incredible terminator
JF-Expert Member
- Aug 1, 2016
- 2,498
- 4,162
huyu atakuwa mwijaku tu ila njaa mbaya sanaTokea Diamond na mama yake wamuaibishe huyu mzee kwny media, mambo si mambo kwa Diamond.
jamaa kila anachofanya raia kama hawaoni kabisa katoa nyimbo tatu na zote zimebuma kama hajatoa kitu. BET akala mweleka vibaya mno. Alitangaza ujio wa raelity show na nyanya wake wa SA nayo imezimika kama mshumaa.
Hayo yote ni laana ya mzee Abdul, ulimuaibisha sana yule mzee naona Mungu anaanza kukukumbusha kuwa always sikio halizidi kichwa.
Usiposhtuka mapema kuomba msamaha kwa huyu mzee huu ndo utakuwa mwisho wako na ndo litakuwa angulo lako officially.
Kwa sababu aliamua kulileta kwny media sina budi kumtaka afanye ivo, kuonba msamaha.
Mbona yeye hakumwomba msamaha alivyomfukuza mama yake diamond nakumtelekeza no mapenzi ya baba,no matumizi no chochote si alimkana diamond yeye kamfukuza na kumkana nani kamfundisha mwenzie kuwa na roho mbaya??Tokea Diamond na mama yake wamuaibishe huyu mzee kwny media, mambo si mambo kwa Diamond.
jamaa kila anachofanya raia kama hawaoni kabisa katoa nyimbo tatu na zote zimebuma kama hajatoa kitu. BET akala mweleka vibaya mno. Alitangaza ujio wa raelity show na nyanya wake wa SA nayo imezimika kama mshumaa.
Hayo yote ni laana ya mzee Abdul, ulimuaibisha sana yule mzee naona Mungu anaanza kukukumbusha kuwa always sikio halizidi kichwa.
Usiposhtuka mapema kuomba msamaha kwa huyu mzee huu ndo utakuwa mwisho wako na ndo litakuwa angulo lako officially.
Duh!Diamond alitabiliwa anguko tangu 2010, leo ni 202 1 still jamaa ni best Musician, richest, best label na most nominated and award winner of all time hapa east africa
Alafu kuwa to NOMINTED BET. ni ushindi kwa sababu wahasimu wake hawajulikani hata huko BET
Binadamu bwana....Tokea Diamond na mama yake wamuaibishe huyu mzee kwny media, mambo si mambo kwa Diamond.
jamaa kila anachofanya raia kama hawaoni kabisa katoa nyimbo tatu na zote zimebuma kama hajatoa kitu. BET akala mweleka vibaya mno. Alitangaza ujio wa raelity show na nyanya wake wa SA nayo imezimika kama mshumaa.
Hayo yote ni laana ya mzee Abdul, ulimuaibisha sana yule mzee naona Mungu anaanza kukukumbusha kuwa always sikio halizidi kichwa.
Usiposhtuka mapema kuomba msamaha kwa huyu mzee huu ndo utakuwa mwisho wako na ndo litakuwa angulo lako officially.
Hard facts zinawaumbua haters, wao blah blahs tu na wishful thinking za kichawi.Unapata tabu na Sadala,mtu katoa nyimbo moja ila ndani ya wiki tu.
View attachment 1931356
View attachment 1931355
View attachment 1931354View attachment 1931353
Tunatamani kuyakubali maneno yako, ila number zina kuumbua.
Youtube tokea mwaka uanze yeye ni no 1 ,streams zaidi ya 30+ kila mwezi na digital platforms karibia zote kwa Africa Mashariki na kati yy ni number 1.
Kuna msanii wenu mnayempaka mafuta kwa mgongo wa chupa show zake US aibu, anashindwa hata kupost,bora angebaki tu aandae show kama Nandy.
Sadala zinazomweka juu ni Number ndio maana hizo chuki zenu kwa miaka zaidi ya kumi hazijawahi kumshusha.