Diamond na Chris Brown waisimaisha dunia na Komasava

Diamond na Chris Brown waisimaisha dunia na Komasava

Hongera sana PR TEAM wa Diamond.

Kufanya komasava iende international 👇👇👇

1. Just pay Chris Brown the money


2. Ask him to do a video while dancing to the song and post it on socials...

👏👏👏👏
 
So sad mkuu.

Moja ya vitu vinavyotufanya tuzidi kurudi nyuma ni wivu na roho mbaya baina ya sisi wenyewe.
Chris Brown hafanyi bure ni suala la Manejimenti sio yeye kuna indorsement imeingia behind the scenes
 
Chris Brown hafanyi bure ni suala la Manejimenti sio yeye kuna indorsement imeingia behind the scenes
Sio kweli nadhani wabongo tunatafutiza excuses ambazo hazina maana yoyote ile.

Mara nyingi ngoma zenye vibe hizi artist anaweza kuifanyia challenge tu as long as ameipenda it's not necessary alipwe ili afanye challenge na ni ngumu sana.

Do you think ni pesa tu ndiyo inafanya msanii kama Chris kufanya challenge? If it's only about money mpaka sasa kama Diamond ana hizo pesa za kumlipa Chris kufanya challenge si angekuwa na collaboration naye muda mrefu sana.

Naona watu wanabrag hapo juu about PR ila wengi they know nothing about PR, unaweza ukauliza hata maana yake unakuta mtu hawezi kuielezea kwa ufasaha.

You people think money buys everything ila sio kwenye issue za promotion & Branding.

Leo Drake hafanyi kazi na wewe kwa sababu tu unameet demand ya pesa ambayo anaihitaji. Kuna vitu vikubwa sana vinazingatiwa, nakupa mifano yake tu

1. Reputation
2. Credibility
3. Image
4. Brand n.k


It's not necessarily kitu cha bongo kikienda viral muamini kwamba ni malipo yamefanyika. Tuachane na hii mitazamo hasi kila siku.
 
Sio kweli nadhani wabongo tunatafutiza excuses ambazo hazina maana yoyote ile.

Mara nyingi ngoma zenye vibe hizi artist anaweza kuifanyia challenge tu as long as ameipenda it's not necessary alipwe ili afanye challenge na ni ngumu sana.

Do you think ni pesa tu ndiyo inafanya msanii kama Chris kufanya challenge? If it's only about money mpaka sasa kama Diamond ana hizo pesa za kumlipa Chris kufanya challenge si angekuwa na collaboration naye muda mrefu sana.

Naona watu wanabrag hapo juu about PR ila wengi they know nothing about PR, unaweza ukauliza hata maana yake unakuta mtu hawezi kuielezea kwa ufasaha.

You people think money buys everything ila sio kwenye issue za promotion & Branding.

Leo Drake hafanyi kazi na wewe kwa sababu tu unameet demand ya pesa ambayo anaihitaji. Kuna vitu vikubwa sana vinazingatiwa, nakupa mifano yake tu

1. Reputation
2. Credibility
3. Image
4. Brand n.k


It's not necessarily kitu cha bongo kikienda viral muamini kwamba ni malipo yamefanyika. Tuachane na hii mitazamo hasi kila siku.
Pesa Ina nguvu sana nothing is for free
 
Back
Top Bottom