Simeone
JF-Expert Member
- Jul 4, 2018
- 905
- 1,002
Manara kacheza mpira.Amechangia kwa namna gani? Kuna uwekezaji wowote kafanya? Alishawahi kuwa mchezaji? Alishawahi kuwa kocha? Au Kupiga domo na kutukana wadau wa timu pinzani nao ni mchango?
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Manara kacheza mpira.Amechangia kwa namna gani? Kuna uwekezaji wowote kafanya? Alishawahi kuwa mchezaji? Alishawahi kuwa kocha? Au Kupiga domo na kutukana wadau wa timu pinzani nao ni mchango?
Umezoea kukalia dole ndiyo starehe yako mbwiga wewe[emoji867][emoji867][emoji867]
Wote wana akili finyu, Manara ana mchango gani kwenye mpira wa Tanzania? Yeye anafaa kuoa tu kila mwaka na kuchambana na wanawake mitandaoni. Mpira unahitaji watu wanaoujuwa na wenye akili, si Manara.Msanii wa mziki wa kizazi kipya, Diamond Platnumz akiwa kwenye birthday party ya Manara jana usiku, alitumia sehemu kubwa ya salam zake kuongelea sakata la Manara kufungiwa na TFF kujishirikisha na mpira wa miguu Tanzania. Diamond amesema ni chuki na kuiomba Serikali ifanye jambo.
Diamond amesema ameshawahi kuongea na Manara na Haji aliomuomba Diamond kutokana na hadhi yake kwenye jamii amsaidie kuwauliza wahusika shida nini!
Diamond amedai alikuwa hajui chochote kwenye mpira ila ameufatilia kwasababu ya Manara.
Diamond: Lazima tukubali, huyu bwana kwenye mpira wa Tanzania ana nafasi kubwa, ana mchango mkubwa. Tukiendekeza chuki za mtu mmoja mmoja ikiwepo Serikali inatazama inadidimiza mpira wenyewe.
Unaangalia, yani huyu ana ubaya gani kwenye hii nchi, yaani ana baya gani haswa alilolifanya katika nchi hii, ni binadamu mbaya kiasi gani! Karia wakati mwingine chuki tu.
Alisema Diamond
🤓🌈🐷Umezoea kukalia dole ndiyo starehe yako mbwiga wewe
[emoji23][emoji23][emoji23] kwa kweli yanamtoka tyuuh"Karia wakati mwingine chuki tu."
Hajauma maneno bwana mondi au tayari alikuwa kaishapiga DONA yake, yanamtoka tu. [emoji23][emoji1787]
Na mie nataka kujuzwa hapa.Mchango wake ni upi kwa anayejua?
Halikuhusu TFF lilihusu Yanga na Feitoto.Mbona suala la feitoto samia kama serikali aliingilia
Yaan Domo anadhani kwenye mpira ni km kwenye mziki,Anadhani ye Ni nani?
Eti Manara ndio kanifanya nijue mpira, kama ni hivyo basi bado hujui Mpira.
Aliwahi toa maneno ya kishenzi kama haya kipindi Manara katimuliwa Simba wakidhani mashabiki watareact. Alivyo mjinga anashindwa kuelewa kuwa Hana influence yoyote kwenye mpira, abaki huko huko kwenye Mziki, huko ndio atayapata mang'ombe yatakayofuata kila anachoongea.
Diamond tatizo ni shule, Wasafi Media yake mahusiano yake na TFF yatakuwaje after this. Kumtaja Karia direct kwenye speech yake pia kisheria kakosea sana hapa ndipo inakuja hoja ya EL shule shule shule!
Mdomo uliponza Kichwa kaka. Mdomo waweza ponza Uchawi wako, Mdomo waweza ponza pesa zako! Anyway Am overShule sio tiba ya kila kitu, braza bigi yeye kashajipata we baki na maelimu yako mpka kasema hivo hakuna wakumyumbisha TFF yan kiufupi hamwezi kiuchawi, hawamuezi kipesa na hamuwezi kiserikali
By the way mekumiss bbyHalikuhusu TFF lilihusu Yanga na Feitoto.
Na ndo maana iliambiwa Team ya Yanga imalizane na Feitoto, na sio TFF.
Huyu zeruzeru? Au mzeewake? Mpira wa ligi au mchanganiManara kacheza mpira.
kwa maneno yako Manara ana mchango kwenye klabu ya simba, na wala sio soka la TanzaniaManara katengeneza sana fan base ya simba, kupitia mashabiki ndio wawekezaji wanavutika
Remember War In Dar, Do or Die, Kwa mkapa hatoki mtu...n.k. zote ni kauli zilizoanzishwa na manara Kwa target ya kuinua ari ya mashabiki Simba
Kaipa hadhi idara ya usemaji yeye na Jerry Muro. Maneno yake yalifanya hata watoto wadogo waipende na kiikubali simba na upande wa pili waongeze bidii ya kupambana na simba na hapo ndio mchango wake unaonekana.
Aliadhibiwa,kwa kufuata taratibu.Msanii wa mziki wa kizazi kipya, Diamond Platnumz akiwa kwenye birthday party ya Manara jana usiku, alitumia sehemu kubwa ya salam zake kuongelea sakata la Manara kufungiwa na TFF kujishirikisha na mpira wa miguu Tanzania. Diamond amesema ni chuki na kuiomba Serikali ifanye jambo.
Diamond amesema ameshawahi kuongea na Manara na Haji aliomuomba Diamond kutokana na hadhi yake kwenye jamii amsaidie kuwauliza wahusika shida nini!
Diamond amedai alikuwa hajui chochote kwenye mpira ila ameufatilia kwasababu ya Manara.
Diamond: Lazima tukubali, huyu bwana kwenye mpira wa Tanzania ana nafasi kubwa, ana mchango mkubwa. Tukiendekeza chuki za mtu mmoja mmoja ikiwepo Serikali inatazama inadidimiza mpira wenyewe.
Unaangalia, yani huyu ana ubaya gani kwenye hii nchi, yaani ana baya gani haswa alilolifanya katika nchi hii, ni binadamu mbaya kiasi gani! Karia wakati mwingine chuki tu.
Alisema Diamond
Kipindi simba inafungwa kbl ya modewji hao wapiga domo hawakuwepo??mpira ni uwekezaji wa vitendo hao niwashereheshaji tuManara katengeneza sana fan base ya simba, kupitia mashabiki ndio wawekezaji wanavutika
Remember War In Dar, Do or Die, Kwa mkapa hatoki mtu...n.k. zote ni kauli zilizoanzishwa na manara Kwa target ya kuinua ari ya mashabiki Simba
Kaipa hadhi idara ya usemaji yeye na Jerry Muro. Maneno yake yalifanya hata watoto wadogo waipende na kiikubali simba na upande wa pili waongeze bidii ya kupambana na simba na hapo ndio mchango wake unaonekana.