Bueno
JF-Expert Member
- Sep 9, 2022
- 4,114
- 6,449
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Kama ni hivyo rich kids ndio wangekuwa top kwenye kila angle.Pesa Ina nguvu sana nothing is for free
Watu weusi tuko ni shida pahalaHongera sana PR TEAM wa Diamond.
Kufanya komasava iende international 👇👇👇
1. Just pay Chris Brown the money
2. Ask him to do a video while dancing to the song and post it on socials...
👏👏👏👏
Hakucheza mkuu.Ata Mix ya Misomisondo alicheza.
Of course ana brand tayAri hata huyu mond hawezi Tangaza biashara ya mtu burebureChris Brown hafanyi bure kamuulize Davido
Sasa imagine na wanasiasa wetu wangekuwa wanafanya kazi kama hawa wasanii.. Tanzania ingekuwa motooo sana..Tuseme tu ukwel, vijana wetu wanajitahid sana kufanya kazi. Sana yani. Kama huyu Domo, dogo anapiga sana kazi (tukiweka mbali kashfa zake ).
Zaman tuliozea sisi kucheza ngoma za mbele.
Leo hii mbele nao wanacheza ngoma zetu. This is really a good thing to be proud of.
Leo hii amapiano, hawa vijana wetu walivyoikamata, sidhan kama hata hao wasauzi wanaweza kutushika japo ndio wenye mziki wao.
Big up.
Full stop hata kazi anazofanya na Davido hafanyi bure zote kuna indorsement inaingia kwenye management yake it's all about business hakuna ujamaa kule ni ubepari kwa kwenda mbele business as usualOf course ana brand tayAri hata huyu mond hawezi Tangaza biashara ya mtu burebure
Haujui We ZKwa hiyo nyie wadau mnataka mseme hata ile kitu aliyofanya T.I.D ikatoboa huko mbele na yeye alilipia.?
Au
Misso Misondo kazi zake zilivyotoboa huko mbele kwenye tiktok na yeye alilipia?
Naombeni msaada na mimi nitoe tongotongo
Ahahahah mkuu japo umenichekesha ila ulichosema ni sahihi sana sana sana..sijui tuna bahati mbaya gani sisi..tukifikiri tukiwa na vijana kwenye mfumo wa uongoz wangeleta mabadiliko kumbe waaap, ndio hawa akina Bashe kupiga deal za sukari tuSasa imagine na wanasiasa wetu wangekuwa wanafanya kazi kama hawa wasanii.. Tanzania ingekuwa motooo sana..
Haya sio maelezo ni maumivu makali unayopitiaHongera sana PR TEAM wa Diamond.
Kufanya komasava iende international 👇👇👇
1. Just pay Chris Brown the money
2. Ask him to do a video while dancing to the song and post it on socials...
👏👏👏👏
Aliniomba namba yako mkuuAlikufanyaje?
Pole mkuu
Kama ni kulipa watu basi anaelekea kufiriskaFull stop hata kazi anazofanya na Davido hafanyi bure zote kuna indorsement inaingia kwenye management yake it's all about business hakuna ujamaa kule ni ubepari kwa kwenda mbele business as usual
Ulichokisema hiki hapa nimekutana nacho youtube hukoo kwenye hii ngomaSasa imagine na wanasiasa wetu wangekuwa wanafanya kazi kama hawa wasanii.. Tanzania ingekuwa motooo sana..
Nilijua we mwehu lazima uje uni-quoteKama ni kulipa watu basi anaelekea kufiriska
View attachment 3021533
Watu wenye roho za kwanini siwezi waacha mpotoshe wajinga wenzenuNilijua we mwehu lazima uje uni-quote