Baba kutunga wimbo kazi kishenzi kuna demu kaniambia nimtungie wimbo ananipa rough road huu ni mwaka wa pili hata kiitikio sina idea nachoTatizo anarudia sauti ( melody ) ile ile anachokifanya anabadilisha maneno tuu na uelekeo wa beat kidogo
Naona unasubiri meli Airport.Tokea Diamond na mama yake wamuaibishe huyu mzee kwny media, mambo si mambo kwa Diamond.
jamaa kila anachofanya raia kama hawaoni kabisa katoa nyimbo tatu na zote zimebuma kama hajatoa kitu. BET akala mweleka vibaya mno. Alitangaza ujio wa raelity show na nyanya wake wa SA nayo imezimika kama mshumaa.
Hayo yote ni laana ya mzee Abdul, ulimuaibisha sana yule mzee naona Mungu anaanza kukukumbusha kuwa always sikio halizidi kichwa.
Usiposhtuka mapema kuomba msamaha kwa huyu mzee huu ndo utakuwa mwisho wako na ndo litakuwa angulo lako officially.
Kweli waliosema akili ni nywele kila mtu ana zake, ila hawakutaja nywele za eneo gani....... sijajua mwenzetu ni za eneo gani.Haihitaji elimu ya chuo kikuu kulitambua hilo vyote ulivotaja hapo vimebuma
Tafuta hela mtoa madaTokea Diamond na mama yake wamuaibishe huyu mzee kwny media, mambo si mambo kwa Diamond.
jamaa kila anachofanya raia kama hawaoni kabisa katoa nyimbo tatu na zote zimebuma kama hajatoa kitu. BET akala mweleka vibaya mno. Alitangaza ujio wa raelity show na nyanya wake wa SA nayo imezimika kama mshumaa.
Hayo yote ni laana ya mzee Abdul, ulimuaibisha sana yule mzee naona Mungu anaanza kukukumbusha kuwa always sikio halizidi kichwa.
Usiposhtuka mapema kuomba msamaha kwa huyu mzee huu ndo utakuwa mwisho wako na ndo litakuwa angulo lako officially.
Unaonaje na hili la mwisho wa Diamond lisikuhusu mkuu?Hayo ni mambo ya familia yao sisi yalikuwa hayatuhusu, kila mtu akiamua kufanya ivi kutakalika hapa.
2010 walianza.Acha unafki basi...kwaiyo Iyo imebuma? Naanzaje imebuma? Pepeta imebuma? Hyo BeT kua nominated tu nako kubuma? Zile cardlilac ,RR nazo ni kubuma? Mlisema jamaa kapotea tangu 2012..leo 2021...tafuta hela mkuu chuki ikutoke[emoji1787][emoji1787].. mwanaume unaanzaje Diss kidume mwenzio?
Nilidhani hajaingia hata mmoja,wanatoshaKonde Boy hali tete USA show yake ya kwanza tu wameingia watu 43
Konde Boy hali tete USA show yake ya kwanza tu wameingia watu 43
mondi alikuwa anajaza ishirini na ngapi??Konde Boy hali tete USA show yake ya kwanza tu wameingia watu 43
mkuu hela shingapi??usiseme tu mtu atafute hela inawezekana anazo.Acha unafki basi...kwaiyo Iyo imebuma? Naanzaje imebuma? Pepeta imebuma? Hyo BeT kua nominated tu nako kubuma? Zile cardlilac ,RR nazo ni kubuma? Mlisema jamaa kapotea tangu 2012..leo 2021...tafuta hela mkuu chuki ikutoke[emoji1787][emoji1787].. mwanaume unaanzaje Diss kidume mwenzio?
Ukishaona mtu ana andika uzi kama huo hana hela kbisamkuu hela shingapi??usiseme tu mtu atafute hela inawezekana anazo.
Kwa sababu aliamua kulileta kwny media sina budi kumtaka afanye ivo, kuonba msamaha.Unaonaje na hili la mwisho wa Diamond lisikuhusu mkuu?
Au hili una hisa nalo tukuache
Ushauri hutolewa na kila mtu haijalishi status yake.Ukishaona mtu ana andika uzi kama huo hana hela kbisa
Nimetumwa na wwUmetumwa?
Huo sio ushauri..ni chukiUshauri hutolewa na kila mtu haijalishi status yake.
Oi sio Dar nzima, Kinondoni hao. Huku Temeke tunatafuta hela.Ndio Topic za wanaume wa dar wakishakunywa michuzi ya pweza
Sawa.Kwa sababu aliamua kulileta kwny media sina budi kumtaka afanye ivo, kuonba msamaha.