SADAKA?Dini yao inaruhusu wasaniikujenga misikiti ila sio sis wakristo
Mbona ww unagonga wanawake bila ndoa na still unaenda kwenye nyumba za ibada mbona ujiongelei.dINI HIYO INARUHUSU AINA YA MUZIKI ANAYOFANYA, MAVAZI YAKE NA WANANGUAJI WAKE NI HALALI NA MAPATO YATOKANAYO NA KAZI HIYO NI HALALI KUJENGEA NYUMBA YA IBADA AMA KUTOA SADAKA?
Gwajima pamoja na kuwa ni mchungajiHa ha sijaiona hiyo ngoja niitafute, ila kwa ule uchafu wa kwenye train afu asubuhi unakabidhi msikiti ni jambo linalosikitisha sana, tena kachukua wale wa bunyero bunyero msambwanda kwa buku jero
Mdogo wangu diamond unasifika sana na sidhani km utashuka leo wala kesho. Wewe ni celebrity unapendwa na wote wakristo kwa waislamu.
Nakushauri acha kaudini ambapo unako. Chukua ushauri wa Rayvanny jenga na makanisa ili uonekane hauna udini. Unajisifia kujenga misikiti yes ni jambo..but jenga na kanisa basi..Tanzania ni ya wote na fata mfano wa Rais anbaye anachangia both misikiti na makanisa. Na ushauri wa bure mwambie Tale apunguze udini. Wakristo wanakusapoti wewe sidhani km ni vyema ukijisifia kujenga misikiti au ukajifanya wewe ni mwislamu sana.Magufuli ni Rais anajenga kote..celebrity mzuri ni yule ambaye hajihusishi na dini.
Rayvanny na Baba levo wameshakushauri jenga na makanisa uonekane hauna udini.
Hii ndio thread ya KIBWEGE kuliko zote kwa mwaka 2020Mdogo wangu diamond unasifika sana na sidhani km utashuka leo wala kesho. Wewe ni celebrity unapendwa na wote wakristo kwa waislamu.
Nakushauri acha kaudini ambapo unako. Chukua ushauri wa Rayvanny jenga na makanisa ili uonekane hauna udini. Unajisifia kujenga misikiti yes ni jambo..but jenga na kanisa basi..Tanzania ni ya wote na fata mfano wa Rais anbaye anachangia both misikiti na makanisa. Na ushauri wa bure mwambie Tale apunguze udini. Wakristo wanakusapoti wewe sidhani km ni vyema ukijisifia kujenga misikiti au ukajifanya wewe ni mwislamu sana.Magufuli ni Rais anajenga kote..celebrity mzuri ni yule ambaye hajihusishi na dini.
Rayvanny na Baba levo wameshakushauri jenga na makanisa uonekane hauna udini.
vipi hairuhusu hata kuchangia millions kwenye ujenzi wa kanisa...vannyboy achangie au ye hapati chochote kwenye musicDini yao inaruhusu wasaniikujenga misikiti ila sio sis wakristo
Mtoa mada ulitakiwa huo ushauri wako uwape wasanii wa kristo ndo wafanye hivyo na si kumpangia mtu mwenye imani yake amfanyie mtu wa imani nyingine.Mdogo wangu diamond unasifika sana na sidhani km utashuka leo wala kesho. Wewe ni celebrity unapendwa na wote wakristo kwa waislamu.
Nakushauri acha kaudini ambapo unako. Chukua ushauri wa Rayvanny jenga na makanisa ili uonekane hauna udini. Unajisifia kujenga misikiti yes ni jambo..but jenga na kanisa basi..Tanzania ni ya wote na fata mfano wa Rais anbaye anachangia both misikiti na makanisa. Na ushauri wa bure mwambie Tale apunguze udini. Wakristo wanakusapoti wewe sidhani km ni vyema ukijisifia kujenga misikiti au ukajifanya wewe ni mwislamu sana.Magufuli ni Rais anajenga kote..celebrity mzuri ni yule ambaye hajihusishi na dini.
Rayvanny na Baba levo wameshakushauri jenga na makanisa uonekane hauna udini.
Mmh nyie huko kanisani kwenu hakuna makahaba, wachawi, wala rushwa? Tena hao ndio wanapewa heshima kwa kuwa wanatoa sadaka kubwa kubwa
Sent using Jamii Forums mobile app
Pablo Escobar alijenga makanisa na viwanja vya michezo Colombia kwa baraka za kanisa katoliki.Kanisa la Kristo halijengwi kwa hela haramu, watu wanaenda kufanya maovu uzinzi n.k kwa kwenda kwenye hayo matamasha then ukajengee kanisa, haikubaliki,
Hill Kanisa atakalojenga Diamond atasali yeye na MAJINI wenzieMdogo wangu diamond unasifika sana na sidhani km utashuka leo wala kesho. Wewe ni celebrity unapendwa na wote wakristo kwa waislamu.
Nakushauri acha kaudini ambapo unako. Chukua ushauri wa Rayvanny jenga na makanisa ili uonekane hauna udini. Unajisifia kujenga misikiti yes ni jambo..but jenga na kanisa basi..Tanzania ni ya wote na fata mfano wa Rais anbaye anachangia both misikiti na makanisa. Na ushauri wa bure mwambie Tale apunguze udini. Wakristo wanakusapoti wewe sidhani km ni vyema ukijisifia kujenga misikiti au ukajifanya wewe ni mwislamu sana.Magufuli ni Rais anajenga kote..celebrity mzuri ni yule ambaye hajihusishi na dini.
Rayvanny na Baba levo wameshakushauri jenga na makanisa uonekane hauna udini.
Pambana na imani yako,
Kwa sababu sisi ni wanafiki sana hatuwezi pokeaHivi wakristo tunaweza pokea nyumba ya ibada ilojengwa na wasanii? Hilo sina imani nalo sana. Kwenye dini yao nadhani hicho ni kitu cha kawaida sana