CHIEF PRIEST
JF-Expert Member
- Dec 13, 2021
- 11,635
- 21,347
Msomari ndiyo kitu gani mbona hueleweki? Mwiba hutolewa pale pale ulipoingilia,mamlaka iliyomfungia ndiyo inayoweza kumfungulia. Alipewa ushauri wa kukata rufaa akadharau,hivyo mamlaka ya juu haiwezi kuingilia shauri hilo bila kupelekewa rufaa. After all Haji Manara mwenyewe ameshaamua kuendelea na maisha mengine nyie wengine ni kama mnaleta uchochezi tu.Hatumuombi msomari bali tunaiomba serikali imfungulie ,si unakumbuka serikali ilivyomaliza sakata la Fei toto? Msomari ana chuki binafsi na manara.
Haji alitakiwa akate rufaa mamlaka ya juu akakataa sasa mnapiga kelele za nini,Haji Manara mwenyewe ameshaamua kuendelea na maisha mengine.Kwani yeye ni nani asiambiwe ukweli? Msomali amejiwekea kinga kuliko Rais wa nchi, SHAME ON KARIA!
Manara katengeneza sana fan base ya simba, kupitia mashabiki ndio wawekezaji wanavutika"Ana mchango mkubwa kwenye mpira"
Hivi soka la Tanzania limekuwa kwasababu ya mdomo au sababu ya investors?
We ni nani??Huyo Manara hata Serikali haiwezi kumuokoa hapo alipo atulie amalize adhabu yake na tunajiandaa kumshtaki upya kwa maana hajatumikia adhabu yake kwa 100% amekiuka vitu vingi na ushahidi tunao
Baada ya hii miwili tunampiga miwili mingine ndio atajua nguvu ya mamlaka
TrashManara katengeneza sana fan base ya simba, kupitia mashabiki ndio wawekezaji wanavutika
Remember War In Dar, Do or Die, Kwa mkapa hatoki mtu...n.k. zote ni kauli zilizoanzishwa na manara Kwa target ya kuinua ari ya mashabiki Simba
Kaipa hadhi idara ya usemaji yeye na Jerry Muro. Maneno yake yalifanya hata watoto wadogo waipende na kiikubali simba na upande wa pili waongeze bidii ya kupambana na simba na hapo ndio mchango wake unaonekana.
When Trash knows TrashTrash
Sikatai nafasi ya msemaji kwenye uhamasishaji lakini uhamasishaji huo hauna nguvu kama timu inafanya vibaya au timu haina mashabikiManara katengeneza sana fan base ya simba, kupitia mashabiki ndio wawekezaji wanavutika
Remember War In Dar, Do or Die, Kwa mkapa hatoki mtu...n.k. zote ni kauli zilizoanzishwa na manara Kwa target ya kuinua ari ya mashabiki Simba
Kaipa hadhi idara ya usemaji yeye na Jerry Muro. Maneno yake yalifanya hata watoto wadogo waipende na kiikubali simba na upande wa pili waongeze bidii ya kupambana na simba na hapo ndio mchango wake unaonekana.
Unahisi wewe ulivyokuja kumtetea mumeo Manara ndio unadhani kila mtu yupo kama wewe,?We ni nani??
Au mke wa Karia
Huyo Manara angekuwa bado yupo alipokuwa, yaani upande wa pili, wewe na wenzio, mngetamani hata ANYONGWE kabisa!Kwani yeye ni nani asiambiwe ukweli? Msomali amejiwekea kinga kuliko Rais wa nchi, SHAME ON KARIA!
Mbona suala la feitoto samia kama serikali aliingiliaTFF ni chombo huru hakiingiliwi na serikali
Mpumbavu mkubwa hatupigi kelele bali tunaeleza ukweli!Haji alitakiwa akate rufaa mamlaka ya juu akakataa sasa mnapiga kelele za nini,Haji Manara mwenyewe ameshaamua kuendelea na maisha mengine.
Anyongwe kwa kutumia haki yake ya ushabiki! You are not serious!Huyo Manara angekuwa bado yupo alipokuwa, yaani upande wa pili, wewe na wenzio, mngetamani hata ANYONGWE kabisa!
Huyo chaijaba naye ni wa kupuuzwa tuHuyu Diamond bora angepiga kimya tu anaongea vitu hata havijui,ushawishi wake huko huko..
Ni kelele kwani huo ukweli ulitakiwa kuelezwa kwenye rufaa,upumbavu tu unawasumbua. Haya tuone huo ukweli kama utamnasua.Mpumbavu mkubwa hatupigi kelele bali tunaeleza ukweli!
Ni chuki za msomali tu na si kingine.Chuki kwa lipi?.....Kwani Manara kafungiwa na Msomali?