Diamond kwepa hili mapema la udini. Fata ushauri wa Vanny Boy

Diamond kwepa hili mapema la udini. Fata ushauri wa Vanny Boy

Mdogo una shida sana kwa masuala mawaili 1. Udini 2. Uccm

1.Mdogo wangu diamond unasifika sana na sidhani km utashuka leo wala kesho. Wewe ni celebrity unapendwa na wote wakristo kwa waislamu.
Nakushauri acha kaudini ambapo unako. Chukua ushauri wa Rayvanny jenga na makanisa ili uonekane hauna udini. Unajisifia kujenga misikiti yes ni jambo..but jenga na kanisa basi..Tanzania ni ya wote na fata mfano wa Rais anbaye anachangia both misikiti na makanisa. Na ushauri wa bure mwambie Tale apunguze udini. Wakristo wanakusapoti wewe sidhani km ni vyema ukijisifia kujenga misikiti au ukajifanya wewe ni mwislamu sana.Magufuli ni Rais anajenga kote..celebrity mzuri ni yule ambaye hajihusishi na dini. Rayvanny na Baba levo wameshakushauri jenga na makanisa uonekane hauna udini.

Na Tanzania hatuna uhaba wa vyumba vya dini..jenga shule au mahabara..au hospitali.
2.Uccm

Hivi ile shoo ya juzi kigoma umeona jinsi ulivyokuwa kituko..mambo ya kualika wakina pole pole ..mkaanza kupiga nayowe ccm oyee..watu wamekuja kuangalia shoo unaleta mambo ya kujipendekeza sijui ccm oyee..mara ccm itashinda asilimia 100. Dogo fanya mziki siasa huwezi na acha kuwa praise team wa ccm wewe siyo afisa chama au ikulu..muulize marlaw. We unadhani ccm wanakupenda wewe as Nasibu au Diamond. Licha ya kuwa wewe ni mbunifu sana kwenye mziki kuliko Alikiba..but Alikiba hana shobo z kishamba km wewe..huwezi ona Alikiba anakuwa praise team au mwimba mapambio km wewe.
Umepewa soko la jioni pale kigoma kabsa baba levo ulitakiwa kulikarabati kidogo tu na soko lingeandikwa jina lako ila kwakua aliyekupa soko na idea si ccm ukaona hutopata Kiki. Hivi unajua kwann wasanii wenzako wanakuzimia Data?

Mm siyo ccm na siwezi kumsupport msanii ambaye najua ni icon ya taifa analeta uccm kwenye kazi yake. Wakati mwingine shule inasaidia hata kidogo we unadhani tunaokesha angalia miziki yako ni ccm tu. Angalia wenzako wakina burna boy hawana umama huu. Leo nenda Us.canada..china..uk..n.k club zao zote wanapiga nyimbo za wananigeria.
Kwani wewe ulishawahi kuchangia msikiti?..umeandika uzi kiboya sana..yani nilitamani hata nikutukane
 
Mdogo una shida sana kwa masuala mawaili 1. Udini 2. Uccm

1.Mdogo wangu diamond unasifika sana na sidhani km utashuka leo wala kesho. Wewe ni celebrity unapendwa na wote wakristo kwa waislamu.
Nakushauri acha kaudini ambapo unako. Chukua ushauri wa Rayvanny jenga na makanisa ili uonekane hauna udini. Unajisifia kujenga misikiti yes ni jambo..but jenga na kanisa basi..Tanzania ni ya wote na fata mfano wa Rais anbaye anachangia both misikiti na makanisa. Na ushauri wa bure mwambie Tale apunguze udini. Wakristo wanakusapoti wewe sidhani km ni vyema ukijisifia kujenga misikiti au ukajifanya wewe ni mwislamu sana.Magufuli ni Rais anajenga kote..celebrity mzuri ni yule ambaye hajihusishi na dini. Rayvanny na Baba levo wameshakushauri jenga na makanisa uonekane hauna udini.

Na Tanzania hatuna uhaba wa vyumba vya dini..jenga shule au mahabara..au hospitali.
2.Uccm

Hivi ile shoo ya juzi kigoma umeona jinsi ulivyokuwa kituko..mambo ya kualika wakina pole pole ..mkaanza kupiga nayowe ccm oyee..watu wamekuja kuangalia shoo unaleta mambo ya kujipendekeza sijui ccm oyee..mara ccm itashinda asilimia 100. Dogo fanya mziki siasa huwezi na acha kuwa praise team wa ccm wewe siyo afisa chama au ikulu..muulize marlaw. We unadhani ccm wanakupenda wewe as Nasibu au Diamond. Licha ya kuwa wewe ni mbunifu sana kwenye mziki kuliko Alikiba..but Alikiba hana shobo z kishamba km wewe..huwezi ona Alikiba anakuwa praise team au mwimba mapambio km wewe.
Umepewa soko la jioni pale kigoma kabsa baba levo ulitakiwa kulikarabati kidogo tu na soko lingeandikwa jina lako ila kwakua aliyekupa soko na idea si ccm ukaona hutopata Kiki. Hivi unajua kwann wasanii wenzako wanakuzimia Data?

Mm siyo ccm na siwezi kumsupport msanii ambaye najua ni icon ya taifa analeta uccm kwenye kazi yake. Wakati mwingine shule inasaidia hata kidogo we unadhani tunaokesha angalia miziki yako ni ccm tu. Angalia wenzako wakina burna boy hawana umama huu. Leo nenda Us.canada..china..uk..n.k club zao zote wanapiga nyimbo za wananigeria.
Sorry nimeacha kusoma uzi wako nilipokutana na neno"MAHABARA" maana nikajua wewe ndio walewale tu
 
Kweli kabisa! Hivi huyu jamaa anajua gharama za kujenga kanisa au anasikia! Labda kujenga kigango! Makanisa ni maekalu pesa ndefu inaweza kumfilisi! Achaaaa!
Hivi nyie mnaishi Tanzania tofauti na tunayoishi sisi? Hayo makanisa hatuyaoni huku mtaani au? Kama upo dar nenda ubungo kaangalie kanisa la anglican pale n.h halafu njoo utuambie lile ni bilioni ngapi kujenga
 
Mdogo una shida sana kwa masuala mawaili 1. Udini 2. Uccm

1.Mdogo wangu diamond unasifika sana na sidhani km utashuka leo wala kesho. Wewe ni celebrity unapendwa na wote wakristo kwa waislamu.
Nakushauri acha kaudini ambapo unako. Chukua ushauri wa Rayvanny jenga na makanisa ili uonekane hauna udini. Unajisifia kujenga misikiti yes ni jambo..but jenga na kanisa basi..Tanzania ni ya wote na fata mfano wa Rais anbaye anachangia both misikiti na makanisa. Na ushauri wa bure mwambie Tale apunguze udini. Wakristo wanakusapoti wewe sidhani km ni vyema ukijisifia kujenga misikiti au ukajifanya wewe ni mwislamu sana.Magufuli ni Rais anajenga kote..celebrity mzuri ni yule ambaye hajihusishi na dini. Rayvanny na Baba levo wameshakushauri jenga na makanisa uonekane hauna udini.

Na Tanzania hatuna uhaba wa vyumba vya dini..jenga shule au mahabara..au hospitali.
2.Uccm

Hivi ile shoo ya juzi kigoma umeona jinsi ulivyokuwa kituko..mambo ya kualika wakina pole pole ..mkaanza kupiga nayowe ccm oyee..watu wamekuja kuangalia shoo unaleta mambo ya kujipendekeza sijui ccm oyee..mara ccm itashinda asilimia 100. Dogo fanya mziki siasa huwezi na acha kuwa praise team wa ccm wewe siyo afisa chama au ikulu..muulize marlaw. We unadhani ccm wanakupenda wewe as Nasibu au Diamond. Licha ya kuwa wewe ni mbunifu sana kwenye mziki kuliko Alikiba..but Alikiba hana shobo z kishamba km wewe..huwezi ona Alikiba anakuwa praise team au mwimba mapambio km wewe.
Umepewa soko la jioni pale kigoma kabsa baba levo ulitakiwa kulikarabati kidogo tu na soko lingeandikwa jina lako ila kwakua aliyekupa soko na idea si ccm ukaona hutopata Kiki. Hivi unajua kwann wasanii wenzako wanakuzimia Data?

Mm siyo ccm na siwezi kumsupport msanii ambaye najua ni icon ya taifa analeta uccm kwenye kazi yake. Wakati mwingine shule inasaidia hata kidogo we unadhani tunaokesha angalia miziki yako ni ccm tu. Angalia wenzako wakina burna boy hawana umama huu. Leo nenda Us.canada..china..uk..n.k club zao zote wanapiga nyimbo za wananigeria.
Ajenge na Kanisa?
Heri nusu shari kuliko shari kamili.
Huo mziki anaoufanya anajua anafanya Makosa, ndio ajenge na Kanisa Mkakufuru humo ndani.
Bora abakie na shari ya mziki pekee.

Ikiwa umeumia sana silimu ili yasikupite
 
Umeandika ujinga aisee...

So akijenga kanisa litakuwa LA dhehebu gani? Atajenga makanisa kila dhehebu?

Then kujenga kanisa sio kazi ndogo mzee? Kuna mtu kahoji hapo hata akijenga litakuwa kanisa ama Sunday school?

Then nadhanu nnje ya mziki wake si vema sana ukampangia nini cha kufanya..
 
Hivi nyie mnaishi Tanzania tofauti na tunayoishi sisi? Hayo makanisa hatuyaoni huku mtaani au? Kama upo dar nenda ubungo kaangalie kanisa la anglican pale n.h halafu njoo utuambie lile ni bilioni ngapi kujenga
Shekhe ilo kanisa old fashine mzee..nao watu wanachangana kujenga mahekalu..
 
Shekhe ilo kanisa old fashine mzee..nao watu wanachangana kujenga mahekalu..
Mahekalu ya mabilioni ambayo diamond hawezi kujenga si ndio? Nenda kaangalie kanisa la rc manzese halafu uje utuambie lile ni bilioni ngapi
 
Mdogo una shida sana kwa masuala mawaili 1. Udini 2. Uccm

1.Mdogo wangu diamond unasifika sana na sidhani km utashuka leo wala kesho. Wewe ni celebrity unapendwa na wote wakristo kwa waislamu.
Nakushauri acha kaudini ambapo unako. Chukua ushauri wa Rayvanny jenga na makanisa ili uonekane hauna udini. Unajisifia kujenga misikiti yes ni jambo..but jenga na kanisa basi..Tanzania ni ya wote na fata mfano wa Rais anbaye anachangia both misikiti na makanisa. Na ushauri wa bure mwambie Tale apunguze udini. Wakristo wanakusapoti wewe sidhani km ni vyema ukijisifia kujenga misikiti au ukajifanya wewe ni mwislamu sana.Magufuli ni Rais anajenga kote..celebrity mzuri ni yule ambaye hajihusishi na dini. Rayvanny na Baba levo wameshakushauri jenga na makanisa uonekane hauna udini.

Na Tanzania hatuna uhaba wa vyumba vya dini..jenga shule au mahabara..au hospitali.
2.Uccm

Hivi ile shoo ya juzi kigoma umeona jinsi ulivyokuwa kituko..mambo ya kualika wakina pole pole ..mkaanza kupiga nayowe ccm oyee..watu wamekuja kuangalia shoo unaleta mambo ya kujipendekeza sijui ccm oyee..mara ccm itashinda asilimia 100. Dogo fanya mziki siasa huwezi na acha kuwa praise team wa ccm wewe siyo afisa chama au ikulu..muulize marlaw. We unadhani ccm wanakupenda wewe as Nasibu au Diamond. Licha ya kuwa wewe ni mbunifu sana kwenye mziki kuliko Alikiba..but Alikiba hana shobo z kishamba km wewe..huwezi ona Alikiba anakuwa praise team au mwimba mapambio km wewe.
Umepewa soko la jioni pale kigoma kabsa baba levo ulitakiwa kulikarabati kidogo tu na soko lingeandikwa jina lako ila kwakua aliyekupa soko na idea si ccm ukaona hutopata Kiki. Hivi unajua kwann wasanii wenzako wanakuzimia Data?

Mm siyo ccm na siwezi kumsupport msanii ambaye najua ni icon ya taifa analeta uccm kwenye kazi yake. Wakati mwingine shule inasaidia hata kidogo we unadhani tunaokesha angalia miziki yako ni ccm tu. Angalia wenzako wakina burna boy hawana umama huu. Leo nenda Us.canada..china..uk..n.k club zao zote wanapiga nyimbo za wananigeria.
Umekosa Kanisa ?Nenda kwa Gwajima mbona kuo wazi?
 
Back
Top Bottom