Diamond na Chris Brown waisimaisha dunia na Komasava

Diamond na Chris Brown waisimaisha dunia na Komasava

sinza pazuri

JF-Expert Member
Joined
Aug 16, 2014
Posts
3,344
Reaction score
9,066
Story kubwa duniani leo ni Msanii namba moja duniani na msanii namba moja Africa. Chris Brown na Diamond Platinumz.

Chris Brown ameonesha kupagawa na wimbo namba moja kwa sasa Africa uitwao Komasava ulioimbwa na Diamond Platinumz kutoka tandale.

Chris Brown amecheza wimbo huo huku akionesha kupagawa na ubora na uzuri wa wimbo.

Hii kwa hakika ni kubwa sana kwa muziki wetu Tanzania. Tunatakiwa tujivunie na kutegemea collabo ya miamba hii miwili duniani.

UPDATES:

Chris Brown baada ya muitikio mkubwa wa dance video yake ya Komasava. Amepost na kwenye akaunti yake ya Facebook.


 
View attachment 3021256
Story kubwa duniani leo ni Msanii namba moja duniani na msanii namba moja Africa. Chris Brown na Diamond Platinumz.

Chris Brown ameonesha kupagawa na wimbo namba moja kwa sasa Africa uitwao Komasava ulioimbwa na Diamond Platinumz kutoka tandale.

Chris Brown amecheza wimbo huo huku akionesha kupagawa na ubora na uzuri wa wimbo.

Hii kwa hakika ni kubwa sana kwa muziki wetu Tanzania. Tunatakiwa tujivunie na kutegemea collabo ya miamba hii miwili duniani.
MK 254 mpe salamu yule Cassy pool wenu na OG feki.
 
Tuseme tu ukwel, vijana wetu wanajitahid sana kufanya kazi. Sana yani. Kama huyu Domo, dogo anapiga sana kazi (tukiweka mbali kashfa zake ).

Zaman tuliozea sisi kucheza ngoma za mbele.
Leo hii mbele nao wanacheza ngoma zetu. This is really a good thing to be proud of.

Leo hii amapiano, hawa vijana wetu walivyoikamata, sidhan kama hata hao wasauzi wanaweza kutushika japo ndio wenye mziki wao.

Big up.
 
Tuseme tu ukwel, vijana wetu wanajitahid sana kufanya kazi. Sana yani. Kama huyu Domo, dogo anapiga sana kazi (tukiweka mbali kashfa zake ).

Zaman tuliozea sisi kucheza ngoma za mbele.
Leo hii mbele nao wanacheza ngoma zetu. This is really a good thing to be proud of.

Leo hii amapiano, hawa vijana wetu walivyoikamata, sidhan kama hata hao wasauzi wanaweza kutushika japo ndio wenye mziki wao.

Big up.
Tunashukuru Mungu kutuweka hai kushuudia kizazi cha dhahabu cha muziki wa Tanzania.
 
Back
Top Bottom