Diamond: Manara ana mchango mkubwa kwenye mpira, tukiendekeza chuki za mtu mmoja mmoja ni kudidimiza mpira. Aiomba Serikali imfungulie

Diamond: Manara ana mchango mkubwa kwenye mpira, tukiendekeza chuki za mtu mmoja mmoja ni kudidimiza mpira. Aiomba Serikali imfungulie

Amechangia kwa namna gani? Kuna uwekezaji wowote kafanya? Alishawahi kuwa mchezaji? Alishawahi kuwa kocha? Au Kupiga domo na kutukana wadau wa timu pinzani nao ni mchango?
Manara kacheza mpira.
 
Msanii wa mziki wa kizazi kipya, Diamond Platnumz akiwa kwenye birthday party ya Manara jana usiku, alitumia sehemu kubwa ya salam zake kuongelea sakata la Manara kufungiwa na TFF kujishirikisha na mpira wa miguu Tanzania. Diamond amesema ni chuki na kuiomba Serikali ifanye jambo.

Diamond amesema ameshawahi kuongea na Manara na Haji aliomuomba Diamond kutokana na hadhi yake kwenye jamii amsaidie kuwauliza wahusika shida nini!

Diamond amedai alikuwa hajui chochote kwenye mpira ila ameufatilia kwasababu ya Manara.

Diamond: Lazima tukubali, huyu bwana kwenye mpira wa Tanzania ana nafasi kubwa, ana mchango mkubwa. Tukiendekeza chuki za mtu mmoja mmoja ikiwepo Serikali inatazama inadidimiza mpira wenyewe.

Unaangalia, yani huyu ana ubaya gani kwenye hii nchi, yaani ana baya gani haswa alilolifanya katika nchi hii, ni binadamu mbaya kiasi gani! Karia wakati mwingine chuki tu.

Alisema Diamond


Wote wana akili finyu, Manara ana mchango gani kwenye mpira wa Tanzania? Yeye anafaa kuoa tu kila mwaka na kuchambana na wanawake mitandaoni. Mpira unahitaji watu wanaoujuwa na wenye akili, si Manara.
 
"Karia wakati mwingine chuki tu."

Hajauma maneno bwana mondi au tayari alikuwa kaishapiga DONA yake, yanamtoka tu. [emoji23][emoji1787]
[emoji23][emoji23][emoji23] kwa kweli yanamtoka tyuuh
 
Anadhani ye Ni nani?
Eti Manara ndio kanifanya nijue mpira, kama ni hivyo basi bado hujui Mpira.
Aliwahi toa maneno ya kishenzi kama haya kipindi Manara katimuliwa Simba wakidhani mashabiki watareact. Alivyo mjinga anashindwa kuelewa kuwa Hana influence yoyote kwenye mpira, abaki huko huko kwenye Mziki, huko ndio atayapata mang'ombe yatakayofuata kila anachoongea.
Yaan Domo anadhani kwenye mpira ni km kwenye mziki,
Anaishia kuabikaa tyuuh, Lol
 
  • Kicheko
Reactions: Tui
Diamond tatizo ni shule, Wasafi Media yake mahusiano yake na TFF yatakuwaje after this. Kumtaja Karia direct kwenye speech yake pia kisheria kakosea sana hapa ndipo inakuja hoja ya EL shule shule shule!
 
Japo ajira hazitoshi, ila bado shule ni muhimu.

Manara kamuomba Diamond amsaidie kupaza sauti, na Diomond naye katoa siri kwamba Manara alimfata kumuomba ampazie sauti.

Kwa hiyo sasa, imeshajulikana kwamba Manara anateseka kufungiwa na ameamua kuanza kuwatumia watu maarufu wamsaidie.

Kwa hiyo ujumbe wa Diamond haujafika ipasavyo maana amezungumza kama mjumbe wa Manara badala ya mtetezi wake.
 
Diamond tatizo ni shule, Wasafi Media yake mahusiano yake na TFF yatakuwaje after this. Kumtaja Karia direct kwenye speech yake pia kisheria kakosea sana hapa ndipo inakuja hoja ya EL shule shule shule!

Shule sio tiba ya kila kitu, braza bigi yeye kashajipata we baki na maelimu yako mpka kasema hivo hakuna wakumyumbisha TFF yan kiufupi hamwezi kiuchawi, hawamuezi kipesa na hamuwezi kiserikali
 
Shule sio tiba ya kila kitu, braza bigi yeye kashajipata we baki na maelimu yako mpka kasema hivo hakuna wakumyumbisha TFF yan kiufupi hamwezi kiuchawi, hawamuezi kipesa na hamuwezi kiserikali
Mdomo uliponza Kichwa kaka. Mdomo waweza ponza Uchawi wako, Mdomo waweza ponza pesa zako! Anyway Am over
 
Manara katengeneza sana fan base ya simba, kupitia mashabiki ndio wawekezaji wanavutika

Remember War In Dar, Do or Die, Kwa mkapa hatoki mtu...n.k. zote ni kauli zilizoanzishwa na manara Kwa target ya kuinua ari ya mashabiki Simba

Kaipa hadhi idara ya usemaji yeye na Jerry Muro. Maneno yake yalifanya hata watoto wadogo waipende na kiikubali simba na upande wa pili waongeze bidii ya kupambana na simba na hapo ndio mchango wake unaonekana.
kwa maneno yako Manara ana mchango kwenye klabu ya simba, na wala sio soka la Tanzania
 
Mchango nikuwekeza kwenye vitendo facilities,makocha,gyms,mazngr mazuri,na wataalam wengn sio hizi porojo porojo cjui wasemaji cjui manara ni upuuzi mtupu hakuna kitu humo
 
Msanii wa mziki wa kizazi kipya, Diamond Platnumz akiwa kwenye birthday party ya Manara jana usiku, alitumia sehemu kubwa ya salam zake kuongelea sakata la Manara kufungiwa na TFF kujishirikisha na mpira wa miguu Tanzania. Diamond amesema ni chuki na kuiomba Serikali ifanye jambo.

Diamond amesema ameshawahi kuongea na Manara na Haji aliomuomba Diamond kutokana na hadhi yake kwenye jamii amsaidie kuwauliza wahusika shida nini!

Diamond amedai alikuwa hajui chochote kwenye mpira ila ameufatilia kwasababu ya Manara.

Diamond: Lazima tukubali, huyu bwana kwenye mpira wa Tanzania ana nafasi kubwa, ana mchango mkubwa. Tukiendekeza chuki za mtu mmoja mmoja ikiwepo Serikali inatazama inadidimiza mpira wenyewe.

Unaangalia, yani huyu ana ubaya gani kwenye hii nchi, yaani ana baya gani haswa alilolifanya katika nchi hii, ni binadamu mbaya kiasi gani! Karia wakati mwingine chuki tu.

Alisema Diamond


Aliadhibiwa,kwa kufuata taratibu.
 
Manara katengeneza sana fan base ya simba, kupitia mashabiki ndio wawekezaji wanavutika

Remember War In Dar, Do or Die, Kwa mkapa hatoki mtu...n.k. zote ni kauli zilizoanzishwa na manara Kwa target ya kuinua ari ya mashabiki Simba

Kaipa hadhi idara ya usemaji yeye na Jerry Muro. Maneno yake yalifanya hata watoto wadogo waipende na kiikubali simba na upande wa pili waongeze bidii ya kupambana na simba na hapo ndio mchango wake unaonekana.
Kipindi simba inafungwa kbl ya modewji hao wapiga domo hawakuwepo??mpira ni uwekezaji wa vitendo hao niwashereheshaji tu
 
Back
Top Bottom